James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 9,529
- 16,235
Mtajie na maksi kbsaa maana hili swali kama la seksheni b compulsory hahaaaaaHow far does the content of this thread impacted you?
Mtajie na maksi kbsaa maana hili swali kama la seksheni b compulsory hahaaaaaHow far does the content of this thread impacted you?
Amiin kaka. Ikitokea ukapata shemeji nitakuwekea kadi yako ya mualikoHongera sana.
Kuna watu kadhaa I wish ninge attend sherehe zao kabla Magu hajatoka madarakani...hahaaaa among the few ni wewe, hawa, khatwe, na wengine siwataji kwa manufaa ya umma.
Hii iliomkuta dadaako ni "Major 1" kama Nabii Bushiri toka Malawi!😂😂😂Me kuna dada yangu alidanganywa Mwaka mzima na Mahari ikatolewaaa... michango ya Harusi ikakusanywaaa... Mimba akapewaaa... Kuja kushtukaa mwana kumbe huko iringa ana Familia ya Watoto watatu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24] Yule mbwa alifanya ukoo wetu uaibikee sanaa mamaeee...dada angu ilibdi asiolewe abaki tu home akilea mtoto sasa baada ya ule mkasaa aisee mwanaume usijichanganye umsogelee kizembee atakutukanaa mamaeee matusi hujawahii sikiaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] na hajali nani anasikia au nani yupoo around ilichukua muda sana Kurecover na kuwa kama binadamu ya kawaidaa..
NB. Wadada Leo umekutana na Mwanaume ana nyumbaa na gari miaka 30+.. sijui na biashara zakeee kama Hajaoaa bhasi ana watoto ambao aliachana na mama zao au Ana mchumba wake some where so labda ukubali Kumpindua mwanamke mwenzio[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] Na sababu mnapenda wenye mafanikio lazima mkubali uongoo
Huyo mwanaume pepo haioniMe kuna dada yangu alidanganywa Mwaka mzima na Mahari ikatolewaaa... michango ya Harusi ikakusanywaaa... Mimba akapewaaa... Kuja kushtukaa mwana kumbe huko iringa ana Familia ya Watoto watatu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji24][emoji24] Yule mbwa alifanya ukoo wetu uaibikee sanaa mamaeee...dada angu ilibdi asiolewe abaki tu home akilea mtoto sasa baada ya ule mkasaa aisee mwanaume usijichanganye umsogelee kizembee atakutukanaa mamaeee matusi hujawahii sikiaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] na hajali nani anasikia au nani yupoo around ilichukua muda sana Kurecover na kuwa kama binadamu ya kawaidaa..
NB. Wadada Leo umekutana na Mwanaume ana nyumbaa na gari miaka 30+.. sijui na biashara zakeee kama Hajaoaa bhasi ana watoto ambao aliachana na mama zao au Ana mchumba wake some where so labda ukubali Kumpindua mwanamke mwenzio[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] Na sababu mnapenda wenye mafanikio lazima mkubali uongoo
HahahahahahMpo wachache ila ningetaka kukupa ningekupa tu wala gf wako asingenizuia mimi kutimiza hamu zangu
La Mariam limedoda. Kijana anataka lakoBiriani aende kwa Mariam
Ulikuja wapi tena?? Ngumu kama hawaishi wote. Halafu bado walikua hawaonani mara nyingi.
It was a disaster mkuuu.... Hakuumia yeye tu tatzo ni familia na ukoo mzimaa[emoji22]Hii iliomkuta dadaako ni "Major 1" kama Nabii Bushiri toka Malawi![emoji23][emoji23][emoji23]
Senge sana yule jamaaa...!![emoji22]Huyo mwanaume pepo haioni
Mtajie na maksi kbsaa maana hili swali kama la seksheni b compulsory hahaaaaa
Mkiwa kwenye umri 20-25,kipindi ambacho unatakiwa upate mtu utulie badala yake mnakuwa na mambo mengi,ni ngumu sana kukuta mwanaume wa 35+ hayuko kwenye familia ni wachache sana,mwanaume kukudanganya ili ajue vya ndani kawaida maana mkiambiwa ukweli hamlainikiHahahahaaaaa.. kwanza shemeji ako anafunga ndoa mwezi wa Saba. Na yeye ni mmoja wapo waliocheza na moyo wangu avumilie tu akijisoma humu sikumtuma mimi awe muongo kisa papuchi tu. Wakati angeniambia kawaida ningempa wala hakuhitaji kunidanganya.
It has not impacted me at all...because I'm not a victim and I will never be[emoji13][emoji13][emoji13].How far does the content of this thread impacted you?