Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,876
According to Obama speech ni kuwa hawajamzika na mwili wake uko under US custody sasa huko baharini nani kaupeleka????
misukule imeuchukua
According to Obama speech ni kuwa hawajamzika na mwili wake uko under US custody sasa huko baharini nani kaupeleka????
![]()
NOFORN = NOt releasable to FOReign Nationals
Burn Bag Burn bag - Wikipedia, the free encyclopedia
Hiyo picha mbele ya mama Clinton ni ya compound?
Hajajivunjia heshima, kaongea ukweli, it doesn't make any sense kwa marekani kumuua osama na kumzika 8 hours later BAHARINI kwa kile wanachodai wanaheshimu sheria za kiislam, uongo mtupu.....
Picha nimeitoa hapa P050111PS-0210 | Flickr - Photo Sharing!Mbona kama Biden ndio mwenye view nzuri hapo? Hii picha imepatikana wapi?
Kwa maoni yangu tayari serikali ya Marekani ishadondosha mpira kwenye hili kwa sababu sasa hata wakitoa bado watu watahoji authenticity ya hiyo au hizo picha. Kwenye mambo ya PR kama hili hutakiwi ku dillydally.
Pia sasa eti inasemekana Osama hakuwa na silaha yoyote ile na wala hakutoa resistance yoyote ile. Sasa kwa nini wasingemkamata wakamweka kwenye hifadhi yao kama walivyofanya kwa Saddam. Kwa Saddam tuliona hadi video footage akifanyiwa physical huku nywele zake zikiwa timtim.
Hii ya Osama inaibua maswali mengi mno. Kila kitu kimefanywa haraka haraka utadhani alikuwa mtakatifu. Pia tunaambiwa eti kazikwa (mimi nadhani kadondoswa tu baharini na hiyo ni kama kweli wamemuua kama wanavyodai)kwa kufuata taratibu za dini yake. Eti kabla ya "kuzikwa" aliombewa. Hiki nacho ni kichekesho. Huyo aliyemwombea ni nani? Ndugu au Imam wa Kimarekani?
Things just don't add up for me.
Hali zenu great thinkers wenzangu! Naomba mnijuze wadau bahari alipozikwa huyu gaid nambari moja wa al-qaeda ambaye kwasasa hatunaye tena duniani, hapa namaanisha Osama bin laden, Nawasilisha.
Hapo lazima makomandoo wa Israel wametumika wale watu ni vichwa balaa