Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Hapo namsifu Obama ikiwa ni kweli amefanya usanii kuwa amemuua Osama hakuwa na namna nyingi ya kufunga file la osama ili kuanza mchakato wa kuokoa fedha za walipa kodi wa nchi yake. It is only too bad anasafisha uchafu wa mtangulizi wake.
 
Kile kinachodaiwa kuwa ni mauaji ya mtuhumiwa wa kwanza kwenye orodha ndefu ya wale maadui wa USA ni kielelezo tosha kwamba utawala wa Rais Obama unataka kujikita zaidi kwenye maamuzi ya kuongoza nchi hio na labda kumtafutia ushindi kwenye uchaguzi ujao.

Lakini pia kwa wale wafatiliaji ni kwamba hii ni namna ya kuepuka hasira na mawazo ya jamii nzima ya marakani juu ya hali ya uchumi wa nchi hio ambayo bado haijatengemaa.

Kitendo cha Marekani kuweza kutuma makomandoo wake wakaingia nchini Pakistan bila kugundulika kimedhihirisha kwamba nchi zinazotegemea misaada kutoka Marekani hazina cha kusema juu ya uendeshaji wa nchi zao na hazina uhuru wowote na ndo kukafanyika mauaji ya kisiasa ndani ya ardhi ya Pakistan.

Kama Osama ameuawa au hajauawa hakuna ataefahamu hadi hapo picha za sura yake akiwa maiti zitakapooneshwa.

Lakini wamarekani wote wamefurahia taarifa za mauaji ya Osama na wakakesha mitaani usiku kucha wakishangilia sasa je sisi tusio wamarekani tunataka iweje?

wamerekani si wote wanaamini hivo.na si wote wanaamini walimuua wao yaezekana alishaded tangu 2001.nenda hapa.
inforwar.com
 
Haya nayo yamekuwa mengi, nadhani tuelee moja tu ni kuwa osama hayuko hai tena mambo mengine hayatusaidia sana!
 
Mkuu hivi mnadhani Obama angefungaje file la Osama?

kwamba atoke tu kitandani na kutangaza kuwa osama died a long time ago wakati maelfu ya wanajeshi wa marekani wameuawa na wanaendelea kuuawa kwa madai ya kumsaka Osama na vita ya Ugaidi.

Obama hakuwa na namna nyingine ya kufunga file ni lazima uchezeshe usanii, it is only pity that ametumika (kama kweli hakumuua Osama tar 1 Mei) kuanza kufuta uchafu wa George

Ni usanii huu ndio unaotupiwa shaka. Pakistani wanafahamu ukweli wote juu ya mahali alipokuwa akiishi Osama.

Marekani inawapa Pakistan msaada wa mabilioni ya dola nchi hio na bado haikuwa tayari kusema mahali alipo mtu huyo. Pakistani ina idara yake ya ujasusi ya kijeshi Inter- Serices Intelligence au ISI ambayo ina nguvu sana
na wasingeshindwa kutambua makazi ya Osama.
 
Nyinyi mnaodharau kwa kusema Ni consipiracy theory tu, hebu angalieni hii makala hapa chini, au bofya hapa:Five times the conspiracy theories turned out to be true - Yahoo! News

Five times the conspiracy theories turned out to be true Daily Caller

Shortly after the White House announced that Osama bin Laden had been killed in a raid conducted by the U.S. military inside of Pakistan, conspiracy theories trickled their way through online communities, forums and blogs. They eventually found their way into the mainstream and were debated on the pages of publications like Slate, the Washington Post and ABC News.

Was Osama really killed? If so, where are the pictures? And why the hasty burial at sea? The Obama administration’s refusal to release photographic evidence of bin Laden’s demise and the changing narrative of how the raid played out only fueled the conspiracy theorists, eventually dubbed “Deathers”.

But no matter how crazy they may seem, conspiracy theories will always be around. Why? Because once in a blue moon, they actually turn out to be true.

Below are five times in history where the “alternate storylines,” so to speak, turned out to be correct.
1. The Glomar Explorer and Project Azorian [ For complete coverage of politics and policy, go to Yahoo! Politics ] In the summer of 1974, the Central Intelligence Agency (CIA) launched a mission to recover a sunken Soviet submarine in the Pacific Ocean. The resulting project became one of the most well-known classified CIA operations during the Cold War. It began in 1968 when the Soviet Union sent a submarine carrying three nuclear armed ballistic missiles to its Pacific station, northeast of Hawaii. The submarine never made it, however, as it and its crew sunk to the bottom of the ocean more than 1,500 miles from America’s 50th state. In 1969, President Richard Nixon gave the approval for the CIA to recover the submarine. The mission became known as “Project Azorian,” and it was made possible by the Glomar Explorer.

To keep the mission hidden from the public, however, the CIA needed a cover. So they turned to billionaire Howard Hughes, who agreed to lend his name and his company — Global Marine Inc — to the project. In public, Hughes said his ship was being built to mine manganese nodules from the ocean floor.

In the years that followed, the CIA repeatedly denied the mission ever took place. In February of 1975, New York Times investigative reporter Seymour Hersh had planned to publish an expose on the mission, though the federal government convinced the paper not to publish the story. It didn’t matter, however, because a month later, the LA Times published their own version of the story. Still, the CIA denied the project ever took place — that is, until in 2010 when the agency finally declassified a 1985 internal-only article detailing the mission.

It turned out those who suspected and wrote about the federal government using a business mogul as the cover for a secret Cold War reconnaissance mission were right.

2. The Reichstag Fire

In February of 1933, the Reichstag building in Berlin — which housed the German parliament — caught fire. The act was subsequently blamed on Dutch insurrectionist Marinus van der Lubbe, who was later executed for the crime.

The fire, however, was used as a pretext by Adolf Hitler and his Nazi Party to seize emergency powers. The newly sworn-in Chancellor of Germany argued that the fire was evidence that communists were planning to take over the German government. After convincing the German president to issue an emergency decree suspending civil liberties and granting Hitler special powers to confront the communists, Hitler had communist parliamentarians arrested, resulting in the rise of the Nazis to a parliamentary majority. From there, Hitler was able to move ahead and establish a dictatorship. The rest, as they say, is history.

In the decades following van der Lubbe’s execution, however, many publicly questioned whether he had actually been responsible for the fire, and suggested that the fire had instead been the work of the Nazis, who were eager to take control of the country. Several courts posthumously lessened van der Lubbe’s sentence and in 2008 he was officially pardoned of the crime. The pardon was made possible by a 1998 law that pardoned people convicted of crimes under the Nazis because Nazi laws “went against the basic ideas of justice.”

3. The Cuban Project

During the administration of President John F. Kennedy, removing communist leaders from power around the world was a top priority. Cuba’s Fidel Castro was a particularly important target, given Cuba’s proximity to the continental United States. Publicly, the Kennedy administration waged an ideological war against the spread of communism; privately, it was executing a secret battle known to only a very few.

The battle began in November of 1961 after the Bay of Pigs fiasco when Kennedy authorized aggressive covert operations against Castro’s regime. The operations included several attempts to assassinate Castro and discredit him to the Cuban people. One plan even called for the staging of fake assaults to justify U.S. military intervention in Cuba.

Suggestions for the fake assaults included things like “blow[ing] up a U.S. ship in Guantanamo Bay and blam[ing] Cuba,” and developing “a communist Cuban terror campaign in the Miami area, in other Florida cities, and even in Washington.”

But the Cuban Project — which was reportedly called off after the Cuban Missile Crisis — was a failure, evidenced by the mere fact that Castro is still alive today and Cuba remains in the hands of communists.

4. Andrew Young and John Edwards

As political love triangles go, this one’s a doozy. The cast of characters include one-time presidential candidate John Edwards, his late wife Elizabeth Edwards and film producer Rielle Hunter. Add in the bizarrely attached longtime Edwards aide Andrew Young, and you’ve got a love rhombus, so to speak.

It all started in December 2007 when Young claimed to be the father of Hunter’s baby. Edwards had previously admitted to having an affair with Hunter, but denied paternity of the child in order to avoid having to admit he fathered a child while campaigning for the presidency and while his wife was battling breast cancer.

But the story of Young and Andrews, it turns out, is one of a sycophantic aide turned scapegoat for his idolized boss’ vices. In a tell-all book Young published in 2010, he revealed being taken advantage by Edwards, who begged him to claim paternity. The messy affair ended when Edwards finally fessed up.

5. Watergate

Last but not least is a presidential cover-up that ultimately resulted in a presidential resignation. The Watergate scandal — prompted by an overly-suspicious and paranoid president — consisted of the jailing of several prominent individuals, the eventual resignation of President Richard Nixon, and the ultimate test of the American psyche
.
On June 17, 1972, five men were arrested for breaking into the Democratic National Committee’s (DNC) office at the Watergate complex in Washington, D.C. The men were subsequently tried and convicted of the crime. Afterward, however, it was discovered that all five of them had ties to the Committee to Re-elect the President (CReeP). Then, the question became what, if anything, did President Nixon know about the break-in?

In the months that followed, investigative reporting from the New York Times and Washington Post revealed what looked to be a conspiracy to cover up the break-in at the highest possible levels of government. Meanwhile, Nixon and members of his administration continuously denied any involvement.

Throughout the process, prominent administration officials were fired — some even indicted and sent to jail. The Senate launched an investigation into Nixon’s involvement and the Supreme Court ordered Nixon to turn over secret tapes from the Oval Office. Then, on August 8, 1974, while the House of Representatives was on the verge of impeaching him, Nixon resigned from the presidency.
 
Marekanin inavypenda sifa, haikubaliki kiakili hata kidogo wamuue Osama eti kisha maiti yake waitose baharini. Mjinga tu ndiye anayeyakubali maneno haya. Mtu ambaye wanadai wamemsaka kwa udi na uvumba tangu mwaka 2001, kisha wasitake kuzimbaza picha za video za mauaji yake. nadhani wenye akili timamu hawawezi kukubali hili. Waonyeshe picha za video basi, wanahofia nini? kama sio kuna agenda ya siri??????????


Hata leo wapo wanaosema Yesu hakufa, pia wapo wanaodai Bilali anakula kuku kwa mrija. Sasa sijui nao hao wana akili timamu au la. Cha msingi ni kusubiri Osama otoke hadhari ili aibu ya Karne waipate wamarekani. Time will tell
 
Raid imechukua dakika 35-40, most of it ikiwa katika kukusanya vielelezo kwa sababu kama walivyobadilisha story, hakukuwa na firefight. Hata kama kulikuwa na blackout ya dk 20-25, how convenient/coincidental was it blackout ilikuwa wakati OBL (na jamaa wengine) anapigwa risasi?
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wa masuala ya kiuchumi, kiasi cha dola 3 trilioni za Marekani zilitumika katika miaka 15 ya vita ya ugaidi duniani, Jarida la National limeeleza.Kiasi hicho ni sawa na Sh4,200 trilioni za Tanzania ambazo iwapo zingetumika katika bajeti ya Tanzania kwa sasa ingeweza kutumika kwa zaidi ya miaka 400 (karne nne).

Hela ni zao na wamemsaka kwa malengo yao, kuna haja gani kuanza kulinganisha Pesa zilizotumika kumsaka na kuanza kusema iwapo zingetumika Tanzania? Huu ni mwendelezo wa fikra zetu tegemezi na kufikiria kusaidiwa saidiwa tu muda wote!!! Damn.........
 
.................... nimeuliza YESU alileta kitabu gani kati ya hivi viwili (BIBLE and GOSPEL or INJIL) ................kwa kukusaidia BIBLIA ni neno la KIYUNANI (GREEK) na lina maana yake, na INJIL ni la Kiebrew, hebu niweke sawa uhusiano wa Injil na Biblia !:happy:

Ha ha ha ha, weye Kafir wa Allah unisaidie mimi!! Khaa, kweli dunia imeisha hii. Hivi weye unafikiri Biblia ilishishwa kama kolani livyo shushwa na MSAIDIZI WA ALLAH GIBREEL? Hivi ulikwenda Mad-rassa weye?

Sasa jibu swali unayo yakimbia:

Moja: Injili ni nini?
Pili: Nani alisema kuwa tafsir ya jina la Issa wa Koran ni Yesu/Mungu wa Biblia?
Tatu: Yesu kufuatana na Biblia ni nani?
Nne: Kwanini Allah wako anasema HAKUNA MUNGU?

Tafadhali acha kukimbia weye. Tumia ayat kujibu maswali.
 
Hela ni zao na wamemsaka kwa malengo yao, kuna haja gani kuanza kulinganisha Pesa zilizotumika kumsaka na kuanza kusema iwapo zingetumika Tanzania? Huu ni mwendelezo wa fikra zetu tegemezi na kufikiria kusaidiwa saidiwa tu muda wote!!! Damn.........

TANMO...hapa lengo la mwandishi ni kuonyesha madafu yetu kuwa bado ni vijisent ukilinganisha na za kwao...just 10 years bajet yao huku kwetu ni 400 yrs.....hahaaa!!
 
