Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
This is big news, hebu tuusubiri uthibitisho wa Obama!. Hii ndio karata pekee ya turufu itakayomrudisha Obama ikulu ya White House mwakani.
hongera sana Obama, hongereni sana The American People!.
 
At last, the world will breath again!...Japokuwa hatujui strength ya back-ups wake!...they may be worse!
 
Source CNN Osama Bin Laden is Dead
Habari zinasema Osama Ameuwawa mbele ya wanafamilia wake nje ya jumbalake la kifahari (Mansion) mjini Islamabad
CNN wanasema he has been killed in a mansion outside Islamabad na hawajasema kama ni jumba lake.Lrts wait for more news acha kukolezea unless unatizama CNN ya tofauti...Wnadai it was a human operation,hivyo siyo drone.
 
According to CNN, The al-Qaeda leader was killed in a mansion outside Islamabad in an operation based on actionable US intelligence.
 
That's what they are saying but just think about it for one second, how do we verify that?

I'm sure there will be retaliatory action. It's coming.
Mkuu a while ago niliwai kusema kama USA and co wanamtaka Osama basi wanahitaji ushirikiano wa Pakistan's ISI.. I guess Obama atatoa details zaidi kwenye press conference yake.. Looks like they killed his family too.
 
All in all, jamaa alikuwa kajichokea jamani!...Just an Old -Dog!...teethless, and all the like!
 
Wimbo wa Taifa kubwa (US' National anthem) unaimbwa hivi sasa nje ya WH na raia wa kawaida tu.
 
Sasa Obama ana uhakika wa kushinda kipindi cha pili labda aboronge tu, kwa vile kitendo hiki kitawafurahisha wamarekani wengi wakiwamo maadui zake.
 
Du, leo kwa mara ya kwanza ndio naona BBC wakionyesha kwa mapana video zake!...way before ilikuwa ni flashes tu fupifupi!
Naamini sasa hayupo huyu mtu!
 
Huyu Obama naye hajui kabisa kuheshimu time. Ilikuwa aongee 10.30pm ET, ikasogezwa na kuwa 10.50pm ET na kusogezwa tena hadi 11.15pm ET na sasa ni 11.24pm ET bado tu hajaonekana.
 
Najua kwenye hili lazima Wamarekani watajipa credit hata kama si wao waliomuua. Inawezekana kabisa kuwa kafa kwa ajili ya ugonjwa kwa sababu alikuwa mgonjwa muda mrefu sana.

hata mimi najiuliza, inawezekana Osama alishakufa kitambo kwa ugonjwa wake, au kafa kifo cha kawaida. lakini kwa kuwa Marekani sasa inatafuta namna ya kuondoka Afghanistan gracefully, kwa sababu ni dhahiri ile vita imegeuka kuwa liability kwao !. ukizingatia Taliban wametangaza kuspeed up mashambulizi, hawa jamaa wanaweza kustage up hii kitu ili waondoke Afghanistan gracefully!.
 
Osama bin Laden is dead, Obama announces

Osama bin Laden, the mastermind behind al-Qaida, is dead, President Obama to announce from the White House
Osama-bin-Laden-008.jpg
Osama bin Laden has been killed by US operatives in Pakistan, President Obama announced. Photograph: AFP/Getty Images

Osama bin Laden, the criminal mastermind behind al-Qaida and the world's most sought-after terrorist since the attacks of 11 September 2001, has been killed by a US operation, President Barack Obama will announce late on Sunday night.
Osama's body is in possession of the US, having been killed in Pakistan as the result of a US special forces and CIA operation, according to the first leaks of reporting from the US television networks.
President Obama is to make a highly unusual Sunday night live statement to announce the news, around 11pm eastern time.
The news comes eight years to the day that President George Bush declared "Mission accomplished" in Iraq. As president, Bush declared he wanted bin Laden "dead or alive" – but it is now the unlikely figure of Barack Obama who announces the final triumph as the US commander in chief.
This is a turning point in the global "war on terrorism" that has been waged since 9/11 – and the news will reverberate around the world.
The news comes as an unparalleled boost for US foreign policy, the key aim of which since 2001 has been the disarming and dismemberment of al-Qaida, and coincidentally probably insures the re-election of Obama in the 2012 presidential contest.
As a candidate, during the 2008 election campaign Obama repeatedly vowed: "We will kill Osama bin Laden." And so it proved
 
Pakistan official: confirm
Waiting Obama's statement, reported he is communicating with other leaders around the world.
Speculation: Killed at the outskirt of Islamabad with other family members following highly sensitive info.
More details later.

Source: CNN, BBC, Al jazeera
 
Huyu Obama naye hajui kabisa kuheshimu time. Ilikuwa aongee 10.35pm ET, ikasogezwa na kuwa 10.50pm ET na kusogezwa tena hadi 11.15pm ET na sasa ni 11.24pm ET bado tu hajaonekana.

Lazima mambo yawekwe fresh! unadhani yeye ni mropokaji tu?
 
Sasa Obama ana uhakika wa kushinda kipindi cha pili labda aboronge tu, kwa vile kitendo hiki kitawafurahisha wamarekani wengi wakiwamo maadui zake.

Sasa hapo Obama kwa nini apewe credit? Yeye ndo alihatarisha maisha yake kumuwinda Osama huko Islamabad?

Siasa saa ingine bana.....kazi afanye mwingine ujiko achukue mwingine. So Very unfair!!!!
 
hata mimi najiuliza, inawezekana Osama alishakufa kitambo kwa ugonjwa wake, au kafa kifo cha kawaida. lakini kwa kuwa Marekani sasa inatafuta namna ya kuondoka Afghanistan gracefully, kwa sababu ni dhahiri ile vita imegeuka kuwa liability kwao !. ukizingatia Taliban wametangaza kuspeed up mashambulizi, hawa jamaa wanaweza kustage up hii kitu ili waondoke Afghanistan peacefully!.

Kama wangemkamata bado yu hao hapo mimi ningewaona jamaa vidume kweli kweli. Lakini hii keshakufa wiki nzima halafu mnatangaza Jumapili usiku/ asubuhi ina walakini kidogo. Jamaa inawezekana kabisa amekufa kwa ugonjwa wake na si kupigwa na Marekani.
 
Status
Not open for further replies.
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom