Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,922
- 183,347
Wacha bwana[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Hahaha bado sijampata wakuoa
Wacha bwana[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Hahaha bado sijampata wakuoa
hahahahaaaaSuala la kuambiana ukweli kwenye mapenzi kwa zama hizi tusahau kama unataka ukose unacho taka sema ukweli kwamba baby me nina mtu ila nimetokea kukupenda au baby mie kiukweli kitandani huwa napiga nusu bao nivumilie usiniache nakupenda utaishia kuwaita shemeji wadada wazur
Niliwahi kuwa nae wa hivyo yaani siku nilivyo gundua nilijiuliza maswali mengi kichwani bila majibu mkewe alikuwa nae mda gani maana akitoka job yupo na mimi,weekend yupo na mimi, simu yangu anaipokea bila tatizo.akija kwangu Pete ya ndoa anavua kiazi mbatata yule sitamsahau mwaume mjanja zaidi ya sungura.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha hahaha hahaha
Hili nalo la moyoni!
Hivi si ulisema umechoka wewe
Hahah punguza hasira mkuu, sema umechapa ukweli~in Jeipiemu voice.Unaandika sana huku ukiwa huna point! Kiufupi ninyi msipodanganywa hamtoi papuchi zenu ndo maana pia huwa tunawabaka, wajinga sana nyie!
Mimi kila nnapo tongoza mwanamke kuomba mbunye kwa wanawake ambao wanajua nina mke huwa wananikatalia.. sasa kwa ni nisikudanganye wakati lengo langu ni kushare kiuno chako na changu. Pumabavu sana nyie..bora nikudanganye tu ili mradi nikupate hayo mengine mi hayanihusu.
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tena la moyoni haswa sitakulwa dada acha nibaki kuwa mtawa nikufwe na utamu wangu
Kuchoka kweli nimechoka jamani
Unataka kubisha sasa....mpka uone uzi kule love connect au[emoji41]Wacha bwana[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
HahahaahaHahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Mtawa my foot... Mie nakuzoom tuu aki...
Pole kwa uchovu jamanii!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka kubisha sasa....mpka uone uzi kule love connect au[emoji41]
Ongeeni ukweli wenu mtasababisha tupasuane na chupa za soda bila sababu ya msingi 😀😀😀Hata sisi tuliowa tunatamani kuwa na dogodogo, wakati mwingine damu changa muhimu.
Hapana...wa kukulainisha tu.Kwa hiyo kama anataka nimpe anakuja na uwongo utakao niumiza hisia baadae.
Mna dhambi nyie viumbe mfyuuuAisee Mzigua90 kuna mtu nampenda na sitaki kumuumiza hajui kama nna mke na ananiamini sana, najua siku akija kugundua anaweza hata kujidhuru ananipenda sana, namna pekee nilioona inafaa sasa ivi ni kumpiga matukio mpaka atakapoamua kuanza mahusiano mapya na kuniacha, niko sahihi?for the sake of her life
Sawa dadaHahahaaha
Huamini kama nitakuwa mtawa si unanijua utaona
Hiyo mdogo wangu unataka kuninyima nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeikomalia sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mdogo wangu, kila lenye heri.
Mna dhambi nyie viumbe mfyuuu
Aisee SawaHapana...wa kukulainisha tu.
Sijaoa bado, ila 2021 ndio mwisho, kama upo tayar...Hii tabia unamtokea mtu unamdanganya uko single wakati una mke au mahusiano yenye furaha na amani ni UBINAFSI. Wewe utasema unanipenda kwa dhati ndio maana umeamua kunidanganya huwazi nitakavyoumia siku nikiujua ukweli?
Halafu utetezi wenu ni "Ooh bby nilijua nikikuambia ukweli utanikataa". Unaona kukukataa na kuniumiza moyo wangu Bora uniumize ili utimizie lengo lako?
Kwa dhati kabisa ya moyo wangu nawaomba mseme tu ukweli ili mtu ajue anajiingiza kwenye nini Kuliko unidanganye.
Mimi mwenyewe muhanga wa hili jambo na nilikua head over heals kwa huyu mkaka kumbe moyoni mwenzangu anajua kabisa mimi anapita ana mtu wake. Na baada ya kuujua ukweli akaanza kuniambia hana furaha na huyo mwanamke ananipenda mimi. Ila kwa jinsi nilivyompenda nilishindwa kuvumilia nikamwambia tuachane tu siwezi kukushare maan nilimwambia kama huna furaha achana nae uwe na mimi akashindwa. Niliumia mpaka nikaamsha vidonda vya tumbo siku hiyo namshukuru Mungu nimemove.
Rafiki yangu juzi tu kajua mtu aliempenda kwa mara ya kwanza toka apate akili ni mume wa mtu. Na alimdanganya eti hajaoa ana baby mama tu kumbe huyo baby mama ndio mkewe. Na alishamuuliza mwanzo akasema hana mahusiano ana mtoto tu ila yeye na baby mama hawana mahusiano. Mungu alivyo mwema last weekend wamekaa bar kaja mtu anaomba msamaha kwa jamaa kuwa alishindwa kuhudhuria harusi mbele ya rafiki yangu. Rafiki wa jamaa alivyondoka alimuapia rafiki yangu miungu yote kuwa hana mke na ndoa ilishindikana kufungwa halafu kwa sababu ya kijinga sijui kwanini rafiki yangu akamuamini. Sasa nikasikia tena jamaa kaoa nikamwambia rafiki yangu.
Kufupisha tu jamaa ni kweli ameoa na anaesema ni baby mama ndio mkewe nae utetezi wake hakutaka kusema alivyomuona rafiki yangu kwa kuwa aangemkataa ila anampenda.
Mwingine mpaka Pete kavalishwa na mchumba wa mtu na jamaa anaoa week ijayo anamuacha mwenzie na mtoto na aibu ya kupeleka mchumba ambae alikua na mtu mwingine.
Ukijijua huna mpango na mtu mwambie ukweli mtuepushie maumivu makubwa wengine kupenda kwetu kwa bahati tukipenda tunapenda kweli sasa kukaa na kugundua wewe ni side chick kwa bwana wa mtu inauma sana.
Samahanini kwa gazeti ila nimesisitiza na hivyo visa viwili kukazia maombi yangu kwenu. MTUONEE HURUMA na mioyo yetu.
Si kwasababu ni mdogo wangu.Hiyo mdogo wangu unataka kuninyima nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Umeikomalia sana