Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?
Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!
Ile laana ya kumuua Gadafi inazidi inazidi kumuandama Hillary Clinton, sasa habari kutoka jikoni kabisa zinasema kwamba hali ya Uchumi wa USA ni mbaya kuliko ambavyo maelite wamekuwa wakiitangazia Dunia, na kwamba kuna hatari kubwa ya kuingia recession kabla ya uchaguzi, USA!
Sasa kama hii ikitokea, yaani recession, uwezekano wa Hillary Clinton kushinda uchaguzi ni kwani kihistoria kama chati hapo chini inavyoonyesha Uchumi ndio jambo namba Moja ambalo raia wa USA huzingatia kwenye uchaguzi!
Kwa nini Watanzania tuna hii tabia ya kupenda kuwalazimisha watu kuwa upande fulani? Ni kwa nini tunapenda kuwahukumu watu tusiowafahamu wala kuwajua?
Sasa hapa Putin anahusika vipi? Na kwa nini utake kumlazimisha mtu anayempenda Trump ampende Putini? Wewe ni nani mpaka uwachagulie watu?
Kwa nini Watanzania tuna hii tabia ya kupenda kuwalazimisha watu kuwa upande fulani? Ni kwa nini tunapenda kuwahukumu watu tusiowafahamu wala kuwajua?
Sasa hapa Putin anahusika vipi? Na kwa nini utake kumlazimisha mtu anayempenda Trump ampende Putini? Wewe ni nani mpaka uwachagulie watu?
mkuu mbn umereact as if nimekupoint ww?mi nazungumzia tu ni general nenda kasome comments za watu weng kwe pro-russia media utaona wao wanampenda nan kati ya hao candidates wawili............ukiingia RT utaona comments za watu wakimtusi clinton huku wakimsifia trump sasa kama ww unaona naloliongea liko vice versa you must have some problems to focus on
hawa wote watavuruga..ila clintoni atavuruga sana maana anapenda matumizi ya nguvu..amehusika na uvamizi wa iraq na libya,kwa trump hatujui coz hajawah kuwa kiongozi hvyo hatujui ila kama unavyomckia akitaka japan na south korea watengeneze nuclear zao wenyew
Aser si Russia tuu hata hapa bongo tungesema tupige kura Trump anabeba asubuhi asubuhi
Unaambiwa had Korea Kaskazin ana pendwa
*mi naipenda Urusi na namkubali Trump pia
Aser si Russia tuu hata hapa bongo tungesema tupige kura Trump anabeba asubuhi asubuhi
Unaambiwa had Korea Kaskazin ana pendwa
*mi naipenda Urusi na namkubali Trump pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.