encyclopaedia Tanzaree
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 517
- 405
Rahisisha kwa kusema!Kaka mimi wala sipingi hilo, na hilo linajulikana na liko wazi na ndio maana chote kitaitwa kiswahili, tofauti ninayoisema mimi ni kuwa, Kiswahili chetu ndio kina Kiarabu, Kibantu, Kiingereza nk, lakini sehemu zingine Kiswahili hakina kabisa maneno ya Kiingereza unakuta Kifaransa, pia kina asilimia chache sana ya maneno ya Kiarabu na sehemu kubwa ni Kibantu
Rahaja ya kiunguja (ambacho ndo tunakitumia) kimekopa maneno mengi kutoka lugha za kiarabu, kireno, kiingereza, kihindi n.k