Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
- Thread starter
- #101
Acheni uchwara hii sio ukawa bhana ..
Ww umekaa huko chanika unaongea mambo ya USA wakat maneno yako Trump mwenyew anaona sawa na kelele za ngedere ..
Hivi unaakili kweli? Ww ambaye hata njiti ya kibiriti imekushinda kutengeneza unatoa ushauri kwa watu wanaoplan kwenda kuishi mars? Ajabu sana .. Acha ungumbaro kijana
Hahah nani anaplan kwenda kuishi Mars? huyo Clinton? Usichanganye Wanasayansi na Wanasiasa!
Au kwa sababu ni Mwanasiasa wa USA ndiyo unafikiri ni mtu intelligent? Hata wewe pia ungezaliwa USA ukapata mtu wa kukuback kama vile Wall street ili uje uwatimizie malengo yao wangekuchukuwa pia!
Mwanasiasa ni kama day worker tu na haijalishi ni wa wapi tena bora hata wa Afrika angalau anaamua mwenyewe lkn hao wa Kizungu ndiyo wamejiriwa tu na finance indutry!
Hillary Clinton Verified account @HillaryClinton