Orodha ya vijana maarufu wenye pesa bila msoto hapa Tanzania

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Kuna watu hupata fedha baada ya muda mrefuuu tena baada ya kusota sana. Hawa wana kahistoria fulani hivi ka kupambana na mabiashara, kilimo, ufugaji n.k. Historia iliyojaa machungu na upambanaji wa kila namna ( siyo watu wa kazi , madawa ya kulevya ).

Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.

Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!

1. Davis Mosha

2. Joseph Msukuma

3. Livingstone Lusinde

4. Mwigulu Nchemba Madelu

5. January Makamba

6. Adam Malima

7. Ezekiel Maige


Unaweza kuendelea....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hupata fedha baada ya muda mrefuuu tena baada ya kusota sana ... Hawa wana kahistoria fulani hivi ka kupambana na mabiashara , kilimo, ufugaji ,nk..Historia iliyojaa machungu na upambanaji wa kila namna ( siyo watu wa kazi , madawa ya kulevya ).


Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.

Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!

1. Davis Mosha

2. Joseph Msukuma

3. Livingstone Lusinde

4. Mwigulu Nchemba Madelu

5. January Makamba

6. Adam Malima

7. Ezekiel Maige


Unaweza kuendelea....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe hao ni matajiri labda Mosha

Huyu msukuma ni muuza ndovu za tembo maarufu saana,kipindi cha Jk wa pili huyu alikua kisanga....wenyeji wa kanda yao wanamjua vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hupata fedha baada ya muda mrefuuu tena baada ya kusota sana ... Hawa wana kahistoria fulani hivi ka kupambana na mabiashara , kilimo, ufugaji ,nk..Historia iliyojaa machungu na upambanaji wa kila namna ( siyo watu wa kazi , madawa ya kulevya ).


Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.

Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!

1. Davis Mosha

2. Joseph Msukuma

3. Livingstone Lusinde

4. Mwigulu Nchemba Madelu

5. January Makamba

6. Adam Malima

7. Ezekiel Maige


Unaweza kuendelea....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mbona kama in kamati ya fitna kipindi cha uchaguzi ya chama cha kijani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu lini mbunge akaishiwa pesa? Huyo Mosha ndio simjui.
Dhumuni la bandiko?
Kuna watu hupata fedha baada ya muda mrefuuu tena baada ya kusota sana ... Hawa wana kahistoria fulani hivi ka kupambana na mabiashara , kilimo, ufugaji ,nk..Historia iliyojaa machungu na upambanaji wa kila namna ( siyo watu wa kazi , madawa ya kulevya ).


Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.

Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!

1. Davis Mosha

2. Joseph Msukuma

3. Livingstone Lusinde

4. Mwigulu Nchemba Madelu

5. January Makamba

6. Adam Malima

7. Ezekiel Maige


Unaweza kuendelea....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hupata fedha baada ya muda mrefuuu tena baada ya kusota sana ... Hawa wana kahistoria fulani hivi ka kupambana na mabiashara , kilimo, ufugaji ,nk..Historia iliyojaa machungu na upambanaji wa kila namna ( siyo watu wa kazi , madawa ya kulevya ).


Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.

Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!

1. Davis Mosha

2. Joseph Msukuma

3. Livingstone Lusinde

4. Mwigulu Nchemba Madelu

5. January Makamba

6. Adam Malima

7. Ezekiel Maige


Unaweza kuendelea....

Sent using Jamii Forums mobile app

Majizi
 
Back
Top Bottom