Ona maajabu ya maneno ya Hillary Clinton!

Ona maajabu ya maneno ya Hillary Clinton!

Amepinga wapi Ukristo??
Weka ushahidi basi


Yeye na Obama wamemuua Gadafi!


hqdefault.jpg
 
Hillary Clinton Verified account ‏@HillaryClinton
This is horrific. We cannot allow this man to become president.

Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?

Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu mpinga Kristo Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!

Ya nyumbani kwako yamekushinda unahangaika na ya jirani waachie wenyewe
 
IPTL,ESCROW, MEREMETA,nk!Yote haya yamewashinda.Mnaongea ya Clinton. Aiseee.
 
Wataka uitwe mchambuzi wasiasa uliobobea sasahivi hunanafasi nafasi ni za hawa kwa sasahivi Maalim seif. lowassa. Zitto. Mbowe hao siasa waijua mukita ndio hivo msitake ndio ihivo
 
Hillary Clinton Verified account ‏@HillaryClinton
This is horrific. We cannot allow this man to become president.

Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?

Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu mpinga Kristo Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!

Pum....bavu. .. Tanzania ya viwanda, ya Clinton YANAKUHUSU nn, kajenge viwanda
 
Nimeshindwa kuconnect dots.... Hivi mleta mada, unamuhusisha vipi mpinga kristo na gaddafi??? Hapo unamuunga mkono nani???
 
Nimeshindwa kuconnect dots.... Hivi mleta mada, unamuhusisha vipi mpinga kristo na gaddafi??? Hapo unamuunga mkono nani???
Mleta mada ni mtu aliyechanganyikiwa, hajitambui wala hajui hiyo Marekani viuzri japo yuko uko uko.
 
Hillary Clinton Verified account ‏@HillaryClinton
This is horrific. We cannot allow this man to become president.

Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?

Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu mpinga Kristo Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!
Acheni uchwara hii sio ukawa bhana ..
Ww umekaa huko chanika unaongea mambo ya USA wakat maneno yako Trump mwenyew anaona sawa na kelele za ngedere ..
Hivi unaakili kweli? Ww ambaye hata njiti ya kibiriti imekushinda kutengeneza unatoa ushauri kwa watu wanaoplan kwenda kuishi mars? Ajabu sana .. Acha ungumbaro kijana
 
Back
Top Bottom