Pitia hapa kutambua mbinu ya kujiinua kiuchumi kwa wale vipaji mbalimbali namna ya kunufaika na vipaji vyao!

incredible terminator

JF-Expert Member
Aug 1, 2016
2,229
3,524
HABARI wakuu, Ninajua hii IG yangu sio ngeni hapa katika kuchangia mada mbalimbali na kwa wale wadau wa jukwaa la fulsa ajira na ujasiliamali, nadhani wapo wenye kumbukumbu ya uzi niliowahi kuuanzisha namna nilivyopambana kutoka ziro to the point of hiro, na kuna jumbe nyingi nimeweza kupokea huko Pm na kuna vijana hadi sasa baadhi nimejitahidi kuwasaidia namna gani mimi niliweza kupambana hadi nilipo na kuna wengine tulishawahi kukutana nao Live na ningetamani kama yupo atakaepitia huu uzi ningeomba achangie, mimi ni mtu wa aina gani na kwanini huwa siku zote najitoa kwa ajili ya kuhakikisha vijana wenzangu ambao pengine tumetokea familia duni kupambana na kubadilisha historia za familia tulizokulia, Pia niwaombe Msamaha wale ambao hawajabahatika kujibiwa na Mimi PM zao na niwatie moyo kuwa kila mtu atajibiwa kwa mda wake maana kila siku ninafanya hivyo kuhakikisha kuwa vijana wanapata mwanga namna ya kujipambania na kufikia ndoto zao japo kwa uchache, Pia cha kutambua hapa ni kwamba ushauri wangu sio sheria pia haikuandikwa kila mtu atapitia njia nilizopita mimi ila nimefanya hivyo kuwasanua mwenye kujaribu ajaribu na mwenye kujitia moyo kuwa one Day yes, aamini hivyo kupitia ule uzi wangu wa "Kijana anaetafta mchongo apitie hapa"


Hakika nimepata vingi vya kujifunza kutokana na ule uzi na nimegundua Tanzania inao vijana wenye nia ya maendeleo, Changamoto hawana namna ya kupata watu sahihi wa kuwasaidia au njia sahihi ya kuwafikisha wanapotaka kufika,

Pia nimekutana na Negative comment nyingi kwa baadhi ya wadau ila kibinadam I take it easy maana ndivyo inavyotakiwa kuwa siku zote,
LEO nimeamua kushare na nyie wazo ambalo nimekuwa nalo kichwani ni Takribani Miaka 4,3 hivi na ni kuhusiana na vijana na Sanaa, Kama wengi tunavyojua vijana wengi wanavipaji, wapo Wabunifu, Waimbaji, Wachezaji (Dancers) Wachoraji, Waruka sarakasi, Watangazaji,Mafund ujenzi n.k..
Changamoto Kubwa kwa Vijana hawa 100% yao hawajui ni namna gani wanaweza kugeuza talanta zao na kuwa pesa, na wengi wao huishia kumaliza pesa zao katika kupambania talanta zao ambapo kimsingi hawajui namna ya kugeuza Talanta hizo kuwa pesa, hii imewaumiza wengi sana.

Mara nyingi kama nilivyowahi kusema Awali kuwa maandiko yangu huwa ni marefu sana maana huwa siamini katika njia fupi kwenye kupata maendeleo ila naamini maendeleo huja kwa utulivu wa akili, fikra yakinifu na maamuzi sahihi,

Hapa kama wewe ni Kijana mwenye Talanta na mwenye kutaka kuishi maisha yako kupitia kipaji chako hakikisha unajulikana sana, yaani kabla hujafikiria kutoa pesa yako kwenda studio kurekodi wimbo na kulipa galama za kutafta Mahojiano (Interview) Huko kwenye vituo vya Radio mikoani Jiulize hili swali Je? Huko ninakoenda kusikilizwa nitasikilizwa na watu wangapi wasionijua?
Kibaya zaidi kijana anatoa hela ili ahojiwe Redio Flani ambayo kimsingi inasikika mkoa mmoja tu tena kwa baadhi ya wilaya, na wasikilizaji wake wanakuwa watu wake hao hao ambao pengine amewapanga yeye mwenyewe kuwa kwa mda flani nitakuwa katika kituo flani nahojiwa tegeni sikio,! That is Poor in steve nyereres Voice!

