Mange hana la kufanya????yes,naona Mange naye kanunuliwa ndo mana kampa promo sana,Mange mwenyewe ni kama kichaa,hana la kufanya USA daily anafatilia local event hapa tz,she's too cheap kununuliwa na Alikiba
cha kufurahisha kampeni imewagusa mpaka mashabiki wa domo nao wanaenda chunguliaMashabiki wa Kiba wamekuwa na kampeni huko Instagram kushinda wanaingia na kutoka tangu jana usiku. Wameweza
Ndo iko hivyo, na wengine walienda iangalia tu kujua ikoje maana watu wameiomgelea sana!Utashangaa asilimia kubwa waliochangia hiyo video kuwa na views nyingi ni mashabik wa diamond...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We boya siku mbili bado hazijafika, mods fanyeni edit ya heading. Huyu fan wa domo amepotosha
Lexus Mayai
Nilitaka mkumbuke wakati diamond alipokuwa na views nyingi Kuna maneno yalisemwa ya namba hiyo. Leo imetokea kwao au team mond nao watoe povu kuwa views zinanunuliwa.?!? Yote hii ni kampeni ya Dada wa sociomedia naona sasa imemshinda kahamia bongoflavani.Hauwezi kununua views kwenye Official Account ya Youtube VEVO. Hiyo inawezekana kwenye free YouTube accounts tu. Kwenye Official YouTube VEVO kuna security access ambazo haziwezi kuruhusu computer generated (robotic) views, kule ni mwendo wa IP address moja counts 1 views, huko zote ni real views tu. Kumbuka kuna payment anapata kwa kila idadi fulani ya views, hawawezi kukubali false views, coz zingewafilisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukoseagi eti sema huwa hawaelewi haraka.Uchawi haudumu
[emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]yes,naona Mange naye kanunuliwa ndo mana kampa promo sana,Mange mwenyewe ni kama kichaa,hana la kufanya USA daily anafatilia local event hapa tz,she's too cheap kununuliwa na Alikiba
Fursa imejitokeza 😀
Umeambiwa vevo msome jamaa vizuri [HASHTAG]#pasuakichwa[/HASHTAG]Nilitaka mkumbuke wakati diamond alipokuwa na views nyingi Kuna maneno yalisemwa ya namba hiyo. Leo imetokea kwao au team mond nao watoe povu kuwa views zinanunuliwa.?!? Yote hii ni kampeni ya Dada wa sociomedia naona sasa imemshinda kahamia bongoflavani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua jinsia yako.. wewe ni mwanamke au mwanaume??? Maana sio kwa vijembe hivi..Mange hana la kufanya????
Ptuuu.
Usituone sisi wote ni watoto hapa.
Shirikisha akili yako kidogo.
Diamond na alikiba nani ana pesa nyingi ili amnunie mange??
Ngoja nikufunue kichwa kidogo we kiazi.
Diamond kaoa uganda na hapa tz kaacha wanawake kibao , obvioulsy wengi wana chuki naye, funny enough kazaa na mbongo hamisa afu kamkataa mtoto na kamuita bitch. Unategemea nini? Wanawake wa bongo wamsapoti? Na mange anatafuta sana bifu na zari toka zamani sana ila zari hataki na waka hana time naye.
Nimechoka kutype............. Mengine jazia
Kampeni ya huu wimbo sijapata kuona! Kwa nini usiachwe ujiuze wenyewe kama Aje , maana ile ya Mange ni zaid ya Kampeni
Lazima waliangalia ili kufanya ulinganifu na zilipendwa kumbe ndo wanamweka adui kwenye chart!Utashangaa asilimia kubwa waliochangia hiyo video kuwa na views nyingi ni mashabik wa diamond...