Kwa maana hiyo Hillary nae atanyonywa uchi akiingia ikulu!?you can't be serious man!!conclusion za ki mwl msigwa hizo.
😀😀 mbavu zangu mieeee mbona FRANK MSIGWA hahhaahahahahaahahaahahahaKwa maana hiyo Hillary nae atanyonywa uchi akiingia ikulu!?you can't be serious man!!conclusion za ki mwl msigwa hizo.
Obama ni mpinga Kristo? Hakika utakuwa umepungukiwa akili kidogo.Hillary Clinton Verified account @HillaryClinton
This is horrific. We cannot allow this man to become president.
Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?
Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu mpinga Kristo Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!
Mkuu, mama Clinton ndio alikuwa mstari wa mbele kuhakikisga ana wazima hao madem walio dai mmewe ka wadhalilisha kijinsia yaan tunamuita enabler, pia toka bwana Clinton akiwa Gavana alikuwa ana kesi za udharilishaji ambazo Walikuwa wanashitikiana na Hillary kuhakikisha wanawake wanao dai haki wanapotezwa kiaina, ndio Trump anacho pigia kelele.Unamuhukumuje mke kwa makosa ya mme??? Kwani uchaguzi mwaka huu ni kati ya Bill na Trump??? Yeye ndo alimtuma Bill afanye huo ujinga??
wewe ndio umechanganyikiwa na kuwehukaHilo swali inabidi uwaulize wenye JF, kwa nini wameweka International Forum?
wewe ndio umechanganyikiwa na kuwehuka
- Mpinga Kristo ni wapi wameandika Trumpet naye sio mpinga Kristo
- huli Jukwaa si la DINI kuna Waislamu na Mabudha
- hasira zako zimejaa kwa mwanamke kutawala wakati anatawala USA
- hebu usijiabishe maana mambo ya kike ya akina Monica Lewusky ww ndio unaleta wivu kuliko Mama Clinton
- Kifupi Hillary clinton ndio Rais ajaye wa USA
Nrushie kwa pm bac mkuuile video ya clinton akinyonywa mapumbu ninayo mpaka leo



Acha kushambulia personality ya Obama na Clinton......weka hoja sio maneno ya kipuuzi eti Clinton "alinyonjwa ****" Oval office. Unazingua sana we jamaa.Ni lini nimekulazimisha wewe au hao unaowaita wakongwe kusoma na kuchangia ninachoandika? Kama haupendi mada zangu ni simple tu potezea, nashindwa hata kuelewa kwa nini unapoteza muda wako kumjibu mtu ambaye hufagilii mada zake!