Ujue haukuhusu!Samahani wataalamu wa mziki napenda kujua wimbo wa Ali kiba unahusu nini maana kilichoimbwa ndani bado sijaelewa wimbo unahusu nini sio kwamba nauchukia hapana ninachotaka kujua ni nn kaimba mle ndan mana kila nikisikia ata siuelewi
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
banaaaa,wakati mange anawaambia muwahi view ili mumkomeshe MONDI MLIIKUA hamskizi vizur kinachoimbwa eeehhh,yani kama NYUMBU vileTumefikishaa viwers 1 mil ndio tumeanza kukumbuka ujumbee
shushushu VIP
MAPENZI.....(kama hutaki basi)Duh! Kwa kweli hata mimi naona maluwe luwe! Seduce me = nitongoze (kwa kizungu changu cha la saba) ila sasa yaliyoimbwa ndani sijui wananiita kipusa, sijui mambo gani tena.... Naomba msaada vizuri wadau. Lengo nami nijue wimbo hasa u nahusu nini. Asanteni
Hate me at your own risk
Mie nimependa hapo kwenye mandinga MapyaDo not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up),
What the hell,
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up)
What the hell
Nakuona unakata,Be carefully sister,
Nakama unataka,they call me heart breaker(breaker),
Nina majina mapya,kila mmoja amenipa,
Wananiita kipusa,ooh pasua kichwa,
mimi ninamajina mapya,kila kona wamenipa,
Wananiita kipusa,ooh pasua kichwa.
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up),
What the hell versuri-lyrics.info
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up)
What the hell.
Eh! Najua kupenda,Nagwa mavumba,
Nakama unataka,they call me kiba Rockstar,
Nina mandinga mapya,kila mmoja nampa,
Wananiita misifa,ooh pasua kichwa,
Nina mandinga mapya,kila mmoja nampa,
Wananiita misifa,ooh pasua kichwa.
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up),
What the hell,
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up)
What the hell.
Yoop! You know me girl,I go by the name of alikiba,
Unstopable,
Mama lailalaila mama,Despacito,
Despacito,Cheza kidogo,
Zungusha kiuno chako uonyesheee.
KARIBU KWANZA PITIA HIYO MISTARI HALAFU KAMA HUJAELEWA UTAELEWESHWA ZAIDI HAPO
kiba nibadilishie hiki kijenereta cha ISTNafikiri kiinglish kinakuchanganyaSamahani wataalamu wa mziki napenda kujua wimbo wa Ali kiba unahusu nini maana kilichoimbwa ndani bado sijaelewa wimbo unahusu nini sio kwamba nauchukia hapana ninachotaka kujua ni nn kaimba mle ndan mana kila nikisikia ata siuelewi
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio anamwambia mdadaDuh! Kwa kweli hata mimi naona maluwe luwe! Seduce me = nitongoze (kwa kizungu changu cha la saba) ila sasa yaliyoimbwa ndani sijui wananiita kipusa, sijui mambo gani tena.... Naomba msaada vizuri wadau. Lengo nami nijue wimbo hasa u nahusu nini. Asanteni
Hate me at your own risk
Nyie endeleeni kuimba an kucheza singeli huko mtaani kwenu ndo size yenu hiyo.HAHAHAAA HUKU KITAAAA NDO HAULEWEKI KABISAAAA BORA MWANAUNE MASHINE YA MSAGA SUMU,ILA TIME ITAONGEA MAANA SI KAJA KWA BOOST,BASI HATA WIKI HAUMALIZI HUU NA SISI HUKU NGOMA INAYOPIGWA NI ZILIPENDWA TU
a mambie mange kimambi kama alivyofanya kampeni ya YOU TUBE views,aje kuwaelewesha watu mtaani huku wauskilize
Kushawishi
wasipoelewa tenaaaKwa nilivyo uelewa...
Anajaribu kumuonya mwanamke ambae amejipanga kumchuna,ama anaempa vishawishi vya mapenzi.
Ndio anamwambia
Kiitikio
Do not do like that, Am too smart dada, halafu anamruhusu afanye aanachotaka (seduce me like a hell).inapita sauti inamuonya tena (aah hold on).
verse ya 1.
Nakuona unakata, be careful sista
na kama unataka they call me heartbreaker
nna majina mapya, kila mmoja amenipa
wananiita kipusa oooh pasua kichwa
anaendelea kumuonya kuhusu mtu anaetaka kuingia kwake,sababu binti anaendelea kumshawishi kimapenzi.
kiitikio.
Verse ya 2.
Najua kupenda,nagawa mavumba
na kama unataka,they call me Kiba Rockstar
nina madinga mapya, kila mmoja nampa
wananiita misifa ooh pasua kichwa
anaendelea kumuelezea na sifa alinazopewa na vitu anavyofanya,ili anaemshawishi atambue anafanya kwa mtu wa aina gani.
kiitikio.
Yo, you know me girl, i go for the name of Alikiba unstopable
Despacito cheza kidogo,zungusha kiuno chako utuonyeshe
maana yake tayari ameshamfahamu sasa kama anaendelea anaruhusu aendelee kucheza sasa
hivyo wimbo ni mwanamme anaejaribu kumuonya mwanamke anaemshawishi kimapenzi,awe makini na mtu anaemfanyia hivyo,huenda sio aina ya mtu aliekuwa anamdhania.
Sasa maana ake alikiba kashindwa kuvunja record ya diamond bado maan yy alifikishaga views mil moja ndani ya 24 hours
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ubovu wa kuzoea mipasho na singeli.Samahani wataalamu wa mziki napenda kujua wimbo wa Ali kiba unahusu nini maana kilichoimbwa ndani bado sijaelewa wimbo unahusu nini sio kwamba nauchukia hapana ninachotaka kujua ni nn kaimba mle ndan mana kila nikisikia ata siuelewi
Nawasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app