Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,202
- 99,941
Nime-tune Aljazeera inaonekana aliuwawa about a week a go!!!
Thats the guy was bragging and talking trashes about the democracy and how he did it. Do you remember these videos?
![]()
Wamarekani ni noma! u can run, u can hide, but they will get u! One way or another...
Sounds like it was a covert operation maana wanasema ameuliwa in Islamabad kwenye mansion...!How did he die? Are you all buying what the Americans are saying that they killed him? It is being said that he died a week ago. How can we know if he didn't die due to natural causes. He was sick for a long time anyway.
These Americans man. Anyway let's wait for more detail.
Cia inaonekana wamefanya kazi yao mkuu.Najua kwenye hili lazima Wamarekani watajipa credit hata kama si wao waliomuua. Inawezekana kabisa kuwa kafa kwa ajili ya ugonjwa kwa sababu alikuwa mgonjwa muda mrefu sana.
Najua kwenye hili lazima Wamarekani watajipa credit hata kama si wao waliomuua. Inawezekana kabisa kuwa kafa kwa ajili ya ugonjwa kwa sababu alikuwa mgonjwa muda mrefu sana.
Mbinu za Obama kwenye kampeni ya 2012 hamna jipya.
Mbona hawasemi ameuawa lini na wapi
Sounds like it was a covert operation maana wanasema ameuliwa in Islamabad kwenye mansion...!