Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Serikali hii kweli ni dhaifu haijakamata hata mtu mmoja aliyemwaga tindikili achilia mbali mtandao wenyewe.

Mtu aliyerusha bomu arusha alishikwa boda boda peke yake na hamna matumaini tena!

Kweli serikali legelege aka dhaifu!!!
 
hii ni lugha ya kawaida hadi misikitini, inamaanisha wakristo wa kutoka bara
Msikitini hakuna huo upuuzi wako unaosema, tatizo lenu mnasukumwa na chuki dhidi ya Uislam mpo radhi kuongea chochote.
 
Mpaka wawamalize au muwachie wapumuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! bila shaka wanaagiza tindikali kwa mameli, na wanayo nyingi wala haiishi, mtakwisha nyinyi.
View attachment 111737
Lakini haya matukio hayajaanza leo huku Zanzibar, sioni hatua maridhawa inayochukuliwa na serekali hii,kila siku Mapadre tu,Intelligence ya nchi hii ni kibwa sana, na sidhani kwamba wameshindwa kuwafichua,kuna namna hapa, hichi kisiwa kina haribika kabisa, walipomwagiwa wale wazungu walisema eti ni personal conflict,sasa hiv watesema ni nini? inaumiza sana,kuna watu wan asili ya bara wamezaliwa kisiwani na walikua wanaishi comfortable kabisa hapo siku za nyuma, unaona ni kimya kabisa wala hakuna hatua intachukuliwa na siku zitasonga mbele, lakini matukia haya ni kwa nini yafanyike Unguja tu? mbona Pemba hakuna? Zanzibar inategemea utalii, in this way tourism is being ruined, serikali tafadhali na Chuku hatua.
 
Acha kupotosha hii siyo Quran.

haha.....nini nini?NI mistari toka ktk quran version ya kiswahili...

Mtajidanganya sana kwa uetetezi duni kihivyo........freemasonry (illuminant ) wanamuabudu Lucifer ..Majini ni uzao wa Iblisi..moto(lucifer) ....na ndio central ktk mafundisho yenu...........

Ni wonder in wengi ni freemasonry ,waganga, waenda kuzimu na wenye kupewa nguvu na pete.........mnapata wapi damu ya kuwapa majinn......?
 
We mbururla kweli, kwasababu Zenji wengi ni waislamu basi kila kinachotokea huko unahusisha na dini, kwahiyo Mbeya kwakuwa majority ni wakristo ni sahihi kukosoa ukristo kwa matukio ya kupiga nondo watu na kuchuna ngozi? Pumb.avu kweli wewe.

Tupo pamoja kaka,kiongozi wa dini wa mwisho kumwagiwa Tindikali ni IMAMU wa msikiti ARUMERU ARUSHA,mkoa huo 90% ni WAKRISTO,lkn haina maana kusema imani ya walio wengi inahusika.sisi sote ni ndugu na tunashirikiana vizur mtaani.
 
Zanzibar inapiga hatua kubwa nyuma kila siku, jina la Zanzibar kimataifa limeoza na itachukua miaka mingi sana na kuhudi kubwa kurudi safi tena, Serikali imefeli Zanzibar
 
Serikali hii kweli ni dhaifu haijakamata hata mtu mmoja aliyemwaga tindikili achilia mbali mtandao wenyewe.

Mtu aliyerusha bomu arusha alishikwa boda boda peke yake na hamna matumaini tena!

Kweli serikali legelege aka dhaifu!!!

Haha..."....Huwezi toa shetani kwa jina la Iblisi/Lucifer...".Tangu mwanzo TANU ilianzishwa ikiwa na ifluence ya uislam na ukanda wa pwani.....

CCM haiwezi kemea uislam ,itakuwa imefitini utawala wake yenyewe..wala hawatapiga bomu msikiti unless wanataka jenga premise za waislam kufanya fujo kubwa zaidi ili kuharibu zaidi makanisa.


Its un islamic muislam kushuhudia dhidi ya muislma mwingine mahakamani linapokuwa jambo linalohusisha kafir.....NI jihadi na ina dhawabu kwa muislam kupotosha makafiri km hawezi ingia ktk jihadi ya kivita.

Hutachoka kusikia kauli km ...huu si uislam, watu wanapotosha maandiko..sijui wanatumia vibaya jihad, watu wanatumia vibaya kuoa zaidi ya mke mmoja, ..etc......nimewahi sikia pia masheikh wakisema...".....huyu anatumia uganga vibaya.....".
 
(Mfumo Kristo?).Tahadhari ni kwamba Sheria hizi zinasimamiwa na Dunia nzima ya Wastaarabu na wenye Nguvu,sio swala la Tanzania tu.Kijana Bi.Aisha (RA) Aliolewa akiwa na umri wa miaka 9 na kuanza kuishi na mtume (SAW) akiwa na miaka 11 na kuusu mas'ala ya ndoa ya kiislam sheria huwa inaangalia kama bint amekuwa matured enough then ndo anaolewa haiangalii miaka kama sheria nyingine UKITAKA NIKUFAHAMISHE ZAID KUUSU MTUME MUHAMAD (SAW) na MKEWE HUYU NI PM SWALI LOLOTE
 
Naona sasa tunaelekea kwenye kawaida.
In no time Police wataanza kutuliza 'ghasia' kwa kutumia tindikali.
 
Zenji si salama kwa wakristo.

Hivi inawezekana nchi ikawa na waislamu au wakristu watupu kwa hali ya dunia yetu hii ilivyo kwa sasa? Siamini kuwa hao wanaomwagiwa tindikali au kushambuliwa wanafanyiwa hivyo ati kwa vile hawatakiwi kuwepo Zanzibar. Ina maana hata watumishi wa ubalozi wowote Zanzibar ni lazima wawe ni waislamu?
 
Kibaya zaidi kuwa Wazanzibari wanaumia zaidi kwa utalii uliotoweka, nchi nyingi wamezuia wananchi wao kwenda Zanzibar, wawekezaji wengi wameahirisha au kuondoka kabisa.

Watekelezaji wa ujinga huu wanafadhiliwa, so kwa vyovyote hawatojali kuathirika kiuchumi kwa wengine.....
 
Lol....he/she will never show up again!!

quote_icon.png
By Ta Muganyizi

Ok, let us start with premises and later on come out with the conclusion. I advise you not to include hypothetical syllogism and put away fallacies and then validate to me that the one who has done the action to the padre was valid and sound. You start with any premise and i will be waiting....................... ...................remember not to deny the antecedent and affirm the consequent. Ok i will help you to start

1.Some Muslims hate Christians
2.The Padre who has been poisoned is a christian
3. Therefore some Muslims have poisoned the padre

How does the above sound?
Lol....he/she will never show up again!!

Amenichooza eti nitumie critical thinking...........mie nikamwagika ninachokijua kuhusu critical thinking
 
Tupo pamoja kaka,kiongozi wa dini wa mwisho kumwagiwa Tindikali ni IMAMU wa msikiti ARUMERU ARUSHA,mkoa huo 90% ni WAKRISTO,lkn haina maana kusema imani ya walio wengi inahusika.sisi sote ni ndugu na tunashirikiana vizur mtaani.

Haha .....unapoongelea issue za waislam unahitaji umakini sana...hembu jiulize km yule sheikh alimwagia na mfuasi lets say wa Chadem na si wakristu tuu..Kelele ya wasilam na kuungua kanisa au kuwawa watu kungetokea baada ya ijumaa inayofuatia.....hiyo ni internal issue ya waislam ktk kugombea mitandao ya misikiti...walio wa Ponda na walio wa bakwata.

so msichanganye sana mambo..hata km imetokea USA ila arusha mjini kuna influence kubwa sana uislam wenye fujo mitaa ya mjini, Ngarenaro na Maeneo ya mbauda.

Kuna maeneo ni very dangerous sana arusha...vijana wamejiachia sana ktk tabia hatarishi za jihad.
 
