Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Kazi ya mziki n kuburudisha na kufundisha au kukanya, sasa yeye kabezi kwenye kuburudisha na inshallah roho zetu zimesuzika sana baada ya lijisong hili.. hongera kiba umeweza sana
 
Samahani wataalamu wa mziki napenda kujua wimbo wa Ali kiba unahusu nini maana kilichoimbwa ndani bado sijaelewa wimbo unahusu nini sio kwamba nauchukia hapana ninachotaka kujua ni nn kaimba mle ndan mana kila nikisikia ata siuelewi
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Muulize ' Mghaibuni Mpinzani ' anayeishi ' Ukimbizini ' Marekani.
 
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up),
What the hell,
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up)
What the hell



Nakuona unakata,Be carefully sister,
Nakama unataka,they call me heart breaker(breaker),
Nina majina mapya,kila mmoja amenipa,
Wananiita kipusa,ooh pasua kichwa,
mimi ninamajina mapya,kila kona wamenipa,

Wananiita kipusa,ooh pasua kichwa.


Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up),
What the hell versuri-lyrics.info
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up)
What the hell.



Eh! Najua kupenda,Nagwa mavumba,
Nakama unataka,they call me kiba Rockstar,
Nina mandinga mapya,kila mmoja nampa,
Wananiita misifa,ooh pasua kichwa,
Nina mandinga mapya,kila mmoja nampa,
Wananiita misifa,ooh pasua kichwa.



Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up),
What the hell,
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up)
What the hell.


Yoop! You know me girl,I go by the name of alikiba,
Unstopable,
Mama lailalaila mama,Despacito,
Despacito,Cheza kidogo,
Zungusha kiuno chako uonyesheee.

KARIBU KWANZA PITIA HIYO MISTARI HALAFU KAMA HUJAELEWA UTAELEWESHWA ZAIDI HAPO
Lyrics ndo zimenichanganya kabisa asee..
 
Umepuyanga ,,Eti zary ,,, naww MTU mzm unashindwa kujua editing video na real one ,,MWISHO wasiku unaleta humu kulikojaa wasomi ,,naww unaonekana km jingalao.
Foam
images
 
Watu mnajua kulazimisha mambo, kama nyimbo ni nzuri si muyaachie masikio yetu. Kwanini mnatulisha matango pori kwa kuanzisha thread 150 kwa 24 hours
Sure mkuu ,,ujue Leo ndo nmepata fursa ya kuutizama huu wimbo yaaan nisifuri sifuri hamna kituuuuuu yaaan nizero unazidiwa hata na wa ZEZETA !!. hamnaa kituuuu ila nmekuja tu kugundua mashabiki wa Kiba ni wanaukawa in nature ,, hawampendi diamond sababu alisema ngoja nikae kimya !!. Yaaan niwatu ambao in nature wameathiriwa na utawala wa awam yatano.

Kilichousaidia huu wimbo ni VEVO ila out of there hamna kitu.

Zilipendwa unachezeka ,unasisimua una show love sana.
 
Diamond tar 1 sep anatoa wimbo na patorankibg so kulikiwa hakuna haja ya kutoa huwo wimbo, kama mtu wa kujifunza kashajifunza watu wengi sana wanamchukia mond either kwa mafanikio yake, husda na pia ulopokaji wake aache dharau maana fans ndo wamemuwek pale. Next time usirudie huu ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachoona ni public sympathy kwa Kiba, hamna kingine!
Wimbo huo kwa mtazamo wangu ni wa kawaida sana!
 
Watu mnajua kulazimisha mambo, kama nyimbo ni nzuri si muyaachie masikio yetu. Kwanini mnatulisha matango pori kwa kuanzisha thread 150 kwa 24 hours
Teh teh teh teh,
Wanataka kuilazimisha ibambe wakati hata huku kwetu bado hawaijui watu.
 
Mkuu usiogope, neno ndani ya siku mbili linamaana huo muda uko ndani. Wakati naandika nilikuwa na shangwe ya hatari sana club, ila Mods nawaomba wa edit heading waweke masaa 38. Invisible

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa uelewa wangu mdogo ni kwambà siku ina masaa 24 kwahiyo unavosema siku 2 inamaanisha masaa 42 ndo maana wakuu wanajaribu kukosoa hata you tube ni 1 day ago kwasababu hazijatimia SAA 42 kuweza kuwa siku 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba inabidi amuombe mkulu ampatanishe na Mondi kama alivyofanya kwa Makonda na Ruge vinginevyo atapotea kabisa kwenye game

''Aut Vincere Aut Mori''
 
Diamond tar 1 sep anatoa wimbo na patorankibg so kulikiwa hakuna haja ya kutoa huwo wimbo, kama mtu wa kujifunza kashajifunza watu wengi sana wanamchukia mond either kwa mafanikio yake, husda na pia ulopokaji wake aache dharau maana fans ndo wamemuwek pale. Next time usirudie huu ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana dharau isipokuwa wabongo tuna roho mbaya.

Bongo ukifanikiwa unachukiwa wazi wazi. Mond piga kazi.
 
Diamond tar 1 sep anatoa wimbo na patorankibg so kulikiwa hakuna haja ya kutoa huwo wimbo, kama mtu wa kujifunza kashajifunza watu wengi sana wanamchukia mond either kwa mafanikio yake, husda na pia ulopokaji wake aache dharau maana fans ndo wamemuwek pale. Next time usirudie huu ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
ni Patoranking ft Diamond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
waimbaji wamebaki wachache sana karne hii, wengi ni wasanii

Seduce Me is Fireeeeeeee
 
Back
Top Bottom