Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
....afadhali. I hope sasa tutasafiri bila extra screening A'ports! :A S 39:
Heheh mkuu vitatokea vi Osama wannabe na kulilia attention sidhani kama jamaa watapunguza hizi sheria zao.
 
Wanasema "Obama got Osama" lol...

“The fight against terror goes on, but tonight America has sent an unmistakable message: No matter how long it takes, justice will be done.” George W. Bush
Obama girl lazima atoe single yake ya 2012 na atatumia huo mstari lool
 
Former President George W. Bush, who was in office on the day Osama attacks NY, issued a written statement hailing bin Laden's death as a momentous achievement. "The fight against terror goes on, but tonight America has sent an unmistakable message: No matter how long it takes, justice will be done," he said.
 
Bin Laden killed a year before election...How convenient!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mimi najiuliza, Wamarekani walikuwa wanamtafuta Osama kwa sababu aliwashambulia lakini je ni kwa nini Osama alitangaza vita dhidi ya Wamarekani?
 
Watu wako ground zero mchezo lool.naona watu wata call off makazini kinoma wana kisingizio lol
 
vijana walikuwa well trained.........dakik 40 zikatosha kummaliza bin laden......
 
Mi naona mchezo ndo unaanza btw avatar yako ya zamani ilikuwa bomba zaidi.

ItAbidi niirudishe nimepata
malalamiko yakutosha lol

Nway unadahani mchezo utaanza tena
jinsi wanavyoona ndugu zao wanauliwa na
kukamatwa kama kuku... na sasa baba yao wa taifa
ndo ka RIP nadhani hofu watakuwa nayo..
 
Kuna mwanamke ambaye Bin Laden alimtumia ka shield naye ameuwawa,ama kweli huyu jamaa naye ana u coward flani hivi.
J. Mushi, huyo mwanamke aliyeuwawa alikuwa ni human shield ya mmoja wa wanaume wawili waliokuwa na Osama, siye Osama ndiye aliyemtumia kama human shield. Wameuwa jumla ya watu 5 along side Osama, wamewauwa watu wengine wawili, wanaume, mtoto mmoja na huyo mwanamke. Tutazame na upande wa pili, hawa waliouwawa including mwanamke na mtoto, ni innocent victims ambao Americans must pay the price for in the law of the 'karma'!.
 
Yani jamaa alikuwa amejichimbia karibia na Kambi ya Jeshi la Pakistan umbali wa kilomita 50 kutoka Islamabad kwenye eneo ambalo wastaafu wa jeshi la Pakistan wanakaa. Kweli jamaa alikuwa muoga.

-Geo TV ya Pakistan wanaonyesha ilo jumba.
 
Ingependeza sana kama wangemkamata akiwa hai....:frusty:
 
At last, terrorist has catched their son. The mission is complete.
 
Yani jamaa alikuwa amejichimbia karibia na Kambi ya Jeshi la Pakistan umbali wa kilomita 50 kutoka Islamabad kwenye eneo ambalo wastaafu wa jeshi la Pakistan wanakaa. Kweli jamaa alikuwa muoga.


inasemekana pia kuwa jamaa alikuwa hapo kwa kuwa alikuwa anaumwa figo na alikuwa anapata matibabu.........
 
Heheh mkuu vitatokea vi Osama wannabe na kulilia attention sidhani kama jamaa watapunguza hizi sheria zao.


...acha tu, na mapeema onyo lishatolewa, mwenye masikio na asikie;

:A S new::A S new::A S new:"The US State Dept has issued a global travel alert to all US citizens warning of "enhanced potential" for anti-American violence" :A S new::A S new::A S new:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom