Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,012
- 3,683
Wewe ni mwendawazimuWe huoni kuwa unajichanganya?, mara hawaongei Kiingereza, mara wanaongea Kiingereza Kibovu
Wewe ni mwendawazimuWe huoni kuwa unajichanganya?, mara hawaongei Kiingereza, mara wanaongea Kiingereza Kibovu
We mpuuzi neno "faranga"siyo neno la kibantu ni matamshi mabovu ya neno"FRANC" ambayo ni fedha ya UFARANSA!shwain.Kaka ELI-91 , unajua ni ngumu sana kuelewa ninachokiandika na ninachojaribu kukieleza
Mfano, kwa sisi East Africa tunasema MIMI ambayo ina accent ya Kiarabu lakini Kiswahili cha Congo wanasema MIYE ikiwa ni accent ya Kifaransa
Pesa tunasema Fedha-kiarabu wao Congo wanasema Faranga
Ukiongea siku za juma kama tunavyoongea sisi huku hakuna Mkongo atakayekuelewa, utawachanganya kabisa wao wanatumia namba au maneno ya kifaransa
Jumatatu-Siku ya Kwanza (Lundi)
Jumanne-Siku ya Pili (Mardi)
Jumatano- Siku ya Tatu (Mercredi)
Alhamis-siku ya nne (Jeudi)
ijumaa-siku ya Tano (Verdred)
Jumamosi- siku ya Posho (Samedi)
Jumapili-Siku ya Mungu (Demanche)
Muelimishe mjinga huyo.kiswahili ni kimoja tu..hakuna cha Kongo wala Bujumbura,Kongo wao wanaita kingwana,wataokota-bhatalokota,risasi-masasi,kiswahili cha wapi hicho
Toa tofauti siyo katazo bila hoja,wanaume tumejikita kwenye hoja siyo mipasho na matamko.Kama unajua kuanzia advance hukusoma,HGL,HGk napia chuo hukusoma masuala ya lugha basi usitoe maelezo ambayo siyakwe,tuliosoma lugha as professional tunaona unapotosha
Exactly,LUGHA NASIBU YA PWANI YA AFRIKA MASHARIKI.Umeni-quote mimi ilhali ujumbe umemkusudia ELI-91 sio?
Ni hivi nyie mliojifunza kiswahili mkiwa Sekondari endeleeni kuamini kiswahili ni KIBANTU ila sisi tuliozaliwa ndani ya kiswahili na kupitia madrasa, tunajua athari ya lugha ya kiarabu ndani ya kiswahili. Hicho cha Congo ndugu sio kiswahili, ni lugha tu nyingine yenye maneno mengi au kadhaa ya kiswahili.
ni kama kilivyo kiingereza cha kule Ireland ni tofauti na cha england.Kumbuka tofauti iliyopo kati ya americani English na British EnglishKiswahili sio kimoja kaka, Ni kama kiingereza tu, Uk wana Chao, USA wana chao, Jamaica wana Chao, Nigeria wana Chao,
Shelisheli wana Kiswahili chao, kuna sehemu ya Madagascar pia wana chao, Kenya Nairobi na Mombasa kuna tofauti, DRC wana chao, tembea uone kaka, acha kubisha uko nyuma ya QWERTY
Marekani ni koloni la Uingereza na lugha yao ni kiingereza,hayo maneno wanayapindisha tu kuongeza msamiati wa maneno yao maarufu ya mtaani,kama hapa kwetu "TAPELI",KULA BATA"Utofauti wa kiingereza cha Marekani na uingereza.
waingereza- maize.
wamarekani- corn.
Waingereza - dustbin
Wamarekani-gabage can.
Waingereza-biscuit
Wamarekani-cookies.
Waingereza- mobile/cell phone
Wamarekani-payphone.
Waingereza-Father
Wamarekani-Daddy
Waingereza-you and me
Wamarekani-you and I
Waingereza- colour
Wamarekani-color
Mifano mingi sana
Wewe ni mwendawazimu
kuna kiswahili cha kimvita na kimakunduchiKiingereza ni kimoja pia,hao wengine wameamua kuumiza matamshi ya baadhi ya maneno,ndiyo maana unaambiwa kuna FORMAL ambayo ni ya UINGEREZA hakuna kiingerza cha Naijeria wala kongo,isipokuea INTONATION tu na hiyo inatokana na lugha zao wanazotumia.
Usijidanganye kama kuna kiingereza cha KIHAYA wala KiSUKUMA,ni lafudhi na matamshi tu yaliyoathiriwa na lugha fulani ama za makabila au Mataifa,unawezaje kusema KIINGEREZA cha NAIJERIA wakati umeshasema"KIINGEREZA?"
HII MAANA YAKE NI LUGHA YA UK.
Usiwe mvivu wa kufikiri.
