Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Wana JF,

Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.

More information to follow.

attachment.php

Pole sana Padri. Huyo jamaa nyuma ya padri mwenye ndevu anafanana sana na Avatar ya RITZ!!!!!
 
Kitendo kibaya sana! Kwanini watu wameamua kuwa na roho mbaya hivi?
 
kwa wale wasio fuatilia siasa za zanzibar zanibar walianza na kutia visima mavi kutega mabomu kuchoma transfoma kuja

janjawire kuja ubaya ubaya lakini hakunguchunguzi unao kamilika na tulihoji jeshi la polisi litupe walau ripoti moja

ya pelelezi wazanzibar malengo yao yako wazi hivyo hawata yumbishwa na polisi kutumikia siasa usalama wataifa kuwa

jimbo na tawi la ccm

kwa wale wanaosema na kutuhumu waisilamu hebu muulizeni ni nani walio mpa msaada baada ya tukio kama sio hao waisilamu walio mzunguka na kuwa karibu nae

sasa je waisilamu iwejewamtie tindi kisha wamsaidie na kumfikisha hospila

wana jamii mutajikuta munashabikia udini kwa udhaifu wakikundi thaifu cha ccm
 
Kipindi cha wakulu kuuza sura kwa kutoa matamko na ahadi za zawadi nono huku wakijua ni upepo utapita.
 
Sijaamini kama haya ndio mawazo ya Watanzania kufikia sasa kuanza udini humu ndani...!!!
 
Sijawah kupata kusikia mtu akikumbatia bomu......serikali imekumbatia bomu....!!!!
 
Nadhani bichwa lako ni gumu kufahamu,utalazimishaje kukumbatia nyuki wakati nyuki hawakumbatiwi?tuachiwe tupumue.

Heshima yako mkuu. Sidhani km coz of ur name lkn sababu ya federation is always to be able to contain issues of long standing concerns.
 
Uislam una walakini hakuna kiongozi wa uislam mwenye kuzungumzia amani kati yake na wasio wa imani yake. Mbaya zaidi kila kukicha wanafundisha watoto zao chuki zidi ya wengine. Pia unako enea hakuna amani tena wanafungua vyuo kusomea kupotosha imani zingine. Ukisema makosa yao wanakuja juu kama Mungu wao hana uwezo mwnye kutetewa kwa nguvu zao. Zanzibar ni matokeo ya hali hiyo hawa watu wavivu kila kukicha wao wanajadili dini tena ni kusema ukristo wao wasafi. Lililo baki tuwaachie dini yao na kisiwa chao. Maisha ni zaidi ya hapo. wanaanza kukata tamaa wataanza kuwarubuni vijana kujitoa mhanga, ukiingiwa na i. una pagawa unajaa chuki hata dar imejaa hawa jamaa wakihamasishaa chuki, tuwaachie kisiwa chao, nahuku wahame
 
kwa wale wasio fuatilia siasa za zanzibar zanibar walianza na kutia visima mavi kutega mabomu kuchoma transfoma kuja

janjawire kuja ubaya ubaya lakini hakunguchunguzi unao kamilika na tulihoji jeshi la polisi litupe walau ripoti moja

ya pelelezi wazanzibar malengo yao yako wazi hivyo hawata yumbishwa na polisi kutumikia siasa usalama wataifa kuwa

jimbo na tawi la ccm

kwa wale wanaosema na kutuhumu waisilamu hebu muulizeni ni nani walio mpa msaada baada ya tukio kama sio hao waisilamu walio mzunguka na kuwa karibu nae

sasa je waisilamu iwejewamtie tindi kisha wamsaidie na kumfikisha hospila

wana jamii mutajikuta munashabikia udini kwa udhaifu wakikundi thaifu cha ccm
Abdul tumia akili yako vizuri.. Si waislamu wote magaidi... Wako waislamu wema kupita hata baadhi ya wakristo.. waislamu wasio na hila, waungwana na tena wasio na chuki dhidi ya wakristo.. Hoja yako haiwezi kuondoa ukweli kuwa WAISLAMU WAMEMMWAGIA TINDIKALI PADRE full stop!!!.
 
Kibaya zaidi kuwa Wazanzibari wanaumia zaidi kwa utalii uliotoweka, nchi nyingi wamezuia wananchi wao kwenda Zanzibar, wawekezaji wengi wameahirisha au kuondoka kabisa.
 
Halafu utasikia ychunguzi wa kina unaendelea.... Kuna siku wakristu watasema sasa yatosha..
 
zanzibar siyo sehemu salama kwa mtanganyika na wakristo,:doh:
 
uislam unaujua au unalopoka thibitisha kauli yako.mambo anayoyafanya JOHN GARANG kule UGANDA UKRISTO ndio umemtuma?
Hivi wewe unaelimu gani? Garang alishakufa miaka mingi huko sudani kusini... Ukristo unatuma wafu? Sisi tunazungumza kwa ushahidi PADRE AMEMWAGIWA TINDIKALI kwa maagizo ya dini.. Fuatilia hotuba ya shehe ILUNGA na usome AL BAQARA nzima kwenye Qur'an... Hata ILUNGA mwenyewe kakiri hakuna mkristo gaidi.
 
nchi inakoelekea ni kubaya sana serikali sikivu ni ipi kila siku majanga intelligence officer wanatakiwa watafute chimbuko la haya yote na kuukomesha usijirudie tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom