Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
ha ha ha nimeiona comradeNa wewe kahakiki...........nimedo ze nidful kwa kizaramo
tehe tehe
ha ha ha nimeiona comradeNa wewe kahakiki...........nimedo ze nidful kwa kizaramo
tehe tehe
ha ha ha mi nime do kwa kizigua hapo...Mgosi ongizeni!!Dah! Sore sikujua kama niliingia choo cha kike nikasahau kuchuchumaa.
Nimeona hommie, ngoja nika do the needful ya kuirimuvu!
Hehehehe! Ngoja nami nika-do kwa kindengereko.
KARIBU FirstLady lakini hiyo siyo MCHARUKO bin MCHIRIKU hiyo ni TWAARAB hakuna kidole juu wala kukata mauno, ukimsikiza Juma Bhalo aghani lazima usinzie.Kweli watu na fani zenu ...asante sana M-handsome kumbe unaziweza fani
Mimi huwa najishangalia tu. FL1, hawaji juu kwenye taarabu tu, kuna kile kipindi cha umbeya cha Nyumbani leo (kama sijakosea) cha Clouds (Dina Marios et al). ukisikiliza huko wachangiaji wakuu pia huwa ni wanaume.[/QUOTE]
Fixed P mbona umepotea kiasi hiki ulikuwa wapi Mamy vibaya hivyo
Mambo ya hawa kaka zetu siku hizi yamekuwa sivyo ndivyo..wamesema haki sawa majukumu kwa wote kauli mbiu hiyo
n-handsome
n-handsome opps glory to god
jf senior expert member
join date: Wed jan 2008
location: Dar es salaam
posts: 317
thanks: 0
thanked 28 times in 17 posts
rep power: 23
nadhani mmeelewa kwanini nimeamua ku-do the niidiful ya kuirimuvu! mchoyo sana asee:d:d:d
2010 tuko kikazi zaidi!kheeee theory kwisha mmeingia kwenye praktikoz sasa.......................
Thanks Wapwa, nilipata kathenks lkn kuhakiki si unajua gumbalu mieN-handsome
N-handsome Opps Glory to God
JF Senior Expert Member
Join Date: Wed Jan 2008
Location: Dar es Salaam
Posts: 317
Thanks: 0
Thanked 28 Times in 17 Posts
Rep Power: 23
Nadhani mmeelewa kwanini nimeamua ku-do the niidiful ya kuirimuvu! Mchoyo sana asee
kazi gani nawee2010 tuko kikazi zaidi!
Si umesema theory kwishneikazi gani nawee
mipasho??
Daaaa..............Thank you................ unajuwa kuna watu wana midhana yao vijwani wanataka kutushirikisha kushabikia hiyo midhana yao...........
kazi gani nawee
mipasho??
Ni sekta ambayo wameamua kijikita zaidi Bestlady wala usishangae
Wanaume wengi wanakwenda kwenye taarabu kufuata wanawake! Hakuna kingine!Halafu wakongwe wa taarabu wa kiume wapo mbona, mfano Issa Matona!
Ni sekta ambayo wameamua kijikita zaidi Bestlady wala usishangae
una maana gani? ni rahis kuwapata huko au ndo warembo au........au.....
aaah au zipi nyingi hebu jibu kwanza
hiv style ya huyo mzee na akina Mzee Yusuf inafanana?
Inasemekana ni rahisi zaidi kuwapata wanawake huko kwenye taarabu kwa sababu wengi wa wanawake wapenzi wa taarabu wa asili ya mwambao wa Pwani. Na mafundisho ya maadili ya mwambao wa Pwani kwa mwanamke ni ''chungu hakikai kwenye figa moja, lazima yawe mafiga matatu''!!
Kwenye suala la kama ni warembo au la sifahamu kabisa kwa kuwa sijawahi kwenda huko!
'mafiga matatu'.....hii kitu huwa siielewi, nahisi tu not sure maana yake nini
kwenye 'ITV' wewe huonagi hizo nyimbo?
ukashindwa kunipa na jibu la swali langu la mwisho.....