Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Nimekunywa mpenzi wanaume sio viumbe ....baada ya kujuwa na kuamua kumwacha ....nilikua nafanya kazi ya kulia tu .....kazi hazifanyiki Sista ananibembelezaaa mpaka nilizowea ile hali ......shida nilimpenda sana yule mwanaume jamani yaani hata wazo LA kusema nimcheat sikuwa nalo
Halafu hawajui tunavyowapenda wao wanaona watuchezee tuu
 
Kwa nn toka mwanzo usimwambie ukweli kuliko kumdanganya uongo mkubwa hivyo?

Hivi kwa nini nyie viumbe mnapenda kucheza na mioyo ya watu jamani
Hahah si wala hatupendi kuchezea hio mioyo ila inabidi tu maana tunachotaka ndio kinapatikana kwa njia hio yakuchezea mioyo yenu. 😂😂😂
 
Unajua white, mapenzi ya sasa yamekaa kama kamari, udanganyifu umetawala sana..

Yaani imefikia muda watu hawaminiani wanaona kudanganya ndio dili, lakni kiukweli sio vizuri...

Hii tunayo sana wanaume ili kuwapata, tukiwaambia ukweli mnaruka, na kama ndio ushampenda mtu aondoke baada ya kumwambia ukweli halafu hujamgegeda inaumiza kweli..
Kwahiyo Sisi tuumie tu ila nyie hampaswi kuumia?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. We babu hufai. Nitoe biriani halafu.?
Hongera sana.
Kuna watu kadhaa I wish ninge attend sherehe zao kabla Magu hajatoka madarakani...hahaaaa among the few ni wewe, hawa, khatwe, na wengine siwataji kwa manufaa ya umma.
 
Tuwaonee huruma ya nini?Tutawamega na kuwadanganya kiukweli kweli kwa SABABU nyie hamna akili na mnashoboka ovyo kwa vitu vya kijinga na ujinga wenu.Wanaume muda wote wana visu vikali mbele ya zipu ya suruali wako tayari kukata nyama ya handaki yoyote inayojipitisha kijinga kama kama wewe ulivyojipitisha kijinga akabenjuliwa.

Pumbavu sana nyie akina Mzigua90.Wanaume eeeeeee,mapanga shaaaa,shaaaa.

Hahahahaha Mkuu,mpaka mtie akili.

Tusipotoshane, aluta continua,
Muone huyu nae. Sijakutuma mimi usitafute hela ule wanawake wazuri.
 
Ndo maana nikasema, mwenye malengo huwa hasemi uongo. Nikimaanisha ana lengo zaidi ya moja! Na hawa huwa wanajielewa sana!
Hao ambao lengo ni kukulana tuu ndo waongo ilimradi keshakupata siku ukiujua ukweli utapambana na khali yako!
Exactly. Hawa wanadanganya wapate nyau basi kwa sababu wanajua hawana muda mrefu watakutosa
 
Nikiachana na hayo yote Mimi mwenye malengo ya muda mrefu nafasi bado IPO wazi? Sitaki longolongo mtu Mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muache kupenda vilivyotayari kuliwa ndo hatutawadanganya we unataka mwanaume awe ameshajenga na ana kazi plus kigari halafu utegemee kabisa nimefika hapo nikiwa mwenyewe et, we have to tell you what you want to hear
Acheni kukariri kwa sababu mnawahofia wenye nazo.
Ninaowangelea hapa wana vipato vya kawaida sana yani. Wala sio pesa zao zilizomshawishi hata mmoja wetu. Wamepanga wanaendesha vigari vyao vya kawaida sana kwahiyo usidhani ni hela zao
 
Hahah si wala hatupendi kuchezea hio mioyo ila inabidi tu maana tunachotaka ndio kinapatikana kwa njia hio yakuchezea mioyo yenu. 😂😂😂
Natamani uwe karibu yangu nikupige ngumi mbili za mdomo, Umeandika ukweli mchungu
 
Back
Top Bottom