P-Funk naye aishukia Clouds FM

P-Funk naye aishukia Clouds FM

Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe
cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa
vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika
na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia
umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele
kimoja

hyo ndiyo kawaida yenu vidampa wa clouds ukwel unapoanikwa mnaibuka na propaganda km hiz
 
Kwenye studio yake ndio kijiwe cha bangi na unga {drugs} za aina . Pamoja na vilevi vingine . Leo sasa vijana aliowafundisha ulevi wake wanaanza kufariki sasa eti anaibuika na kuilaumu clouds . Kweli mvuta bangi ni mvuta bangi tu. Unatafutia umaarufu kupitia kwa marehemu. Haya khalfan aka majani au kinywele kimoja

akili yako ndipo ilipoishia kufikiri nani kafa kwa madawa ya kulevya.??
 
Kwan ukwel uko wap mana kila mtu anaongea lake.

Ukweli ni kwamba P funk majani studio yake ndio kijiwe cha kuvutia bange. Pamoja na unga .vijana wengi wa bongo fleva wanajifunzia unga pale kwenye studio yake. Na mlinzi wake wa getini ndio pusha mkumbwa wa bange. Au muuza bangi wa hao bongo fleva.
 
Ukweli ni kwamba P funk majani studio yake ndio kijiwe cha kuvutia bange. Pamoja na unga .vijana wengi wa bongo fleva wanajifunzia unga pale kwenye studio yake. Na mlinzi wake wa getini ndio pusha mkumbwa wa bange. Au muuza bangi wa hao bongo fleva.

Acha uongo ulishawahi kufika hata hapo Bongo record au ndio stori za redio mbao huko mitaani ndio unazileta humu,fikiria kabla ya kuandika na pia tafuta audio ya maneno ya P umsikie kasema nini nahisi ulikuwa pombe kipindi unayasikiliza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Naamini utakuwa na matatizo ya akili labda kama kuna daktari wa akili humu tujaribu kukupima mi ntakulipia gharama . Kama hujui muziki sio lazima kuongelea issue usioijua. Au unataka kufahamika ?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom