Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,739
Mkuu una utani na Ritz??
Kiongozi huondo ukweli aisee!!!!!!!!! we cheki vizuri
Mkuu una utani na Ritz??
Who's next?
Bado tunasubiri mkristo mwingine amwagiwe tindikali au kupigwa risasi.... Yaelekea malengo yenu na ILUNGA yanatimia.Kwa mtazamo wako lakini, bara mbona kuna waislam umewahi sikia Padre kamwagiwa tindikali, this is more than uislam!
Inawezekana akawa Ritz mwenyewe anatumia avatar inayoelekeana naye.Kiongozi huondo ukweli aisee!!!!!!!!! we cheki vizuri
Inashangaza mtu aliyemwagiwa tindikali anaangaliwa tu bila watu kuonyesha dalili za kumsaidia bila shaka hao watu wanajiuliza kwa nini ajafa kabisa, laiti asingekuwa mfuasi wa kristo dawa ya majini, mapepo na mashetani, na ushenzi wote angeshabebwa juu ili kuwahishwa kwenye msaada
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
Kibaya zaidi kuwa Wazanzibari wanaumia zaidi kwa utalii uliotoweka, nchi nyingi wamezuia wananchi wao kwenda Zanzibar, wawekezaji wengi wameahirisha au kuondoka kabisa.
aliokwambia ww unamuabudu mungu nani acha zako ww cku ùtayokufa ndo utajua ulikuwa unamwabudu nan? Ila kama unaitakidi kwamba na ww unàbudu bac utajionea mwenyewe cku yako ya kwanza kaburini
nini sababu ya crusade?.
we ogopa elimu ahera..............yan hiyo ni dalili tu kuwa akili hata ya kufikiri kidogo hamna
kama utafuatilia post za nyuma kidogo utaona hizo nimeainisha kuwa hizo aya zinazo ulinda uislam dhidi out siders. katika biblia yesu anasema wala msizitupe lulu zenu mbele ya nguruwe watazikanyaga na kugeuka na kuwararua. iweje sisi waislam tuwe na urafiki wa kukupeni siri za duwa nyeti. lakini sura nyingine inasema "m/mungu hakukatazeni kuwatendea wema wasiokuwa waislam hali yakuwa hawajakufanyieni uwadui"
jamani tunaomba msome
Zanzibar sio mahali salama tena kwa WAKRISTO.!!
Kwa ninaacho amini sasa Zanzibar ndio eneo sahihi la kuutangaza ufalme yesu kristu couz watu wake bado hawajaelewa ujio wake. Pole sana mtumishi wa mungu.
Acha kutisha watu wewe... ilunga ndio kakufundisha hivyo