Oman wanazungumza Kiswahili pia?

Oman wanazungumza Kiswahili pia?

Kiswahili sio Kiarabu, ila kwa kuwa Waarabu wa Oman walitawala pwani ya afrika mashariki kabila la Waswahili liliiga baadhi ya tamaduni za kiarabu na misamiati/istilahi za lugha ya kiarabu. Ni kama ambavyo kiingereza kimefanya kwa lugha ya Kilatini no Kifaransa. Na hii ni tabia ya lugha zote. Waoman wameondoka Zanzibar 1964. Hivyo sio ajabu kwao kuongea Kiswahili. Zaidi ya yote wao ndio watu wa kwanza kuiweka lugha ya Kiswahili katika maandishi kwa kutumia herufi za lugha ya Kiarabu. Ukitembelea Zanzibar unaweza kulifahamu hili.
Kiswahini ni kiarabu
Kiswahili
 
Kiswahili sio Kiarabu, ila kwa kuwa Waarabu wa Oman walitawala pwani ya afrika mashariki kabila la Waswahili liliiga baadhi ya tamaduni za kiarabu na misamiati/istilahi za lugha ya kiarabu. Ni kama ambavyo kiingereza kimefanya kwa lugha ya Kilatini no Kifaransa. Na hii ni tabia ya lugha zote. Waoman wameondoka Zanzibar 1964. Hivyo sio ajabu kwao kuongea Kiswahili. Zaidi ya yote wao ndio watu wa kwanza kuiweka lugha ya Kiswahili katika maandishi kwa kutumia herufi za lugha ya Kiarabu. Ukitembelea Zanzibar unaweza kulifahamu hili.
Kiswahini ni kiarabu
Kiswahili
 
1. Oman takriban 2/3 ya raia wanazungumza kiswahili
2. Zaidi ya 1/2 ya maneno ya kiswahili yana asili ya Kiarabu + Kiajemi
3.Kwa mara ya kwanza kabisa kiswahili kilianza kuandikwa ktk herufi za kiarabu kabla ya hizi za kizungu
4.Maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni ikiwemo kiarabu ni maneno ambayo hatukuwa nayo kibantu/au vitu hivyo havikuwepo ktk jamii ya wabantu mfano
Kasri
Stafeli
Sukari
Chai
Hodi
Tufaha
Meza.
Kitabu. Nk
Vitu tulivyokuwa navyo vyote vina majina ya kibantu kwa mfano ktk mwili
Nywele
Kichwa
Shingo
Mgongo
Mguu
Tumbo nk
 
1. Oman takriban 2/3 ya raia wanazungumza kiswahili
2. Zaidi ya 1/2 ya maneno ya kiswahili yana asili ya Kiarabu + Kiajemi
3.Kwa mara ya kwanza kabisa kiswahili kilianza kuandikwa ktk herufi za kiarabu kabla ya hizi za kizungu
4.Maneno yaliyokopwa toka lugha za kigeni ikiwemo kiarabu ni maneno ambayo hatukuwa nayo kibantu/au vitu hivyo havikuwepo ktk jamii ya wabantu mfano
Kasri
Stafeli
Sukari
Chai
Hodi
Tufaha
Meza.
Kitabu. Nk
Vitu tulivyokuwa navyo vyote vina majina ya kibantu kwa mfano ktk mwili
Nywele
Kichwa
Shingo
Mgongo
Mguu
Tumbo nk
Kiswahili ni kibantu sio kweli kwamba zaidi ya nusu ni maneno ya kiarabu. Nimekaa na waongeaji wa kiarabu na wala sielewi kitu. Mswahili na mwarabu hawaelewani kabisa. Labda maneno machache sana hasa namba.
 
Kiswahili ni kibantu sio kweli kwamba zaidi ya nusu ni maneno ya kiarabu. Nimekaa na waongeaji wa kiarabu na wala sielewi kitu. Mswahili na mwarabu hawaelewani kabisa. Labda maneno machache sana hasa namba.
Kiwiko huwezi jua hilo ila mpaka uwe Multi linguist kama mimi
 
Back
Top Bottom