Me kuna dada yangu alidanganywa Mwaka mzima na Mahari ikatolewaaa... michango ya Harusi ikakusanywaaa... Mimba akapewaaa... Kuja kushtukaa mwana kumbe huko iringa ana Familia ya Watoto watatu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24] Yule mbwa alifanya ukoo wetu uaibikee sanaa mamaeee...dada angu ilibdi asiolewe abaki tu home akilea mtoto sasa baada ya ule mkasaa aisee mwanaume usijichanganye umsogelee kizembee atakutukanaa mamaeee matusi hujawahii sikiaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] na hajali nani anasikia au nani yupoo around ilichukua muda sana Kurecover na kuwa kama binadamu ya kawaidaa..
NB. Wadada Leo umekutana na Mwanaume ana nyumbaa na gari miaka 30+.. sijui na biashara zakeee kama Hajaoaa bhasi ana watoto ambao aliachana na mama zao au Ana mchumba wake some where so labda ukubali Kumpindua mwanamke mwenzio[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] Na sababu mnapenda wenye mafanikio lazima mkubali uongoo