stata mzuka
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 4,834
- 1,765
Sasa nani kati yetu anategemea maneno ya kusikia? Mimi au wewe unaefanya reference kwenye video? By the way, wapi nimesema Bongo Records ni kijiwe cha wala unga?halafu unajifanya unajua sana maneno machafu....sasa sikiliza, tafuta namba zingine za kuchezea; endelea!
Mkuu utanitafutia Ban tu,,,Wasalimie Ushenzini!!