Mpaka wawamalize au muwachie wapumuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! bila shaka wanaagiza tindikali kwa mameli, na wanayo nyingi wala haiishi, mtakwisha nyinyi.
View attachment 111737
Rafiki nadhani umesahau kuwa uhalifu ni uharifu na ni roho kamili ya kuzimu.Jiulize Misri wanabanwa na nani? Jimbo la kashmir wanabanwa na nani,Somalia wanabanwa na nani tumshauri awaachie wapumue? Waarabu walipokuwa wanauza waafrika(watumwa) Walikuwa wamebanwa na nani hadi wawauze binadamu wenzao na wengine kuwaua kikatili bila sababu.Roho ya shetani ikikomaa ndani ya mtu naye anakuwa shetani bila kujali ana dini au la
 
Msikitini hakuna huo upuuzi wako unaosema, tatizo lenu mnasukumwa na chuki dhidi ya Uislam mpo radhi kuongea chochote.

nina uhakika na ninachoKINENA! Mawaidha yenu ni full propaganda. Eti vilabu vya soka kama Arsenal, Manchester, Real Madrid ni vya shetani. Ukimwambia toa kifungu katika Koran, kimyaaaa!
 
Hivi kazi ya polisi siku hizi ni kuthibitisha kutokea kwa matukio au bado wana wajibu wa kuzuia matukio yasitokee.
Imekuwa kawaida kuwaona polisi kwenye vyombo vya habari wakithibitisha matukio yaliyotokea huku
wakijaribu kuwakosha wenzao ambao nao wanashiriki kwenye matukio kadhaa.
Nadhani tulikofikia nashauri jeshi la polisi nalo lipatiwe mwekezaji/libinafsishwe maana na sisi tumechoka.
 
(Mfumo Kristo?).Tahadhari ni kwamba Sheria hizi zinasimamiwa na Dunia nzima ya Wastaarabu na wenye Nguvu,sio swala la Tanzania tu.Kijana Bi.Aisha (RA) Aliolewa akiwa na umri wa miaka 9 na kuanza kuishi na mtume (SAW) akiwa na miaka 11 na kuusu mas'ala ya ndoa ya kiislam sheria huwa inaangalia kama bint amekuwa matured enough then ndo anaolewa haiangalii miaka kama sheria nyingine UKITAKA NIKUFAHAMISHE ZAID KUUSU MTUME MUHAMAD (SAW) na MKEWE HUYU NI PM SWALI LOLOTE

mbona unadanganya? Aisha kaolewa akiwa na miaka 6. Mtoto wa chekechea hata chuchu hazijatoka
 
Ok, let us start with premises and later on come out with the conclusion. I advise you not to include hypothetical syllogism and put away fallacies and then validate to me that the one who has done the action to the padre was valid and sound. You start with any premise and i will be waiting..........................................remember not to deny the antecedent and affirm the consequent. Ok i will help you to start

1.Some Muslims hate Christians
2.The Padre who has been poisoned is a christian
3. Therefore some Muslims have poisoned the padre

How does the above sound?
Duh....!!!
Zikionza Moderity ya ku express through LOGICAL Thinking kuna hatari ya kupoteana hapa.
 
nina uhakika na ninachoKINENA! Mawaidha yenu ni full propaganda. Eti vilabu vya soka kama Arsenal, Manchester, Real Madrid ni vya shetani. Ukimwambia toa kifungu katika Koran, kimyaaaa!
Kwa faida ya JF tutajie hiyo misikiti na hao masheikh waliokuwa wanatoa hayo mawaidha.
 
Msikitini hakuna huo upuuzi wako unaosema, tatizo lenu mnasukumwa na chuki dhidi ya Uislam mpo radhi kuongea chochote.

Unaongea na muislam.....na pia kwa bahati nzuri spika za misikiti zipo nje si ndani..kwa hiyo usiedhani ni siri......hata wanasiasa waislam wengi wapo wazi tuu.....hata Zitto mar akiabo anadaia kuwa hakuna usawa , Lipumba na wengine...sidhani upo serious..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom