Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Yule hata kwenye uzee baba hayupo...uso umemshupaa kama ganda la fenesi..inshort ni kijeba mbuzi,.
ππππππ ww unauaga balaaππ
Yule hata kwenye uzee baba hayupo...uso umemshupaa kama ganda la fenesi..inshort ni kijeba mbuzi,.
ππππππππππππππππππmbavu zangu jamanPolepole huwaga yupo kati..hajulikani yu mzee ama kijanaa lol
Woiiiπππππme simooooπππππππππ ww unauaga balaaππ
ndo huyohuyo AKA GovindaHivi huyu Msukuma mnaemsema ni yule mbunge anatumia kisimu cha tochi kina kimefungwa na rababend au ni mwingine..
Ahaaah ahaaah kama Pharell sio?Polepole kama msanii wa marekani pharell Williams huyu jamaa anakaribia miaka sitini lakini ukimwangalia kama ana miaka chini ya thelathini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo punga tu mjini hapa
Sina uhakika sana kama amepiga pesa mahali lakini msukuma namkumbuka miaka ya 2000 mwanzoni alikuwa akifanya biashara ya simu wilaya za Lushoto na Korogwe tena kipindi kile alikuwa anawakopesha watumishi wa serikali. Imagine ndio simu zilikuwa zinaingia katika maeneo hayo then unakopeshwa kwa bei kubwa. Jamaa alipiga sana hela. Alikuwa na maduka ya simu Lushoto na Korogwe yana nembo ya Celtel.
Sent using Jamii Forums mobile app