Na hiyo ndio sababu moja wapo kwa CCM kung'ang'ani huu mungano,CCM wanajua fika kuwa kama mungano utavunjika CCM itaumbuka,kwa maendeleo yatakayo patikana Zanzibar utakuwa ndio mwisho wa CCM Tanganyika kwani wananchi watajua kuwa CCM ni wababaishaji tu...,wazanzibar ni wale wale wa Oman kwani jeuri ya kuvunja MUUNGANO unadhani wanaitoa wapi.. na wakijitoa leo kwenye Muungano wanatuacha kiuchumi haki ya Mungu
kwa hiyo Zanzibar itaelekea zaidi Oman kwa ndugu zao?wazanzibar ni wale wale wa Oman kwani jeuri ya kuvunja MUUNGANO unadhani wanaitoa wapi.. na wakijitoa leo kwenye Muungano wanatuacha kiuchumi haki ya Mungu
Hakuna kiswahili cha Kongo ....hzo zote ni pijini tu!! Kiswahili n kimoja tu chenye mpangilio/muundo wa sentensi zake katka mfumo wa lugha zote za kibantu na kikiwa kimekopa maneno mengi mno kutoka katka lugha ya kiarabu!! Wanachoongea wakongo wawe wa mashariki au wasukuma wa kanda ya ziwa inakuwa ni pijini tu yenye kutokezwa na taathira ya lugha za makabila yao haipo hata katka lahaja mahsus...hivyo huwez ukakipa tawi ya kuwa n kiswahili cha sehem fulan. Kinaachongelewa bungeni(Kiswahili+kiingereza=KISWANGLISH) Huwez ukakiita kiingereza cha tanzania....imetokea tu kwa sabab ya wahuska kukosa (kuwa na na uhaba vichwan mwao) misamiat ya kutosha ya lugha zote mbili!!. KISWAHILI NI KIMOJA TU KILE CHA SHAABAN ROBERT NA SAADAN KANDORO ....Tunachoongea sie leo hii!!We ushamba umeacha lini?, hivi hata hujui Kiswahili kilivyogawanyika?, Kiswahili kina matabaka kaka, ngoja basi nikufahamishe na uelewe tofauti ya kiswahili cha Tanzania na Kikongo
Cha Tanzania kina mchanganyiko wa Kiarabu, Kibantu, Kiingereza nk, Lakini kiuhalisia maneno Mengi ya Kiarabu yana Kibantu chake, kwa sisi huku Tanzania maneno ya kiarabu bado mengi yanasimama kwenye lugha yetu, lakini kwa Congo maneno almost yote ya Kiarabu hayatumiki na mbadala wake wanatumia maneno ya Kibantu na Kifaransa,
Sasa basi kwa Mkongo akiongea Kiswahili cha kwao kwa sisi Watanzania tunaelewa anachokiongea, lakini sisi tukiongea Kiswahili chetu chenye Kiarabu wanapata shida san kujua tunachoongea
Na hata Congo yenyewe Kiswahili pia kina tofauti, East Congo angalau tunaweza kuongea vizuri, lakini Katanga ni shida kabisa, na Kinshansa almost hakuna Kiswahili
Acha ushamba wewe
ukoo wa sultani Said SeyyidPia mfalme wa Oman asili yake ni znz
Usultani wa Zanzibar ulitoka Oman.Rejea Sultani Seyyid mpaka Sultan JamshidAsiyetaka Muungano atoke yeye atuachie Zanzibar (kwa maana ya ardhi)
Na wakileta mchezo hata hiyo Omani tutaifanya kuwa sehemu ya Jamuhuri ya Muungano
Kwa hiyo hawa waarabu tunaowaona mikoani kumbe ni waomani ? Mbona pia kuna wayemeni?Shinyanga nilikaa ni kweli kuna waarabu wasukuma wenye asili ya Oman. Wanaongea kisukuma na kiswahiili hacha tu wako kibao shinyanga wengi wako maganzo nk
Ukitamani Omani mbona hutaiacha Shelisheli?Hili la kutanuwa muungano wetu hadi Oman lipo vizuri sana, yaani mtu unatinga Muscat na kitambulisho cha kupigia kura tu. Tumuuzie mfalme wa Oman hili wazo.
wako na wengineTippu tippu
Ni wale wenye asili ya uarabuni ndiyo wamechoka na ndiyo walikuwa wanatawala enzi za usultani.Hawa wengine wenye asili ya bara hawajachoka wako poa tu hawana makeke na MuunganoTatizo watanganyika ustaarabu zero, Zanzibar washakuchokeni mtaweza Oman?
ni kama mkongo kwenda parisZanzibar koloni lao. Ukitaka kwenda oman kwa wepesi waambie ww ni mzinzabar. Ni Kama Mayotte kwa ufaransa
Tofauti itatokea kiisimu na kiistilahiIli kumaliza utata kwetu tunaofuatilia uzi huu, hebu tuwekee paragraph moja ya kiingereza cha UK na nyingine ya kinaijeria na zote zikiwa na ujumbe mmoja.