Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

wimbo mzuri kiba....but hizo yooo, zinaboa bhana
Hahaha hiyo ndo identity mkuu, kama upande wa pili wanavyotumia "wasafi"

brain is the beautiful part of the body.
 
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up),
What the hell,
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up)
What the hell



Nakuona unakata,Be carefully sister,
Nakama unataka,they call me heart breaker(breaker),
Nina majina mapya,kila mmoja amenipa,
Wananiita kipusa,ooh pasua kichwa,
mimi ninamajina mapya,kila kona wamenipa,

Wananiita kipusa,ooh pasua kichwa.


Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up),
What the hell versuri-lyrics.info
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce meee like what the hell(ah hold up)
What the hell.



Eh! Najua kupenda,Nagwa mavumba,
Nakama unataka,they call me kiba Rockstar,
Nina mandinga mapya,kila mmoja nampa,
Wananiita misifa,ooh pasua kichwa,
Nina mandinga mapya,kila mmoja nampa,
Wananiita misifa,ooh pasua kichwa.



Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up),
What the hell,
Do not do like that,I’m too small dada,
Seduce me like what the hell(ah hold up)
What the hell.


Yoop! You know me girl,I go by the name of alikiba,
Unstopable,
Mama lailalaila mama,Despacito,
Despacito,Cheza kidogo,
Zungusha kiuno chako uonyesheee.

KARIBU KWANZA PITIA HIYO MISTARI HALAFU KAMA HUJAELEWA UTAELEWESHWA ZAIDI HAPO
nadhani ni i am too smart, not i am too small

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitaka mkumbuke wakati diamond alipokuwa na views nyingi Kuna maneno yalisemwa ya namba hiyo. Leo imetokea kwao au team mond nao watoe povu kuwa views zinanunuliwa.?!? Yote hii ni kampeni ya Dada wa sociomedia naona sasa imemshinda kahamia bongoflavani.

Sent using Jamii Forums mobile app
kichwa chako kigumu sana mtu wangu.
umeshaambiwa ina wezekana kwenye free account. kiba na mond wa kwanza kuingia vivo ni kiba dai hana hata miezi4 tangu afungue account huko.... usasahau mapovu aliyoyatoa siku kiba anatangaza vevo yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaka kujua uzuri wa hizo nyimbo na the way ulivopokelewa usiangalie views angalia likes na dislikes coz Ukiingia tu tayari view inapanda so challenge ianzie kwenye likes.........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya mvutano wa muda mrefu kati ya wasafi na Kiba, ghafla hali imebadilika huko mitandaoni mastaa kibao wajitokeza kuucheza wimbo wa kiba, mtu kama zari ambae ni dem wa diamond, jokate ambae ni x wa kiba , wema ambae ashakua dem wa diamond....basi ni shida tu...mashabaki nao hawakua mbali kushow love kwa king kiba...

 
IKUMBUKWE
Seduce me by alikiba uko kwenye account ya VEVO!
ni msanii wa kwanza kwa Afrika Mashariki kufikisha views 1m ndani ya masaa 38!!
(I mean hakuna msanii ambaye wimbo wake uliwekwa VEVO ukafikisha views 1m kwa muda mfupi hivyo!!hata ule wa Marry you wa diamond ft neyo(international artist haukufikisha views 1m ndani ya muda mchache hivyo).
Keep the good music alive!
embu acha kudaganya watu unajua Come Closer ya wiz kid iligonga viewers ngapi uko vevo kabla ya masaa 24 ilikuwa tayari n viewers 1 million na ushe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hit Song ya Alikiba iitwayo Seduce Me, imefikisha views 1m, usiku huu na yawezekana ikawa nyimbo ya kwanza ya Bongo flavour Tanzania kufikisha views 1M ndani ya masaa 38.

Nini maoni yako kama mdau wa mziki?

*MODS SAIDIENI KU EDIT HEADING KWA KUONDOA NENO NDANI YA SIKU MBILI NA KUANDIKA NDANI YA MASAA 38. Invisible na wengine


Sent using Jamii Forums mobile app
Afu muwe mnafanya uchunguzi kwanza diamond nyimbo yake ya salome ilifkisha 1mil views ndani ya masaa 24 sasa iweje useme haijawai fikiwa na mbongo flavour yyte

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kichwa chako kigumu sana mtu wangu.
umeshaambiwa ina wezekana kwenye free account. kiba na mond wa kwanza kuingia vivo ni kiba dai hana hata miezi4 tangu afungue account huko.... usasahau mapovu aliyoyatoa siku kiba anatangaza vevo yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wajaelewa. Wimbo wa Alikiba unawenjoy regardless kuna video ama haukuna. Lakini wa Dai huwezi kuwenjoy bila video.

Plili Wa Alikiba wakimataifa. Imagine kuna watu wawili hawajui kiswahili kabisa ukiwambia wasikilize zote mbili hakika watachagua wa Alikiba

Tatu Alikiba yuko mwenyewe lakini kule team yote ya basketball imecheza. Allikba is the king. Period

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom