Ona maajabu ya maneno ya Hillary Clinton!

Ona maajabu ya maneno ya Hillary Clinton!

Kuna mtu mmoja katika raia mwema amesema marekani kuna chama kimoja kikuu ila kina majina mawili. Ukimchagua huyu sana kumchgua yule.aliwafanisha mmoja kuwa sawa na mbwa mwitu na mwingine mbweha.wote wana madhara kwa viumbe wengine.
 
Tujdiliane yetu ya Zanzibar na mikutano mpaka 2020. Wamarekani tuwaache wajadiliane ya kwao.


Lakini tatizo moderators watahamisha na kupeleka kwenye jukwaa la Siasa, hilo ndiyo tatizo, sijui unafahamu suluhisho lake labda?
 
Back
Top Bottom