Hapa cha kujifunza ni kwamba kwa miaka hii na vizazi hivi Medias hazina power tena ushahidi tunaosisi wasomaji wa Uzi huu kuwa mara ya mwisho kusikiliza Radio ilikuwa lini? Au kusikiliza mahojiano ilikuwa lini? Au siku umeskiliza tangazo kwenye Radio ukalizingatia ilikuwa lini? Majibu ni kwamba kwa kweli kwa vizazi hivi kwa sasa watu hawana mda tena na Media, Saizi kila kitu kinapatikana katika Social Networks na kwa vijana wanaojielewa na wanaotambua fulsa zilizopo huko kwa sasa ni mamilionaire na hawana mda na Radio wala Tv kupush kazi zao,

Mfano wa vijana ambao kwa sasa ni maarufu na wanatengeneza Pesa kupitia social Networks
Dulvan Comedian
Jaymond comedian
Oka martn na Carpoza...
Killy Paul tiktok

Hawa ni comedian ambao kimsingi kazi zao zote wanatumia mitandao yao binafsi kujitangaza, na hapa nimezungumzia hawa wachekeshaji tu ambao mwanzo tuliamini fani zao ndio pekee zinaendana na Mitandao ya kijamii lakini kwa sasa tumeona kuna vijana hata katika fani ya uimbaji wanatumia mitandao ya kijamii kufaidika na vipaji vyao wakiwemo Vijana kutoka Kigoma wanaojiita AFROCOVERS, wao kazi zao wanaziendesha mitandaoni na wanapiga pesa video zao zinaingia hadi trending na wamepata umaarufu mkubwa,

Pia tumkumbuke kijana LODY MUSIC ambae kwa sasa anaonekana msanii chipukizi anaekuja kwa kasi umaarufu wake umetokea mitandaoni, Mimi kwa mara ya kwanza nimeona Clip ya wimbo wake ikitembea mitandaoni hata kabla hatujajua jina lake na hapo ndio umaarufu wake ukaanzia hadi sasa ni msanii mkubwa,,,

Lengo la Uzi huu ni kutaka kuwakumbusha vijana umhimu wa kuitumia mitandao ya kijamii kutangaza kazi zao kuliko kutumia galama kubwa kurekod na kutumia pesa nyingi na kukimbilia platform ambazo hazina manufaa wala haziwatangazi
Ushauri kama unakipaji na unajiamini fanya yafuatayo tafta simu inaweza kurekodi video
Chukua video fupi rekodi clip ukiimba kapera (singing without instrument) kisha tafta namna ya kupenyeza kazi yako ionekane na Ig yako ijulikane hapo umeshaula saiz makampuni mengi yanatufta watu wakuwekeza kwao, ukishapata umaarufu mtandaoni ww tayari ushakuwa brand,

Mimi kama Terminator nimekaa chini nikafikiria ni vijana wangapi wanao uwezo wa kufanya kazi zao na kuzipenyeza mtandaoni hadi wakapata kuonekana?

Je? platform mbalimbali zinazotumika kwa lengo la kunyanyua vipaji zinawafikia vijana wote nchi nzima?

Je? sanaa vipaji ni waimbaji tu?

Je? ni sehem gani kutatokea platform ambayo itawatambua wachoraji,
Wapambaji, mafundi ujenzi wenye ubunifu, Dancers, washereheshanji na vijana wenye vipaji wanaoishi vijijin?

MAJIBU NI HAKUNA...

