Kulikuwa na binti mmoja, maisha yalikuwa yamembana sana
bad situation.
Alikuwa amechoka kupita kiasi kimwili, kiakili na hata moyoni
Siku moja jioni, baada ya mawazo kumzidi, akajisemea
Ngoja nitoke kidogo, nipate fresh air, maybe nitatulia
Akatembea polepole bila mwelekeo maalum, akijaribu kupunguza mzigo wa mawazo
Ghafla, macho yake yakatua kwenye chupa ya ajabu iliyokuwa imekaa peke yake kama inamsubiri
Alipoisogelea mambo yakabadilika
Ile chupa ikaanza kumsemesha
Ndiyo, ikaanza kumsemesha kwa sauti laini, yenye utulivu, yenye maneno matamu ya kuvutia maneno yaliyomfanya ahisi kueleweka kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu
Ilikuwa ajabu sana lakini ilikuwa halisi 🫰 not movie
Binti alisimama kimya, akisikiliza
Ghafla, ile chupa ikafunguka taratibu kisha ikasema kwa upole😊
Kunywa kilichopo ndani yangu
Binti, akiwa amechoka na maisha, bila kusita akainyanyua na kunywa
Lahaula…!
Ndani ya sekunde chache, kila kitu kikabadilika
Akahisi kama mzigo wote aliokuwa amebeba umetoweka
Moyo ukatulia
Mawazo yakapoa
Ni kama amezaliwa upya ajabu ya kweli 🙌
Baada ya kuridhika na ile hali ya utulivu na furaha, ile chupa ikajifunga yenyewe tena, kimya kimya😢
kama haijawahi kufanya chochote🙌
Binti alitabasamu kidogo, akaiangalia ile chupa kwa mshangao na shukrani
Na hapo ndipo alipoamua kuipa jina
CHUPA YA MAAJABU
This is my magic bottle✨
kuna kipindi ilikua avatar now ipo kabatini