Kweli ni nomaSerikali ya Marekani haijaitoa picha ya Osama officially hiyo picha inayozunguka kwenye mitandao ni photoshoped image aliyeanza kuizungusha hajulikani.
sasa hawa wamarekani c waongee ukweli tu mbona wanajichanganya na hizi habari zao?au ndio kama kuenda mwenzini?
Serikali ya Marekani haijaitoa picha ya Osama officially hiyo picha inayozunguka kwenye mitandao ni photoshoped image aliyeanza kuizungusha hajulikani.
Hizi habari wanazitoa nusunusu na inaharibu ile flow of information kwasababu wanazingatia propaganda zaidi kuliko ku provide ukweli wa tukio na the whole mission.Wanadai sasa Bin Laden did not try to resist,before walisema he did try to resist,halafu kuna wakati walisema mission ilikuwa ni kumwua na si kumkamata akiwa hai.Huku tukijua kuanzia awali tokea Bush kuwa policy ilikuwa to capture him dead or alive,sasa walimpiga risasi ya nini kama hakukuwepo na resistance?,Wakati huo huo,chini ya Obama wanadai kuwa hiyo code name "Geranimo" means kill or capture Bin Laden...Hakuna kinachoeeleweka smoothly,too much contradiction,inawezekana aliresist lakini mambo ya propaganda hawataki kusema ili asiwe revered aonekane coward.
Badala ya kutoa habari naona wako busy kuipangilia namna ya kuitoa na kupanga kuwa ni habari ipi itolewe na kivipi,sasa huu ndo upuuzi wenyewe.Hata hivyo ndo kawaida hiyo,mshindi huandika historia,na tutaendelea kulishwa propaganda za washindi taka tusitake.
Ungeandika Kiswahili nadhani ungeeleweka zaidi, sasa sijui unamficha nani na icho kiinglishi chako. Uh!
Hii dhana nzima ya "kuahidiwa Mabikra 72 ahera" imetokana na kwamba wengi (kama siyo wote), wanaojitoa mhanga kwa jina la Uislamu wametokea kuwa ni Vijana wa Kiume ambao hawajaoa bado na hawana familia - ndiyo maana wanahadaiwa na Masheikh/Maimaam kwamba huko wanakokwenda wategemee "Mabikra 72".Yaani kila ulichokiwacha...! It means KILA KITU... Mpaka chu.pi
source?...Wanadai sasa Bin Laden did not try to resist
Hivi
- kuna muislam anakubali views za Osama ndio image ya uislam ?
- Kuna wakristu wanadhani Osama anarepresent views na mafundisho ya Uislam
Inashangaza kama kuna waislam wanashindwa kumemea OSama just sababu anatumia mgongowa dini. Na inashangaza watu kudhani views za Osama ni views za waislam wote.
kwakweli Obama amefanya ile inayoitwa calculated risk,