Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,635
- 8,955
Ni kweli hakuna shaka kuwa Zanzibar ya zamani ilikuwa na Ust'arab ila sio hii ya sasa ambayo ina mpaka wanawake wa kiislam wanaojiuza na uchafu mwingine mwingi.
Zamani Zanzibar mtu watu wawili Mwanaume kwa Mwanamke hawapatiwi chumba cha kulala cha wageni bila kuonesha cheti cha ndoa. Leo hii mpaka mashoga wanapanga chumba na kufanya laana zao.
Hizo ni juhudi za kanisa kuviangamiza visiwa katika nyanja zote ,baada ya ule Uvamizi wa Tanganyika wa 1964 unaoitwa Muungano.
WALIIVAMIA ZANZIBAR NA KUMKAMATA WAZIRI MKUU WAKE MUHAMMED SHAMTE PAMOJA NA MAWAZIRI WAKE NA KUWAFUNGA JELA ZA TANGANYIKA BILA KUWAFIKISHA MAHAKAMANI:
HAYO YAMEFANYIKA KABLA HATA HUO UITWAO MUUNGANO HAUJAFIKIRIWA