Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Mkiwa kwenye umri 20-25,kipindi ambacho unatakiwa upate mtu utulie badala yake mnakuwa na mambo mengi,ni ngumu sana kukuta mwanaume wa 35+ hayuko kwenye familia ni wachache sana,mwanaume kukudanganya ili ajue vya ndani kawaida maana mkiambiwa ukweli hamlainiki
Duh, bittersweet
 
Hii tabia unamtokea mtu unamdanganya uko single wakati una mke au mahusiano yenye furaha na amani ni UBINAFSI. Wewe utasema unanipenda kwa dhati ndio maana umeamua kunidanganya huwazi nitakavyoumia siku nikiujua ukweli?

Halafu utetezi wenu ni "Ooh bby nilijua nikikuambia ukweli utanikataa". Unaona kukukataa na kuniumiza moyo wangu Bora uniumize ili utimizie lengo lako?
Kwa dhati kabisa ya moyo wangu nawaomba mseme tu ukweli ili mtu ajue anajiingiza kwenye nini Kuliko unidanganye.

Mimi mwenyewe muhanga wa hili jambo na nilikua head over heals kwa huyu mkaka kumbe moyoni mwenzangu anajua kabisa mimi anapita ana mtu wake. Na baada ya kuujua ukweli akaanza kuniambia hana furaha na huyo mwanamke ananipenda mimi. Ila kwa jinsi nilivyompenda nilishindwa kuvumilia nikamwambia tuachane tu siwezi kukushare maan nilimwambia kama huna furaha achana nae uwe na mimi akashindwa. Niliumia mpaka nikaamsha vidonda vya tumbo siku hiyo namshukuru Mungu nimemove.

Rafiki yangu juzi tu kajua mtu aliempenda kwa mara ya kwanza toka apate akili ni mume wa mtu. Na alimdanganya eti hajaoa ana baby mama tu kumbe huyo baby mama ndio mkewe. Na alishamuuliza mwanzo akasema hana mahusiano ana mtoto tu ila yeye na baby mama hawana mahusiano. Mungu alivyo mwema last weekend wamekaa bar kaja mtu anaomba msamaha kwa jamaa kuwa alishindwa kuhudhuria harusi mbele ya rafiki yangu. Rafiki wa jamaa alivyondoka alimuapia rafiki yangu miungu yote kuwa hana mke na ndoa ilishindikana kufungwa halafu kwa sababu ya kijinga sijui kwanini rafiki yangu akamuamini. Sasa nikasikia tena jamaa kaoa nikamwambia rafiki yangu.
Kufupisha tu jamaa ni kweli ameoa na anaesema ni baby mama ndio mkewe nae utetezi wake hakutaka kusema alivyomuona rafiki yangu kwa kuwa aangemkataa ila anampenda.

Mwingine mpaka Pete kavalishwa na mchumba wa mtu na jamaa anaoa week ijayo anamuacha mwenzie na mtoto na aibu ya kupeleka mchumba ambae alikua na mtu mwingine.

Ukijijua huna mpango na mtu mwambie ukweli mtuepushie maumivu makubwa wengine kupenda kwetu kwa bahati tukipenda tunapenda kweli sasa kukaa na kugundua wewe ni side chick kwa bwana wa mtu inauma sana.

Samahanini kwa gazeti ila nimesisitiza na hivyo visa viwili kukazia maombi yangu kwenu. MTUONEE HURUMA na mioyo yetu.
Togola [emoji847][emoji847]
 
We don't have to cross our fingers, because there is no specific answer on his question. It's just a matter of someone's understanding.
Yes, I understand baby doll, and that person for this very scenario is Adolay. Dealing with descriptive/expalanations piece of writing can be pretty personal sometimes. Let's hope he understands you.
 
Nimekunywa mpenzi wanaume sio viumbe ....baada ya kujuwa na kuamua kumwacha ....nilikua nafanya kazi ya kulia tu .....kazi hazifanyiki Sista ananibembelezaaa mpaka nilizowea ile hali ......shida nilimpenda sana yule mwanaume jamani yaani hata wazo LA kusema nimcheat sikuwa nalo
Usiache kuwa na moyo huo huo. Ukimpenda mtu sahihi basi ufalme wa mbinguni utakuwa wako. If you wanna love someone love him trully maana hutajua ni yupi atakuwa wako wa maisha. Usibadili mfumo maana hapo ndipo wengi wanakosea na kuanza kuishi katika mfumo wa kimalaya. Haisaidii huwa inaharibu kabisaaa.
 
Utapataje hofu na wakati wote bado ni ma learner,ipo siku akiri itakuja,mwanamke anakuwa kuanzia 25yrs,so 19 bado litoto watu wanachovya na kukimbia ,no malengo hapo
Umeandika kwa uchungu.[emoji13][emoji13][emoji13]
Halafu ni akili siyo Akiri.
 
Awali ya yote nipende kukapa pole kwa mkasa uliokukuta wewe pamoja na shoga yako.

Lakini pili kwa kuzingatia bandiko lako ambalo limetamka kwamba ni OMBI hivyo basi nasikitika Sana kukuambia ya kwamba OMBI LAKO LIMEKATALIWA

Najua utajisikia vibaya lakini naomba tu ujitahidi kuelewa kwamb MAOMBI yana majibu mawili KUKUBALIWA AU KUKATALIWA
 
We don't have to cross our fingers, because there is no specific answer on his question. It's just a matter of someone's understanding.

Absolutely no finger point to the extrovert or else love complexity remains at individuals introvert behaviour

Getting some one special that matches exactly never ever possible.
 
Many thanks for analytical feedback

Do you know love is dynamic? Along with numerous peaks ....as well as troughs while exercising that resilience for survival!

Yeah I know love is dynamic, there is the peaks and troughs...though sometimes you may find yourself in a relationship where everything is perfect or close to it.
 
Back
Top Bottom