Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
sipendekezi kwani najua utaumia sana roho..na sipo muda wa kukumiza..Usijaribu ni blackmail ili nijisikie guilty..mimi huwa sioperate hivyo....kwani hujawahi sikia north America, east Africa etc..australia na oceania..kutaja kanda si shida kwa lolote.

swali funny.....kabla ya kitamba kulikuwa na nyuzi na rangi......Zenj ni km wilaya moja tuu...na Mafia haipo Zenj...sijui umeulizia nini hili swali.

Pendekezo lako liniumize mimi roho? Wewe ni mtabiri?

North America ni kanda inayotokana na vijiji au mikoa?

Umesema CCM wanasema bara na visiwani. Hilo swali linalokufanya ushindwe kushangaa. Mafia ni bara au visiwani?

East Afrika ni kanda inayoundwa na wilaya ya Rwanda, wilaya ya Burundi, Mkoa wa Uganda, Mkoa wa Tanzania na mkoa wa Kenya?

Je kanda ya Tanzania imeundwa na kijiji cha Tanganyika na kijiji cha Zanzibar?

Umewahi kusikia nchi hii Sychelles? Hii itakuwa wilaya au kijiji kimoja tu?

Cape verde?

Kabla ya nyuzi na rangi palikuwa na nini?
 
Kristo Tumaini Letu! Maaskofu, mapadre/wachungaji, watawa, karismatiki, wainjilisti, makatekisti, waumini wenye upako na wakristo wenzangu mliopo zanzibar endeleeni kupiga enjili msikatishwe tamaa na yule mwovu! Amina.
 
kama dunia ingekuwa na waislam wengi kuliko WAKRISTO nadhani hawa jamaa walivyo na ROHO MBAYA wangetumaliza...MUNGU amponye mtumishi wa MUNGU Padre MWANG'AMBWA....kwa matukio haya yanavyozidi kuendelea ya ubaguzi wa waziwazi wa kidini na kashfa za kidini dhidi ya WATEULE WA MUNGU(WAKRISTO)...ndo maana nina chuki za waziwazi na UGAIDI...I HATE MUSLIMS
 
Kristo Tumaini Letu! Maaskofu, mapadre/wachungaji, watawa, karismatiki, wainjilisti, makatekisti, waumini wenye upako na wakristo wenzangu mliopo zanzibar endeleeni kupiga enjili msikatishwe tamaa na yule mwovu! Amina.

Amina...........sidhani kama matukio haya yana nguvu ya kuzuia NENO LA MUNGU lisihubiriwe.
 
Wale mabinti wa kizungu walivaa vimini ikasemwa ndio sababu ya kuwamwagia - Sasa huyu Padre nae amevaa nini???
Waislam tuache ujinga wa kushikiliwa vichwa kwa manufaa ya wachache......huu si ubinadamu hata kidogo wala hakuna thawabu kwa matendo haya ya kinyama
Haya mambo yatatugharimu sana hata kwa vizazi vijavyo
nani kasema waislam ndo wamehusika? hivi leo hii mtu akimnajisi mtoto tuseme wakristo wamehusika kwa kuwa mapadre ndo tabia zao?
 
kama dunia ingekuwa na waislam wengi kuliko WAKRISTO nadhani hawa jamaa walivyo na ROHO MBAYA wangetumaliza...MUNGU amponye mtumishi wa MUNGU Padre MWANG'AMBWA....kwa matukio haya yanavyozidi kuendelea ya ubaguzi wa waziwazi wa kidini na kashfa za kidini dhidi ya WATEULE WA MUNGU(WAKRISTO)...ndo maana nina chuki za waziwazi na UGAIDI...I HATE MUSLIMS
we mburula ni wapi wamesema waislam wamehusika? huko arusha mlisema waislam matokeo yake mshtakiwa anaitwa victor
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao

Aliyekuambia waliommwagia tindikali ni waislam ni nani! Tusiwe wepesi kufikia conclusion
 
Mpaka wawamalize au muwachie wapumuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! bila shaka wanaagiza tindikali kwa mameli, na wanayo nyingi wala haiishi, mtakwisha nyinyi.
View attachment 111737

Hao wanao fanya hivyo ni Islam mbona hatujawahi kusikia shehe au ostazi kamwagiwa tindikali au wa Kristo wakisema wa Islam wa toke zanziber!. Angalia nyie viburi dawa yakiburi ni jeuri nyie Taifa dogo
 
ila anaishi Makkah na pia shetani yuko huko huko kama ukuta na mnampiga mawe! Allah huyo huyo aliruhusu mtume wako kuoa mtoto wa chekechea (Aisha).
Huyo huyo Allah alisema ukijitoa muhanga utakuta mabikra wanasubiri dushelele lako!
badili cd ,hiyo inaboa au umeishiwa.?
 
Wana JF,

Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.

More information to follow.

attachment.php
tekbir
 
Watu wanakuwa brain washed na mahubiri ya upanga kwa upanga then wanaua wenzao wasiowakubali kiimani,si mnamkumbuka yule mnyama Ghailan aliyelipua ubalozi ni mzawa wa huto huto tu visiwa.
asiye na upanga auze joho lake anunue.
 
Hivi na wale waliom-mwagia tindikali yule mzungu walishakamatwa???

Hao Wazungu watasubiri sana..Haitatokea..
Mimi ni Muislam na nimeishi zanzibar lkn..Ukweli hata waislam kutoka bara tunabaguliwa wazi na hawa jamaa..wanatuita makhafir inhali ni waislam inaniuma sana..Msikiti wa Kidongo chekundu,Msikiti wa Daraja bovu ndio balaa..na ndio maana hata ujenzi unasuasua..WAISLAM TUACHE KUBAGUANA ZANZIBAR..
 
Hao wanao fanya hivyo ni Islam mbona hatujawahi kusikia shehe au ostazi kamwagiwa tindikali au wa Kristo wakisema wa Islam wa toke zanziber!. Angalia nyie viburi dawa yakiburi ni jeuri nyie Taifa dogo
ndo maana tunasema media zote zinapendelea upande mmoja wa iman, hivi kweli hujawai ckia sheikh kamwagiwa tindikali?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom