Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Sasa wewe kama unadhani uislam unafundisha watu kumwagiwa tindikali? Ebu fikiria waislamu woote waanzishe vita dhidi ya wasio waislamu unafikiri pangekalika?There are more than 1.6billion muslims duniani. Usikurupuke kuwabambikizia watu wa dini fulani bila ushahidi, tuwache uchunguzi uendelee.
na mhalifu ahukumiwe kwa uhalifu wake na si kwa dini yake nukta
 
Na ndio maana sisi waislamu tunamuamini Yesu kama Issa ni Mtume wa Allah na si Mungu, na muislam hawi muislam hadi aamini hivyo, kitabu alichopewa kimechakachuliwa na ndio maana imeteremshwa Quran ambayo inamthibitisha Yesu utukufu wake kama Yesu alivyotabiri,hakutokea mwengine hadi leo zaidi ya Muhammad.
Haha ndipo mnapokosea kwa kutoka nje ya reli kirahisi:Yesu atakuweje mtume wakati yeye mwenyewe ndio ujumbe?Ujumbe wa Mungu ulikuwa Neno..Na Yesu ni Neno kurani imekueleza yenyewe Jombaa.....

Shida nyingine ni kuweka dhana ya Kitabu inayowapotosha zaidi ya walivyokusudi wapiga propaganda..ndio maana nimewaambia hata shetani anaweza kuna haki zaidi ya muislam mbele ya Mungu...Hata quran yenyewe ma ,apungufu yake wanasema zilishushwa haya..si kitabu..sasa kingekuw akitabu kila siku kingekuwa kinapanda mbinguni kikaandikwe matukio yaliyokuwa yakiendelea...

Yesu si Msg, ila Yeye ndio Ujumbe ,yeye ndio mwili, ndio maana aliwaambia mkinion mmemuona Baba.....YEYE NI NENO soma vizuri hiyo Quran yako unaweza ukasema Biblia imechakachuliwa bure.Halafu ndipo Urudi ktk Biblia soma Yohana uone NENO LA MUNGU ni nini....halafu fanya Uchunguzi wako uone NENO LA MUNGU nini ?Hakuna Tofauti ya Mungu na Neno lake kwa ukamilifu na Uwezo..Yaani Mungu kajipaambanua kwa ktk aspect kwa neno lake..ambao ni sahihi na linalomwakilisha kwa file si mnafiki.

Huwezi tumia fikra za kiislam kuujua Ukristu.Concept ya MTUME ktk uislam ipo very narrow na wrong....Utume lazim uwe na UJUMBE, UWE NA MTUME NA UWE NA ALIYETUMA, UWE NA SOURCE NA DESTINATION...NA UWE NA WALENGWA AMBAO WATAKUWA KTK DESTINATION..

KWENU HATA DAUDI ALIKUWA MTUME, ABRAHAMU ALIKUWA MTUME, HATA ADAMU ALIKUWA MTUME...ndio maana uislam unapata shida uimwite nani amabye yeye mwenyewe ndio huo ujumbe.
 
Sasa wewe kama unadhani uislam unafundisha watu kumwagiwa tindikali? Ebu fikiria waislamu woote waanzishe vita dhidi ya wasio waislamu unafikiri pangekalika?There are more than 1.6billion muslims duniani. Usikurupuke kuwabambikizia watu wa dini fulani bila ushahidi, tuwache uchunguzi uendelee.

Kwani hawajaanza?husikii jihadi duniani kote hadi Tanzania...?Hiyo idadi pia inafikiwa na dhebebu moja tuu la Kikristu catholics


Na pia hujajua Nguvu ya Ukristu ipo wapi..haipo ktk wingi..ipo ktk Taaluma na best weapons ....na spirit of life..islam ina spirit of death.They will kill one another wakati wakiwa hawapo ktk vita na makafiri.
 
..Hata quran yenyewe ma ,apungufu yake wanasema zilishushwa haya..si kitabu..sasa kingekuw akitabu kila siku kingekuwa kinapanda mbinguni kikaandikwe matukio yaliyokuwa yakiendelea...
By the way hiyo ni AYA kumaanisha VERSE na sio Haya. Hata bible ni kitabu na kina Verse.
Kitaab manaake andiko sio lazima kiwe kinene kama unavyodhani.
Si kweli ilikua inapanda mbinguni ikaandikwe(kama una ushahidi toa) bali ilikua ni kitabu kilichokamilika na inashushwa kidogo kidogo kulingana na matukio na hali za watu.
 
Nimefatilia mjadala huu kwa kina, nilichokiona nimashindano ambayo kimsingi uwiano wake na title au hoja halisi

ya kumwagiwa padri tindikali ni mdogo sana naona mjadala umejikita kwenye utetezi wa kidini na kushambuliana

Mimi ningedhani kwa kila anayejadili kati yenu yaani ali777, Nicholas, Kikwajuni one na Elungata main nk

Nimtazamo na rai yangu; kwakila bishanio/hoja na ufafanuzi rejeeni kwenye hoja Je kunauhusiano wowote na

matukio ya tindikali na kupigwa risasi kwa wahusika huko zanzibar?. lengo jamii ijifunze pia serikali, nadhani

baadhi ya watendanji ni memba humu nao wapate lau pakuanzia kumtafuta mchawi.

Sio lengo langu kujiingiza katika mkorogano huu, ni ushauri tu..........
Lakini naona mnapena vifungu ambavyo kwamtazamo wangu sasa mnatoka nje ya mada na kubadili kabisa mwelekeo na

mtazamo wa uzi huu.
baada ya tukio la tindikali badala ya kulaani tukio la uhalifu watu walianza kuutukana na kulaani dini za watu,tokea hapo híi imekua issue ya dini,au wewe ulipenda waislam wakae kimya wakati watu wakiwatusi?

Kwani hao waliomwagia tindikali waliacha ID kuwa ni waislam.
Hata kama ni waislam either by name,ndo kusema ndo dini yote isulubiwe .
Mbona wahalifu wenye majina ya kikristo wakichuna ngozi albino watu hawasemi wakristo wanachuna ngozi?.
So man if you cant stand the heat,stay out of the kitchen.
 
kuzikamilisha ndo kuzifanyaje?yesu alisema haitaondoka hata nukta ya torati,amezikamilishakamilishaje au twacheza na maneno hapa.

Kwani wewe ukijenga nyumba halafu ukiacha kuweka grill ukija ongezea unasemaje?ukimpa mtu hela downpayment unapokuja malizia unasemaje.?."kukamilisha malipo".


sasa wataalamu husema "Perfect/complete"..nimeto amfano hapo juu ..mtu anapokuja rekebisha ukopeshaji wa mabenk ili wanapokopesha watu basi watu hao waweze rejesha madeni na si bank kukopesha watu bila wasaidia kuwapa elimu na nyenzo na baadaye kuwasubiri kwenye kuwafilishi tuu.

Ndivyo alivyofany hakuzitoa tofauti hata nchi ili aliongezea watu wasichukie wengine, ili wasiue na kufikia uwawa, wasitamani wake za wenzao ili wasifikie kuzidi na kupigwa mawe , waistamani mali ya mtu ili wasifikie iiba na kukatwa mikono, wampende sana Mungu ili wasikifikie kukumkufuru.....kuna kitu kinaondoa hata nukta ya torati....torati ilikuwa ikihukumu na si kuepusha..sasa imepewa hilo..Yaani kinga ni bora kuliko Tiba.
 
Kwani hawajaanza?husikii jihadi duniani kote hadi Tanzania...?Hiyo idadi pia inafikiwa na dhebebu moja tuu la Kikristu catholics


Na pia hujajua Nguvu ya Ukristu ipo wapi..haipo ktk wingi..ipo ktk Taaluma na best weapons ....na spirit of life..islam ina spirit of death.They will kill one another wakati wakiwa hawapo ktk vita na makafiri.
nguvu ukristu iko kwenye weapons of mass destruction,kama nuclear etc ndo ipo hapo.kama wanalindwa na mungu wao kwanini wamejilundikia silaha za kuulia watu?
 
Ndivyo alivyofany hakuzitoa tofauti hata nchi ili aliongezea watu wasichukie wengine, ili wasiue na kufikia uwawa, wasitamani wake za wenzao ili wasifikie kuzidi na kupigwa mawe , waistamani mali ya mtu ili wasifikie iiba na kukatwa mikono, wampende sana Mungu ili wasikifikie kukumkufuru.....kuna kitu kinaondoa hata nukta ya torati....torati ilikuwa ikihukumu na si kuepusha..sasa imepewa hilo..Yaani kinga ni bora kuliko Tiba.

Suali ni jee wote walifuata hayo na kama hawakufuata
sasa hapo kwenye red nani hao watakaompiga mawe na kuwakata mikono, ni waislam au wakristo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom