RayB
JF-Expert Member
- Nov 27, 2009
- 2,751
- 196
mbandikie na ile ya aramba .....
Hii ya aramba ndo naitaka sana manake kila nikitembelea kule kwa ankal misupu na mdogo wake wanaitumia sana hii lol namiss uswahili kukamatia viuno vya bure kwenye mikesha-kile uswahilini kipindi cha christmas niliikuta hii chaja ya kobe na mikesha hii walikuwa wanaita vigodoro bongo rahaa