Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

embu acha kudaganya watu unajua Come Closer ya wiz kid iligonga viewers ngapi uko vevo kabla ya masaa 24 ilikuwa tayari n viewers 1 million na ushe

Sent using Jamii Forums mobile app
Afrika mashariki umeambiwa....bichwa boksi

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Sasa nimeamini wasanii bongo wananujua views.
Ule wimbo ni mbaya balaa, hata huu mpya wa WCB, round hii wote wamechemka, nimeiona mara moja tu sikutaka hata kurudia.
Mzee ile ni vevo account huwezi fanya janja janja kama account yako binafsi japokuwa zote ziko utube

Sent from my Linux ubuntu mobile
 
Tukusaidiaje

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA


We mwenyewe inahitaji msaada, we unafikiri akili zako sawa? Unaniquote unaanika neno moja halafu chini unajaza ujinga maneno kibao.
 
Kwa nilivyo uelewa...

Anajaribu kumuonya mwanamke ambae amejipanga kumchuna,ama anaempa vishawishi vya mapenzi.

Ndio anamwambia

Kiitikio

Do not do like that, Am too smart dada, halafu anamruhusu afanye aanachotaka (seduce me like a hell).inapita sauti inamuonya tena (aah hold on).

verse ya 1.
Nakuona unakata, be careful sista
na kama unataka they call me heartbreaker
nna majina mapya, kila mmoja amenipa
wananiita kipusa oooh pasua kichwa


anaendelea kumuonya kuhusu mtu anaetaka kuingia kwake,sababu binti anaendelea kumshawishi kimapenzi.

kiitikio.

Verse ya 2.
Najua kupenda,nagawa mavumba
na kama unataka,they call me Kiba Rockstar
nina madinga mapya, kila mmoja nampa
wananiita misifa ooh pasua kichwa


anaendelea kumuelezea na sifa alinazopewa na vitu anavyofanya,ili anaemshawishi atambue anafanya kwa mtu wa aina gani.

kiitikio.

Yo, you know me girl, i go for the name of Alikiba unstopable
Despacito cheza kidogo,zungusha kiuno chako utuonyeshe


maana yake tayari ameshamfahamu sasa kama anaendelea anaruhusu aendelee kucheza sasa

hivyo wimbo ni mwanamme anaejaribu kumuonya mwanamke anaemshawishi kimapenzi,awe makini na mtu anaemfanyia hivyo,huenda sio aina ya mtu aliekuwa anamdhania.
 
Kwa nilivyo uelewa...

Anajaribu kumuonya mwanamke ambae amejipanga kumchuna,ama anaempa vishawishi vya mapenzi.

Ndio anamwambia

Kiitikio

Do not do like that, Am too smart dada, halafu anamruhusu afanye aanachotaka (seduce me like a hell).inapita sauti inamuonya tena (aah hold on).

verse ya 1.
Nakuona unakata, be careful sista
na kama unataka they call me heartbreaker
nna majina mapya, kila mmoja amenipa
wananiita kipusa oooh pasua kichwa


anaendelea kumuonya kuhusu mtu anaetaka kuingia kwake,sababu binti anaendelea kumshawishi kimapenzi.

kiitikio.

Verse ya 2.
Najua kupenda,nagawa mavumba
na kama unataka,they call me Kiba Rockstar
nina madinga mapya, kila mmoja nampa
wananiita misifa ooh pasua kichwa


anaendelea kumuelezea na sifa alinazopewa na vitu anavyofanya,ili anaemshawishi atambue anafanya kwa mtu wa aina gani.

kiitikio.

Yo, you know me girl, i go for the name of Alikiba unstopable
Despacito cheza kidogo,zungusha kiuno chako utuonyeshe


maana yake tayari ameshamfahamu sasa kama anaendelea anaruhusu aendelee kucheza sasa

hivyo wimbo ni mwanamme anaejaribu kumuonya mwanamke anaemshawishi kimapenzi,awe makini na mtu anaemfanyia hivyo,huenda sio aina ya mtu aliekuwa anamdhania.


-Ndumilakuwili-
 
MTU anamtetea domo wakati huohuo unataka kuelewa vya king kiba....acheni viherehere kama hukuelewa pambana na hali yako..
 
Kipusa
Nitongoze
Mandinga mengi
By the name kiba
N. K
 
Back
Top Bottom