Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Kuna watu hupata fedha baada ya muda mrefuuu tena baada ya kusota sana. Hawa wana kahistoria fulani hivi ka kupambana na mabiashara, kilimo, ufugaji n.k. Historia iliyojaa machungu na upambanaji wa kila namna ( siyo watu wa kazi , madawa ya kulevya ).
Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.
Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!
1. Davis Mosha
2. Joseph Msukuma
3. Livingstone Lusinde
4. Mwigulu Nchemba Madelu
5. January Makamba
6. Adam Malima
7. Ezekiel Maige
Unaweza kuendelea....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.
Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!
1. Davis Mosha
2. Joseph Msukuma
3. Livingstone Lusinde
4. Mwigulu Nchemba Madelu
5. January Makamba
6. Adam Malima
7. Ezekiel Maige
Unaweza kuendelea....
Sent using Jamii Forums mobile app