Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Hizo lawama nyingi ni za akina nani ? Wana JF ama ? Kati ya wasikilizaji milioni moja wakilalamika watu elfu moja sioni ubaya.Wachina wanasema iwapo utaona mmekaa zaidi ya watu kumi mnaongea na wote mnakubaliana kwa kila jambo basi hapo kuna jambo halipo sawa.
Hebu sasa mtoe ushauri wa redio mbadala, Kwani kusema kweli wasanii ni wengi sana hapa bongo na wote wanaiangalia clouds, na nina uhakika clouds haina uwezo wa kuwafikia wote. Toeni ushauri wa redio mbadala ya kukimbilia tuachane na hawa "wanyonyaji" Tulalamike na kutoa ufumbuzi jamani watanzania wenzangu.
EA Radio,Radio 1,RFA.........,
Honestly mie clouds wananiboa,afu wanajifanya wao ndo wanasapot industry
kuliko mtu yoyote mwingine TZ hii