Rahaja=LahajaRahisisha kwa kusema!
Rahaja ya kiunguja (ambacho ndo tunakitumia) kimekopa maneno mengi kutoka lugha za kiarabu, kireno, kiingereza, kihindi n.k
Typing error!Rahaja=Lahaja
kiswahili ni kimoja tu ila kinatofautiana matamshi kulingana na eneo husika....hakuna viswahili vingi wala vingereza vingi big NO!!!Kiswahili sio kimoja kaka, Ni kama kiingereza tu, Uk wana Chao, USA wana chao, Jamaica wana Chao, Nigeria wana Chao,
Shelisheli wana Kiswahili chao, kuna sehemu ya Madagascar pia wana chao, Kenya Nairobi na Mombasa kuna tofauti, DRC wana chao, tembea uone kaka, acha kubisha uko nyuma ya QWERTY
Ndio sawahili ni neno LA kiarabu ndio maana lugha hii imejaa maneno ya kiarabu mengi hicho cha ki Congo sidhani kama ni kiswahili nimetolea mfano wagiriyama coz ni indigenous tribe ya coast ya Kenya na ukiwasikia utaona kama kuna kiswahili kidogo ambao si kiswahili Bali ni kibantu kwa kuwa kiswahili kiliborrow maneno ya kibantus including from giriyama so hatuwezi sema giriyama ni kiswahili.
Oman ina mchanganyiko wa Arabs wazawa na waarabu wenye asili ya afrika mashariki tena wengi kutokea Tz ,na wengi hao wazungumzao kiswahili baba zao waliloea afrika kabla oman haijagundua petrol wakafanya biashara huku..lkn nchi ilipokuja kupata mwamko kiuchumi sultan quaboos akawaomba wote waliouhamishoni warudi nyumbani kuijenga nchi!wengi wakarudi oman wakabeba watoto na wake zao ambao ni waafrika sasa waliondoka wanakijua kiswahili hadi leo ukienda muscst usimtete mtu kwa lugha ya kiswahili!hata Baba wa taifa hayati Julius alishangaa hilo pale alipofanya ziara omanNimeona baadhi ya watu waliokuja na Meli ya mfalme wa Oman wakizungumza Kiswahili vizuri. Nilitaka kujua kama kwenye taifa hilo uzungumza Kiswahili
Nimeona baadhi ya watu waliokuja na Meli ya mfalme wa Oman wakizungumza Kiswahili vizuri. Nilitaka kujua kama kwenye taifa hilo uzungumza Kiswahili
Asiyetaka Muungano atoke yeye atuachie Zanzibar (kwa maana ya ardhi)
Na wakileta mchezo hata hiyo Omani tutaifanya kuwa sehemu ya Jamuhuri ya Muungano
Kwa nini unasema Kiswahili kimeborrow maneno ya Kibantu na sio Kiswahili Kimeborrow Maneno ya Kiarabu?, Dada Kibantu kilikuwepo kabla ya Kiarabu, hivyo Kiarabu ndio kimeingia ndani ya Kiswahili, So waarabu waliita Lugha waliyoikuta Sawael, yaani Ya watu wa Pwani
Mfano ni huu, Wabantu waliokuwa Pwani walikuwa wanajua kuhesabu vizuri tu, so katika namba kumi (Moja, mbili, tatu, nne, Tano, Sita, saba, nane Tisa Na kumi) walizozikuta Waarabu wao wakaingiza namba tatu tu, Sita, Saba na Tisa, sasa utasemaje Kiswahili Kimetohoa Kibantu wakati ukweli unaonekana kuwa Kiarabu ndio kimeingia ndani ya Kiswahili?
Mimi sijakataa kiswahili kime borrow both kibantu na kiarabu
Sio kweliKiswahini ni kiarabu
Naam wapo waarabu wenye asili ya kitanzania na wengi wao wanatoka Zanzibar.Nimeona baadhi ya watu waliokuja na Meli ya mfalme wa Oman wakizungumza Kiswahili vizuri. Nilitaka kujua kama kwenye taifa hilo uzungumza Kiswahili
Achilia Zingbari kuna ndung hadi Tabora,Mwanza na hata Shy.Sehemu zote hizi kuna muingiliano mkubwa sana.Wako wazanzibari wengi ndugu wa mfalme wa Oman ambao wakitaka kuhamia Oman huwa rahisi kwao na wakienda huwa na haki Sawa na raia wa Oman huwapa vyeo vya serikali au ajira, siasa nk hivyo ukiwaona usishangae Wengine ni wazaliwa wa darajani Zanzibar waliohamia Oman kwa ndugu zao tena wamehamia wakiwa na umri mkubwa
Hicho ni cha kuokoteza tuSio 98%, na ujue Kiswahili kinatofauti na eneo na eneo, ukikisikia kiswahili cha DRC hakina kabisa maneno ya Kiarabu na kama yapo ni kachachesana, kiswahili chao kimejaa Kibantu na maneno ya kifaransa
SO WHAT mkuu?Kwani wakituacha kiuchumi kuna tatizo gani?? Tumeachwa kiuchumi na nchi ngapi ???
Acha fikra za kimaskini nyie ndo wale mnaomsifia magu ' eti sasa hivi tunaheshimiana mtaani'
Watatuacha vipi tupe sababu. Maana oman pia ku watu wamechoka. . Tuanzie hapo
Jamaica na Nigeria hawaongei English...Jamaica wana PATOIS na Nigeria Pidgen....ni kiingereza kibovu kilichochanganywa na maneno yao lakini hakitambuliki mashuleni ila mtaani tu. Shuleni wanatumia kiingereza fasaha cha Uingereza.
Asante mkuu Nilikuwa sijui hili sababu niliwahi kaa Zanzibar miezi minne nilikutana na raia wa Oman mahotelni Wanaoongea kiswahili barabara nikajua ni wazanzibari tu Asante kwa clarification
Idadi kubwa ya wenye asili ya Oman,waliishi Tanganyika(Tanzania bara).Kuanzia Mtwara,Tanga,Tabora,Shinyanga,Mwanza,Sumbawanga,nk.Na mpaka leo vizazi vya hao watu wapo,japo wengi wemchanganyika na makabila ya asili kwa kuoana.
Bora umeliambia hilo LIJINGA,halina hata fikra,Unaita "KIINGEREZA"ukimaanisha lugha ya waingereza halafu useme eti RWANDA wana "kiibgereza chao"kimetoka wapi?Jamaica na Nigeria hawaongei English...Jamaica wana PATOIS na Nigeria Pidgen....ni kiingereza kibovu kilichochanganywa na maneno yao lakini hakitambuliki mashuleni ila mtaani tu. Shuleni wanatumia kiingereza fasaha cha Uingereza.
Liambie hilo LIJINGANeno Swahili,ni neno la kiarabu,linatamkwa Sahel(kwa maana ya Pwani.Kiswahili no cha pwani tu,kama jina la lugha hiyo ilivyoitwa na waarabu,kiswahili,yaani lugha ya Pwani,hivyo vingine vinavyoitwa kiswahili,ni kuongeza tu,kisichokuwamo,kikatiwa katika mahali sipo.