Tumeamua kuja na Project inayoitwa @Support_kipaji.tz
Hii ni project ambayo tumeaiandaa kwa lengo maalumu ya kukuza, kussuport, na kuinua vipaji mbalimbali pia kusogeza vipaji ambavyo pengine havionekani kuweza kuvisogeza karibu na wadau ili waweze kuviona,

Ni watu wengi wanakutana na kazi nyingi nzuri lakini wanashindwa kuwapata watu wenye uwezo na kazi husika kutokana na mazingira, pengine kutokuwepo na njia rahisi ya kuwatambua na kuwajua, hii inadumaza fulsa kwa vijana wabunifu ambao hawana namna ya kutangaza ubunifu wao,

Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa ningependa kuwakaribisha Ndugu Jamaa na marafiki wenye lengo la kutaka kuwasaidia vijana pia kwa wale wenye nia ya kutaka kutangaza vipaji vyao Twende kule INSTAGRAM, Tukafollow Support_kipaji.tz kisha tukasupotiane huko.


HUDUMA ZITATOLEWA BURE BILA MALIPO LENGO LETU NI KUHAKIKISHA VIJANA WANATANGAZA VIPAJI VYAO NA WANAKUTANA NA WATU SAHIHI.

Pia zawadi nyingi nyingi zitakuwa zikitolewa kwa kazi nzuri kila mwisho wa mwezi. Kuanzia Laki2 hadi hadi laki5, Lengo letu ni kuinua vipaji vya wadogo zetu

Namna tunavyofanya Unatutumia kazi yako na taarifa zako binafsi unavyopatikana kisha tunakutangazia na kukutag bure lengo ni kwamba ukutane na wadau.

Page yetu ni mpya kabisa hivyo tunatamani kuanza na wewe!
IMG_20220409_052123_618.jpg
 
HABARI wakuu, Ninajua hii IG yangu sio ngeni hapa katika kuchangia mada mbalimbali na kwa wale wadau wa jukwaa la fulsa ajira na ujasiliamali, nadhani wapo wenye kumbukumbu ya uzi niliowahi kuuanzisha namna nilivyopambana kutoka ziro to the point of hiro, na kuna jumbe nyingi nimeweza kupokea huko Pm na kuna vijana hadi sasa baadhi nimejitahidi kuwasaidia namna gani mimi niliweza kupambana hadi nilipo na kuna wengine tulishawahi kukutana nao Live na ningetamani kama yupo atakaepitia huu uzi ningeomba achangie, mimi ni mtu wa aina gani na kwanini huwa siku zote najitoa kwa ajili ya kuhakikisha vijana wenzangu ambao pengine tumetokea familia duni kupambana na kubadilisha historia za familia tulizokulia, Pia niwaombe Msamaha wale ambao hawajabahatika kujibiwa na Mimi PM zao na niwatie moyo kuwa kila mtu atajibiwa kwa mda wake maana kila siku ninafanya hivyo kuhakikisha kuwa vijana wanapata mwanga namna ya kujipambania na kufikia ndoto zao japo kwa uchache, Pia cha kutambua hapa ni kwamba ushauri wangu sio sheria pia haikuandikwa kila mtu atapitia njia nilizopita mimi ila nimefanya hivyo kuwasanua mwenye kujaribu ajaribu na mwenye kujitia moyo kuwa one Day yes, aamini hivyo kupitia ule uzi wangu wa "Kijana anaetafta mchongo apitie hapa"


Hakika nimepata vingi vya kujifunza kutokana na ule uzi na nimegundua Tanzania inao vijana wenye nia ya maendeleo, Changamoto hawana namna ya kupata watu sahihi wa kuwasaidia au njia sahihi ya kuwafikisha wanapotaka kufika,

Pia nimekutana na Negative comment nyingi kwa baadhi ya wadau ila kibinadam I take it easy maana ndivyo inavyotakiwa kuwa siku zote,
LEO nimeamua kushare na nyie wazo ambalo nimekuwa nalo kichwani ni Takribani Miaka 4,3 hivi na ni kuhusiana na vijana na Sanaa, Kama wengi tunavyojua vijana wengi wanavipaji, wapo Wabunifu, Waimbaji, Wachezaji (Dancers) Wachoraji, Waruka sarakasi, Watangazaji,Mafund ujenzi n.k..
Changamoto Kubwa kwa Vijana hawa 100% yao hawajui ni namna gani wanaweza kugeuza talanta zao na kuwa pesa, na wengi wao huishia kumaliza pesa zao katika kupambania talanta zao ambapo kimsingi hawajui namna ya kugeuza Talanta hizo kuwa pesa, hii imewaumiza wengi sana.

Mara nyingi kama nilivyowahi kusema Awali kuwa maandiko yangu huwa ni marefu sana maana huwa siamini katika njia fupi kwenye kupata maendeleo ila naamini maendeleo huja kwa utulivu wa akili, fikra yakinifu na maamuzi sahihi,

Hapa kama wewe ni Kijana mwenye Talanta na mwenye kutaka kuishi maisha yako kupitia kipaji chako hakikisha unajulikana sana, yaani kabla hujafikiria kutoa pesa yako kwenda studio kurekodi wimbo na kulipa galama za kutafta Mahojiano (Interview) Huko kwenye vituo vya Radio mikoani Jiulize hili swali Je? Huko ninakoenda kusikilizwa nitasikilizwa na watu wangapi wasionijua?
Kibaya zaidi kijana anatoa hela ili ahojiwe Redio Flani ambayo kimsingi inasikika mkoa mmoja tu tena kwa baadhi ya wilaya, na wasikilizaji wake wanakuwa watu wake hao hao ambao pengine amewapanga yeye mwenyewe kuwa kwa mda flani nitakuwa katika kituo flani nahojiwa tegeni sikio,! That is Poor in steve nyereres Voice!

Hapa cha kujifunza ni kwamba kwa miaka hii na vizazi hivi Medias hazina power tena ushahidi tunaosisi wasomaji wa Uzi huu kuwa mara ya mwisho kusikiliza Radio ilikuwa lini? Au kusikiliza mahojiano ilikuwa lini? Au siku umeskiliza tangazo kwenye Radio ukalizingatia ilikuwa lini? Majibu ni kwamba kwa kweli kwa vizazi hivi kwa sasa watu hawana mda tena na Media, Saizi kila kitu kinapatikana katika Social Networks na kwa vijana wanaojielewa na wanaotambua fulsa zilizopo huko kwa sasa ni mamilionaire na hawana mda na Radio wala Tv kupush kazi zao,

Mfano wa vijana ambao kwa sasa ni maarufu na wanatengeneza Pesa kupitia social Networks
Dulvan Comedian
Jaymond comedian
Oka martn na Carpoza...
Killy Paul tiktok

Hawa ni comedian ambao kimsingi kazi zao zote wanatumia mitandao yao binafsi kujitangaza, na hapa nimezungumzia hawa wachekeshaji tu ambao mwanzo tuliamini fani zao ndio pekee zinaendana na Mitandao ya kijamii lakini kwa sasa tumeona kuna vijana hata katika fani ya uimbaji wanatumia mitandao ya kijamii kufaidika na vipaji vyao wakiwemo Vijana kutoka Kigoma wanaojiita AFROCOVERS, wao kazi zao wanaziendesha mitandaoni na wanapiga pesa video zao zinaingia hadi trending na wamepata umaarufu mkubwa,

Pia tumkumbuke kijana LODY MUSIC ambae kwa sasa anaonekana msanii chipukizi anaekuja kwa kasi umaarufu wake umetokea mitandaoni, Mimi kwa mara ya kwanza nimeona Clip ya wimbo wake ikitembea mitandaoni hata kabla hatujajua jina lake na hapo ndio umaarufu wake ukaanzia hadi sasa ni msanii mkubwa,,,

