Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
5173084_orig.jpg


6126722_orig.jpg


 
Last edited by a moderator:
. We mchemsho!! kwa nini unatukana Serikali yako. Tunawajibu sisi sote kuwatambua hao wanaofanya matatizo haya. Tukiwatambua Serikali itawashughulikia. Tusiwe watu wa kulaumu tu! sote tuchape kazi.

hapana mkuu, serikali hii sijui ni kwa maslahi ya nani imekuwa inyapotezea baadhi ya mambo...hasa kama haya yanayoambatana na issues za dinii, inawaogopa sana majority ya wazenjibar...
 
Hao Wazungu watasubiri sana..Haitatokea..
Mimi ni Muislam na nimeishi zanzibar lkn..Ukweli hata waislam kutoka bara tunabaguliwa wazi na hawa jamaa..wanatuita makhafir inhali ni waislam inaniuma sana..Msikiti wa Kidongo chekundu,Msikiti wa Daraja bovu ndio balaa..na ndio maana hata ujenzi unasuasua..WAISLAM TUACHE KUBAGUANA ZANZIBAR..

well, unaweza on hivyo ila ni makosa ya dini km dini.....muhamad hakuandaa mrithi wake..,uislam unalaani wanafiki, washirikina,pia unajipa madaraka km dini pekee, ukweli pekee, maarifa yote etc...bila kutoa ufafanuzi mzuri..sasa matokeo yake ..Waislam wamekuwa wakishukiana na kumalizana kwa kuwaita wengine majina wapendayo...ili kuwa slander na kujipa umaarufu...ktk uislam mtu akisingiziwa kuwa mamluki ni taabu, akiambiwa ni mnafiki taabu, wengine pia huitwa wakristu au makafir , na wenzao ambao bial hata kujua kuwa sifa za muislam zimefikiwa au lah...ndio maana wengine kirahisi tuu husema Bakwata ni ya kanisa.....nchi nyingi tuu waislam hubaguana hovyohovyo..
 
ndo maana tunasema media zote zinapendelea upande mmoja wa iman, hivi kweli hujawai ckia sheikh kamwagiwa tindikali?

km unategemea asem aliwahi sikia, then atakumaliza kwa claim yako kuwa meda zote zinapendelea upande mmoja wa imani...Hata na hata asipokujibu..una kazi kutuambia kuwa hata al--nuur na nyingine nazo zinapendelea iman nyingine?Nae pia kakosea kusema kuwa masheikh hawajamwagiwa...

Shida hapa ni waislam wenyewe...mamabo yao huwa wanapenda dii nayo kivyaoo....pi ujue kuwa hata majambazi ktk vita nao wakigombana sialaha zilezile hutumia kupeana adabu......hat amedia za kiisalam nazo hazikuandika kwa vile wana support wamwagaji wa tindikali..kwa vile wanaamini waliomwagia si waislam kamili au ni mamluki..
 
jamani hivi kuna haja ya muungano kweli ? hivyo serikali izi mbili zinafanya nini juu ya huu muamsho?jamani wakrito wamekosa ninin ktk nchi hii?tunaenda wapi?pole sana padri mungu akusaidie akupe nguvu upone haraka.tumsifu yesu christo. ameeeeeeeni.
 
Ila katika manabii wapumbavu sijawahi kuona kama S.a.w, kaona binti Ashura amabaye alikuwa na makamo kama ya mama yake, bado akaoa kabinti cha miaka sita, kweli mtume S.A.W ,muda wote aliwaza ngono tu!

Mungu akuhidi, eti kaoa binti Ashura. Ha ha haaaa. Alimradi uchangie
 
Abdul tumia akili yako vizuri.. Si waislamu wote magaidi... Wako waislamu wema kupita hata baadhi ya wakristo.. waislamu wasio na hila, waungwana na tena wasio na chuki dhidi ya wakristo.. Hoja yako haiwezi kuondoa ukweli kuwa WAISLAMU WAMEMMWAGIA TINDIKALI PADRE full stop!!!.

kwahiyo nayule Shekh aliymwagiwa tindikali akiwa mazoezini alimwagiwa na mkristu.
 
''A HEART WITHOUT QURAN IS LIKE A SHIP WITHOUT COMPASS'' Muganyizi apply critical thinking

Ok, let us start with premises and later on come out with the conclusion. I advise you not to include hypothetical syllogism and put away fallacies and then validate to me that the one who has done the action to the padre was valid and sound. You start with any premise and i will be waiting..........................................remember not to deny the antecedent and affirm the consequent. Ok i will help you to start

1.Some Muslims hate Christians
2.The Padre who has been poisoned is a christian
3. Therefore some Muslims have poisoned the padre

How does the above sound?
 
well, unaweza on hivyo ila ni makosa ya dini km dini.....muhamad hakuandaa mrithi wake..,uislam unalaani wanafiki, washirikina,pia unajipa madaraka km dini pekee, ukweli pekee, maarifa yote etc...bila kutoa ufafanuzi mzuri..sasa matokeo yake ..Waislam wamekuwa wakishukiana na kumalizana kwa kuwaita wengine majina wapendayo...ili kuwa slander na kujipa umaarufu...ktk uislam mtu akisingiziwa kuwa mamluki ni taabu, akiambiwa ni mnafiki taabu, wengine pia huitwa wakristu au makafir , na wenzao ambao bial hata kujua kuwa sifa za muislam zimefikiwa au lah...ndio maana wengine kirahisi tuu husema Bakwata ni ya kanisa.....nchi nyingi tuu waislam hubaguana hovyohovyo..
Hapo, kwenye red umesema kitu ambacho kila mmoja wetu akivua chuki za aina yoyote akavua majigambo, na kukumbatia roho ya kujifunza mambo akiwa huru ili mwishoni akishajua ukweli ndio aamue basi hii ni point muhimu sana. Reference yake ni mabomu ya kila siku kwenye misikiti ya Irak (yaani Sunni na Shia) ambako wote ni Waislam, ukipanda chuki utaishia kumchukia hata mama yako mzazi. Tatizo letu ni kutopenda kusikia mambo mapya au kutoka kwa wengine wakati kila kitu tumekikuta na kinatokea hapa hapa duniani ambapo sote tunaishi!

 
haya yote yanasababishwa na policcm ambao wamekuwa wakiwalea wahalifu bila kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria. shame upon upon all gambas and policcm!!!!!
 
Ok, let us start with premises and later on come out with the conclusion. I advise you not to include hypothetical syllogism and put away fallacies and then validate to me that the one who has done the action to the padre was valid and sound. You start with any premise and i will be waiting..........................................remember not to deny the antecedent and affirm the consequent. Ok i will help you to start

1.Some Muslims hate Christians
2.The Padre who has been poisoned is a christian
3. Therefore some Muslims have poisoned the padre

How does the above sound?

Lol....he/she will never show up again!!
 
Mpaka wawamalize au muwachie wapumuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! bila shaka wanaagiza tindikali kwa mameli, na wanayo nyingi wala haiishi, mtakwisha nyinyi.
View attachment 111737

Halafu babu anaonekana amechoka sana makanisa tanganyika kwanini hamumletei angalu mitumba mitumba akapata kubadilisha badilisha kazi ya bwana yesu ngumu ndo kama ivyo tn tindi kali.,
 
Halafu babu anaonekana amechoka sana makanisa tanganyika kwanini hamumletei angalu mitumba mitumba akapata kubadilisha badilisha kazi ya bwana yesu ngumu ndo kama ivyo tn tindi kali.,

ingawa alihitajika kuvaa modest ili aweze shirikiana na watu ila acid inakula nguo jombaa...ulipaswa fikiria hilo haraka.Hiyo ni ishara ya ubaya wa acid
 
hii ni lugha ya kawaida hadi misikitini, inamaanisha wakristo wa kutoka bara

Matusi si lugha ya kawaida.......wala machogo hayana dini..ila ni ujinga wa wazenj wenye mchanganyiko kutokuwa na chogo..na ndio wanaojiona kuwa bora..Ila mara nyingi walio na chogo wana braina nzuri in average kuliko waliovimba kichwa kwa mbele....watu wenye komwe la kubwa wengi ni mataahira au wenye uwezo mdogo......
 
Kibaya zaidi kuwa Wazanzibari wanaumia zaidi kwa utalii uliotoweka, nchi nyingi wamezuia wananchi wao kwenda Zanzibar, wawekezaji wengi wameahirisha au kuondoka kabisa.
 
AL - MAIDA 5:51
51. Enyi mlio amini!
Msiwafanye Mayahudi
na Wakristo kuwa ni
marafiki. Wao ni
marafiki wao kwa wao.
Na miongoni mwenu
mwenye kufanya urafiki
nao, basi huyo ni katika
wao. Hakika Mwenyezi
Mungu hawaongoi watu

* 51. Enyi mlio amini! Si
halali kwenu
kuwachukua Mayahudi
na Wakristo mkawafanya
ndio marafiki zenu. Wao
hao ni sawa sawa katika
kukufanyieni uadui. Na
mwenye kufanya urafiki
nao, basi ni kundi moja
nao. Na hakika
Mwenyezi Mungu
hawaongoi wanao
jidhulumu nafsi zao kwa
kufanya urafiki na
makafiri.
Acha kupotosha hii siyo Quran.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom