P-Funk naye aishukia Clouds FM

P-Funk naye aishukia Clouds FM

Umeshaingiza mkuu, nenda mlalakua kanyake buku ten yako!
 
P funk ni mtu mzima hapungui miaka 50. Alishindwa nn kumshauri mangwair aache unga aliojifunzia kuuvuta katika studio yake
 
Lete ushahidi sikuhizi kuna video eeh! Mambo ya youtube eeh we wa wapi?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja

hahahaaa Rugee bana, kwahiyo ndio utetezi wako huu
 
Kama mmemjua kwamba yeye ndio maskani ya wavuta unga mlichukua hatua gani kuhakikisha anatiwa nguvuni pia suala la ku-deal na wavuta unga ni swali pana na linahitaji mnyororo mrefu kulishughulikia hasa ukizingatia vijana wengi wanapokuwa under 20 ni rahisi kujiunga na magenge si ya wavuta unga bali hata uvutaji sigara au unywaji pombe hivyo basi sababu zinazomfanya kijana kutumia unga ndio hizo hizo zinamfanya mtu kutumia vilevi vingine kama pombe na uvutaji sigara tatizo tu ni kwamba wengine wanaangukia kwenye unga though wote hao ni makundi ndio yanawapelekea huko. Kazi yetu sie ni kutoa ushauri kwa vijana wetu, wadogo zetu kuhusu hasara za matumizi ya vilevi iwe ambavyo vimeruhusiwa au havijaruhusiwa kwani katika umri wa ujana especially wale wanaosoma ni rahisi kuegemea huku.
 
usipende kutumiwa kama ile mipira ya kivulana utaolewa mjin hapa
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja

Wahi kwa Ruge ukachukue posho kwa kupost
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja

Kuna uhusinao mkubwa baina ya ccm na clouds fm.
Wote mnasifa ya kunyonya walalahoi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyu Kupe hata issue ya JD aliisimamia sana....atakuwa ndo Ruge mwenyewe!...wamekwisha Clouds na wizi wao,siku CCM inakufa na clouds ndo byebye!Wanyonyaji wakubwa...eti saizi hawapigi nyimbo zilizomtaja P.FUNK..AU TOKA BONGO RECORDS
 
Katumwa huyo, mwacheni na njaa yake! Mawingu washenzi sana wamewatia umasikini vijana wenzetu ambao walishatusua life na kuanza kumiliki majeep, benzi yaani siwapendi xgdghfthfghfb zao
 
]P funk ni mtu mzima hapungui miaka 50. [/COLOR]Alishindwa nn kumshauri mangwair aache unga aliojifunzia kuuvuta katika studio yake

kwa huo uongo uliouandika kwenye rangi hapo,ustaili kuendelea kuongea uzushi unaousikia kwenye mabweni yenu hapo shuleni.
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja


1.Kuandika kwenyewe hujui..
2.P-Funk ni kweli anavuta bangi lakini kuhusu UNGA sio kweli kabisa namfahamu na pale studio kwake hakuna hata mmoja aliyewahi kuvuta UNGA.

Mtoto wa kiume usipende kuandika vitu vya umbea vya kusikia kwa Mashosti wako huku ukiwa huna uhakika...
 
P funk ni mtu mzima hapungui miaka 50. Alishindwa nn kumshauri mangwair aache unga aliojifunzia kuuvuta katika studio yake

Acha uongo mkuu miaka 50? hajafikisha bado,,,kumbe unaandika vitu usivyovijua!
 
Back
Top Bottom