Lengo la Uzi huu ni kutaka kuwakumbusha vijana umhimu wa kuitumia mitandao ya kijamii kutangaza kazi zao kuliko kutumia galama kubwa kurekod na kutumia pesa nyingi na kukimbilia platform ambazo hazina manufaa wala haziwatangazi
Ushauri kama unakipaji na unajiamini fanya yafuatayo tafta simu inaweza kurekodi video
Chukua video fupi rekodi clip ukiimba kapera (singing without instrument) kisha tafta namna ya kupenyeza kazi yako ionekane na Ig yako ijulikane hapo umeshaula saiz makampuni mengi yanatufta watu wakuwekeza kwao, ukishapata umaarufu mtandaoni ww tayari ushakuwa brand,

Mimi kama Terminator nimekaa chini nikafikiria ni vijana wangapi wanao uwezo wa kufanya kazi zao na kuzipenyeza mtandaoni hadi wakapata kuonekana?

Je? platform mbalimbali zinazotumika kwa lengo la kunyanyua vipaji zinawafikia vijana wote nchi nzima?

Je? sanaa vipaji ni waimbaji tu?

Je? ni sehem gani kutatokea platform ambayo itawatambua wachoraji,
Wapambaji, mafundi ujenzi wenye ubunifu, Dancers, washereheshanji na vijana wenye vipaji wanaoishi vijijin?

MAJIBU NI HAKUNA...

Tumeamua kuja na Project inayoitwa @Support_kipaji.tz
Hii ni project ambayo tumeaiandaa kwa lengo maalumu ya kukuza, kussuport, na kuinua vipaji mbalimbali pia kusogeza vipaji ambavyo pengine havionekani kuweza kuvisogeza karibu na wadau ili waweze kuviona,

Ni watu wengi wanakutana na kazi nyingi nzuri lakini wanashindwa kuwapata watu wenye uwezo na kazi husika kutokana na mazingira, pengine kutokuwepo na njia rahisi ya kuwatambua na kuwajua, hii inadumaza fulsa kwa vijana wabunifu ambao hawana namna ya kutangaza ubunifu wao,

Hivyo kwa moyo wa dhati kabisa ningependa kuwakaribisha Ndugu Jamaa na marafiki wenye lengo la kutaka kuwasaidia vijana pia kwa wale wenye nia ya kutaka kutangaza vipaji vyao Twende kule INSTAGRAM, Tukafollow Support_kipaji.tz kisha tukasupotiane huko.


HUDUMA ZITATOLEWA BURE BILA MALIPO LENGO LETU NI KUHAKIKISHA VIJANA WANATANGAZA VIPAJI VYAO NA WANAKUTANA NA WATU SAHIHI.

Pia zawadi nyingi nyingi zitakuwa zikitolewa kwa kazi nzuri kila mwisho wa mwezi. Kuanzia Laki2 hadi hadi laki5, Lengo letu ni kuinua vipaji vya wadogo zetu

Namna tunavyofanya Unatutumia kazi yako na taarifa zako binafsi unavyopatikana kisha tunakutangazia na kukutag bure lengo ni kwamba ukutane na wadau.

Page yetu ni mpya kabisa hivyo tunatamani kuanza na wewe!
View attachment 2185114
Tatizo bongo mnaona vipaji ni mpira na muziki tu. Mimi nina kipatji cha squash natengenezaje nacho pesa hapa umatumbini?
 
Tatizo bongo mnaona vipaji ni mpira na muziki tu. Mimi nina kipatji cha squash natengenezaje nacho pesa hapa umatumbini?
Refer post mkuu support kipaj tunaangalia tallent zote hadi mafund ujenzi cha msingi ni kufuata taratibu ili kipaji chako kikutangaze na kikunufaishe @bujibuji kikubwa dua mkuu
 
Back
Top Bottom