Hili sakata la maelezo ya kuuawa kwa Osama kila nikilichambua naona kuna kitu ambacho hakiko sawa... ukiniuliza ni kitu gani kusema ukweli sijui... ila tu kichwani naona kuna kitu hakijakaa sawa...
 
Hao wairani wangetangaza tangu zamani kuwa Osama ameshakufa. Wee unadhani wangekubali kuona marekani inaendelea kukalia ardhi ya afghanistan? Mbona Pakistani hawakanushi hilo? Wabingo bana, yaani wavivu wa kufikiri katika kila jambo. Tena nashangaa baadhi ya mijitu humu akitajwa tu osama kwamba amekufa inaanza kuporomosha matusi utadhani aliahidi kutatua matatizo ya wa-tz.
 
Allah anasema HAKUNA MUNGU. Wewe umetowa wapi kuwa allah anasema kuna Mungu. Impeccable exibit: "I bear witness that there is no God but Allah and that Muhammad is His servant and messenger." Hiyo ayat ipo vivid clear that Allah anatoa ushaidi kwa kuapa kuwa HAKUNA MUNGU. Zaidi ya hapo, hakuna hata ayat moja kwenye KOLANI ya Marehemu Muham-mad inayo sema na au kudai kuwa Allah wenu akisema " Mimi allah ni Mungu na/au niamini mimi allah kwa kuwa mimi allah ni Mungu".

Leta ushaidi wa ayat tuone Allah wako akisema MIMI ALLAH NI MUNGU.

Nimekupenda bure! Natamani kukufahamu zaidi. Uko makini na unachosema maana unayajua pia maandiko ya upande wa pili. Thanx nijuze niondoke kwenye ujinga Mkuu.
 
Wapi ALLAH wenu anasema yeye ni Mungu. LETE AYA KUTOKA KOLANI ILIYO JAA SHAKA. Hivi unajuwa kwanini Allah wenu aliwaita nyime maislam wafuata mkumbo ma-KAFIR?

Jamaa kakimbia kweli. Nataka unujuze zaidi mimi maana nina wenzangu Waislam wanafurahia sana mchango wako pls kama hutajali naomba mawasiliano yako pls.
 
Bin Laden son: Bin Laden's swift burial at sea, in what his son called a violation of Islamic custom, has stirred anger.


  • Omar Bin Laden, son of Osama Bin Laden, talks during an interview with Reuters in a Cairo suburb in this January 23, 2008 file photo.
By Reuters / May 10, 2011
LONDON A statement purporting to come from a son of Osama bin Laden denounced the al Qaeda leader's killing as "criminal" and said his burial at sea had humiliated the family, an online monitoring service said.
The statement, attributed to Omar bin Laden, bin Laden's fourth eldest son, said the al Qaeda chief's children reserved the right to take legal action in the United States and internationally to "determine the true fate of our vanished father", the SITE Intelligence Group said.
There was no independent confirmation of the authenticity of the letter, published on the website of Islamist ideologue Abu Walid al-Masri, although several specialists on militant propaganda said the text appeared genuine.
Gallery: Osama bin Laden death - reaction

Omar bin Laden, who has been based in the Gulf in recent years, did not immediately respond to emailed and telephoned requests for comment.
The letter said, in part: "We hold the American President (Barack) Obama legally responsible to clarify the fate of our father, Osama bin Laden, for it is unacceptable, humanely and religiously, to dispose of a person with such importance and status among his people, by throwing his body into the sea in that way, which demeans and humiliates his family and his supporters and which challenges religious provisions and feelings of hundreds of millions of Muslims."
The letter said the U.S. administration had offered no proof to back up its account of the mission. It alleged the goal of raid had been to kill and not arrest, adding that afterwards the American commandos had "rushed to dispose of the body".
Some Muslims have misgivings about how U.S. forces killed bin Laden in a raid inPakistan on May 2 and disposed of his body in the ocean.
Questions have multiplied since the White House said the al Qaeda leader was unarmed when U.S. helicopter-borne commandos raided the villa where he was hiding in the city of Abbottabad.
Bin Laden's swift burial at sea, in what many Muslims say was a violation of Islamic custom, has also stirred anger.
 
ANGER............? MBONA HAWAANDAMANI? si kwamba na wao wamefurahia kimoyomoyo
 
Kwa maana hiyo huyo dogo nae amesha-confirm kuwa OBL aliuliwa na kutoswa baharini? Manake mara tuambiwe ooh hajafa, ooh alikufa kitambo. Sasa tumsikilize nani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom