Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Baby Doll doll kumbe we ni dam changa kiasi hiko,,,sio mbaya lakini upo kwenye stage ya ukuaji. When you arrive 23 yrs utaanza kuwa na mindset tofauti na kuyaona mapenzi in a different perspective, trust me kama utakuwa na same boyfriend utapofika 25 yrs naomba uje utoe ushuhuda humu.

Nitakuwa wa kwanza kukupa zawadi, ya 5th annivesary ya uchumba wenu thabiti. Amini kwamba 21-24 kuna mengi sana yatatokea katika ulimwengu wako wa mapenzi wa mtoto wa kike.
 
Absolutely no finger point to the extrovert or else love complexity remains at individuals introvert behaviour

Getting some one special that matches exactly never ever possible.
You will end up getting "at least" and not the best one!!
But there is a way [emoji13][emoji13][emoji13].
 
Yeah I know love is dynamic, there is the peaks and troughs...though sometimes you may find yourself in a relationship where everything is perfect or close to it.

Therefore you'll find it not easy to choose the perfect match lather a probability.... is this true? The basement for decision should not be at extrovert lather introvert behaviour
 
Dah pole sana mama, sasa mnatakiwa msikubali kudanganywa mupende ukweli hata kama haufurahishi maana mara nyingi ipo hivyo. Jifunzeni kumuelewa mtu kama alivyo
Hiyo ilikuwa zamani kwa sasa nikishaona sielewi yaani naondoka kabla hata hatujafikia hatua ya kuvuana nguo.
 
kama hawatakusikia Mungu amekusikia kila mtu atavuna alichopanda,lakini na wewe ubadirike ona thamani ya MWILI WAKO SIO KILA ANAEKUTONGOZA NI MUOAJI,JIPE MUDA KUMCHUNGUZA
Hii tabia unamtokea mtu unamdanganya uko single wakati una mke au mahusiano yenye furaha na amani ni UBINAFSI. Wewe utasema unanipenda kwa dhati ndio maana umeamua kunidanganya huwazi nitakavyoumia siku nikiujua ukweli?

Halafu utetezi wenu ni "Ooh bby nilijua nikikuambia ukweli utanikataa". Unaona kukukataa na kuniumiza moyo wangu Bora uniumize ili utimizie lengo lako?
Kwa dhati kabisa ya moyo wangu nawaomba mseme tu ukweli ili mtu ajue anajiingiza kwenye nini Kuliko unidanganye.

Mimi mwenyewe muhanga wa hili jambo na nilikua head over heals kwa huyu mkaka kumbe moyoni mwenzangu anajua kabisa mimi anapita ana mtu wake. Na baada ya kuujua ukweli akaanza kuniambia hana furaha na huyo mwanamke ananipenda mimi. Ila kwa jinsi nilivyompenda nilishindwa kuvumilia nikamwambia tuachane tu siwezi kukushare maan nilimwambia kama huna furaha achana nae uwe na mimi akashindwa. Niliumia mpaka nikaamsha vidonda vya tumbo siku hiyo namshukuru Mungu nimemove.

Rafiki yangu juzi tu kajua mtu aliempenda kwa mara ya kwanza toka apate akili ni mume wa mtu. Na alimdanganya eti hajaoa ana baby mama tu kumbe huyo baby mama ndio mkewe. Na alishamuuliza mwanzo akasema hana mahusiano ana mtoto tu ila yeye na baby mama hawana mahusiano. Mungu alivyo mwema last weekend wamekaa bar kaja mtu anaomba msamaha kwa jamaa kuwa alishindwa kuhudhuria harusi mbele ya rafiki yangu. Rafiki wa jamaa alivyondoka alimuapia rafiki yangu miungu yote kuwa hana mke na ndoa ilishindikana kufungwa halafu kwa sababu ya kijinga sijui kwanini rafiki yangu akamuamini. Sasa nikasikia tena jamaa kaoa nikamwambia rafiki yangu.
Kufupisha tu jamaa ni kweli ameoa na anaesema ni baby mama ndio mkewe nae utetezi wake hakutaka kusema alivyomuona rafiki yangu kwa kuwa aangemkataa ila anampenda.

Mwingine mpaka Pete kavalishwa na mchumba wa mtu na jamaa anaoa week ijayo anamuacha mwenzie na mtoto na aibu ya kupeleka mchumba ambae alikua na mtu mwingine.

Ukijijua huna mpango na mtu mwambie ukweli mtuepushie maumivu makubwa wengine kupenda kwetu kwa bahati tukipenda tunapenda kweli sasa kukaa na kugundua wewe ni side chick kwa bwana wa mtu inauma sana.

Samahanini kwa gazeti ila nimesisitiza na hivyo visa viwili kukazia maombi yangu kwenu. MTUONEE HURUMA na mioyo yetu.
 
kama hawatakusikia Mungu amekusikia kila mtu atavuna alichopanda,lakini na wewe ubadirike ona thamani ya MWILI WAKO SIO KILA ANAEKUTONGOZA NI MUOAJI,JIPE MUDA KUMCHUNGUZA
Sawa na ndio maana na mimi sikubali kila anaenitongoza labda wewe ulibahatika aliekutongoza ndio akaja kukuoa ila wengi huwa tunapita kwa wengine mpaka kumpata huyo alie sahihi
 
Baby Doll doll kumbe we ni dam changa kiasi hiko,,,sio mbaya lakini upo kwenye stage ya ukuaji. When you arrive 23 yrs utaanza kuwa na mindset tofauti na kuyaona mapenzi in a different perspective, trust me kama utakuwa na same boyfriend utapofika 25 yrs naomba uje utoe ushuhuda humu.

Nitakuwa wa kwanza kukupa zawadi, ya 5th annivesary ya uchumba wenu thabiti. Amini kwamba 21-24 kuna mengi sana yatatokea katika ulimwengu wako wa mapenzi wa mtoto wa kike.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]asante kwa kunipa muda niendelee kukua Extrovert. But mind you nina akili sana.
Ni kweli nina damu changa inayonuka maziwa, najua kuna kutendwa na kutenda mtu in any relationship. I am not much better but somehow I am the best in knowing who I am and what I want.
 
Back
Top Bottom