Mkuu sema natukifika sijui tutarudije tulikotoka kama tulikotoka kutaonekana nikuzuri zaidi yatulipofika!!:scared:.........!!!!!!Du tuendako cpati picha, na tukifika cjui tutakuwa na Hali gani.
hiyo crusade walikua wanapigania nini?.Achana na Mambo ya Crusade wewe,Kama unataka historia yake anzisha Uzi mwingine.Unachotakiwa uelewe ni kwamba Mungu wa Wakristo(YEHOVA)hapiganiwi.Na hili ni Onyo toka Enzi za Mtume Petro alipomkata Sikio mmoja wa watu walioenda kumkamata YESU.Siamini kitendo cha Mohamad kuoa Binti wa Miaka 8 ni mafundisho ya Uislam.Hayo ni Matendo yake binafsi na atahukumiwa kulingana na dhamiri yake.Kama ni Mafundisho ya Uislam,basi nitaamini kwamba Mfumo Kristo upo.
Unachotakiwa uelewe ni kwamba Mungu wa Wakristo(YEHOVA)hapiganiwi.Na hili ni Onyo toka Enzi za Mtume Petro alipomkata Sikio mmoja wa watu walioenda kumkamata YESU.Siamini kitendo cha Mohamad kuoa Binti wa Miaka 8 ni mafundisho ya Uislam.Hayo ni Matendo yake binafsi na atahukumiwa kulingana na dhamiri yake.Kama ni Mafundisho ya Uislam,basi nitaamini kwamba Mfumo Kristo upo.
Hilo genge la tindikali likijulikana, nchi itatikisika. Lina mtandao wa ufadhili mkubwa sana.
Unachotakiwa uelewe ni kwamba Mungu wa Wakristo(YEHOVA)hapiganiwi.Na hili ni Onyo toka Enzi za Mtume Petro alipomkata Sikio mmoja wa watu walioenda kumkamata YESU.Siamini kitendo cha Mohamad kuoa Binti wa Miaka 8 ni mafundisho ya Uislam.Hayo ni Matendo yake binafsi na atahukumiwa kulingana na dhamiri yake.Kama ni Mafundisho ya Uislam,basi nitaamini kwamba Mfumo Kristo upo.
Muungano uvunjwe, machogo hamtakiwiiiiiiii
kwanini issue ya dini kwa wakristo huwa mnapoteza comfidence zenu.
Kama kumwagia TINDIKALI na kupiga risasi wakristo ni kulazimisha muungano uvunjwe basi. Ni lazima serikali iwashikishe adabu watuhumiwa... Akiua auliwe... Akilemaza alemazwe.Huu muungano unaoendelea kulazimishwa utazidi kuzaa athari mbaya sana!
Hamtakuwa salama kwa kuua watanganyika.Itafahamika tu!
Muhamad (peace be upon him) hakuwa anafanya mambo kwa matamanio ya nafsi yake isipokuwa hupata wahy kutoka kwa mola wake
serikali ya kiislamu.kwani ilunga na uamsho hawajulkani! Hata ushahidi wa video upo sema tuna serkali na rais dhaifu
Dini yenye ushirika na watoto wa Ibilisi wafuasi wake ni wajukuu wa Ibilisi wanaweza kufanya chochote suratul al-ahqaf 46;29. Licha ya Ibilisi kuonekana hafai suratul al-kahf 18;50. Tafsiri nyingine nyingi za jini huwafuata Waislam hata kwenye ngono itakuwa wanapozamilia kutenda uovu
suratul alahqaf 46 :29 inasema '' na (wakumbushe) tulipokuletea kundi l majini (kuja kwako) kusikiliza qurani. Basi walipoihudhuria walisema ( kuambiana ) nyamazeni (msikilize maneno ya m\mungu) na ilipokwisha somwa walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya . 30 wakasema enyi watu wetu hakika tumesikia kitabu kilichoteremshwa baada ya musa kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na kinachoongoa ktk njia iliyonyoka) jojojo tafakari maneno haya kwa uzuri kama ww unauchukia uislam bac kaa na iman uliyo iamin