Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,428
sisi Mungu wetu hakuwambwa msalabani wala hakuwahi kufa na hakuwahi kupigwa picha !
ila aliwahi kuoa msichana wa miaka tisa!
sisi Mungu wetu hakuwambwa msalabani wala hakuwahi kufa na hakuwahi kupigwa picha !
kwa nini wakristo,wakipatwa na jambo mbio wanaleta dhana?Ni ukosefu wa elimu au nini?Lazima ufanye uchunguzi ili utoe majibu sio kukurupuka tu.Mbona waislam hawana tabia ya kukurupuka na kusema ni fulani,ni mpaka wawe na ushahidi wa kutosha.Someni,elimu ndio inamfanya mtu asiwe wa kukurupuka,acheni kutafuta vyeti vya kununua.
padri mwenyewe mbona hata hajaumia sana lakini issue imefika skynews,hawa waandishi wa kizungu wamepiga kambi zenj kwa lengo gani hasa.
Afterall mapadri wengi wameuawa america mwaka huu kuliko nchi yeyote.
http://www.catholic.org/hf/faith/story.php?id=52032
Uvivu wa kufikiri, kwani uliambiwa aliyemwagia acid ni muislam!!!!???
anamzidi upumbafu yesu alietembea na lazaro?Ila katika manabii wapumbavu sijawahi kuona kama S.a.w, kaona binti Ashura amabaye alikuwa na makamo kama ya mama yake, bado akaoa kabinti cha miaka sita, kweli mtume S.A.W ,muda wote aliwaza ngono tu!
Kwa hiyo watanganyika wanautaka mfumo kristo?
Wana JF,
Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.
More information to follow.
padri mwenyewe mbona hata hajaumia sana lakini issue imefika skynews,hawa waandishi wa kizungu wamepiga kambi zenj kwa lengo gani hasa.
Afterall mapadri wengi wameuawa america mwaka huu kuliko nchi yeyote.
Fourteen priests murdered in line of duty this year so far - Living Faith - Home & Family - Catholic Online
Wana JF,
Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.
More information to follow.
![]()
Wana JF,
Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.
More information to follow.
![]()
sasa ungemuona itv,jamaa anaongea,anatembea,anatabasamu.Tindikali amwagiwe mwingine, kutoumia sana ujue wewe. Mbona majanga!!!
Omba siku nawe umwagiwe halafu uje hapa utuambie hivyo.
Tunapochangia huu uzi, ni Lazima kwanza tutenganishe ugaidi na uislam.