Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,898
Mkuu unapochangia hoja ni busara sana kutotoa maneno yanayoweza kumjeruhi mwingine kiimani,kisaikolojia n.k. maandishi yako yanajeruhi dini uliyoitaja na kuilalamikia. Kumbuka uislamu ni dini inayohubiri amani, usichanganye dini na matendo binafsi ya watu.Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao
Zanzibar ni zaidi ya uijuavyo, kutuhumu matukio hayo kuwa yanafanya na waislamu ni makosa makubwa. Ni mahakama pekee yenye mamlaka ya kutoa hukumu. Kwa nini unahukumu kwa hisia tu? Au ndio great thinkers wanatakiwa wawe hivyo? Acha chuki za kidini, tutulie tuviache vyombo vya usalama vifanye kazi yake.