Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Official Video: Seduce Me by Ali Kiba

Hii nchi ya ajabu sana!!! anyway tunakukosea sana chibu kukupambanisha na ht wasiojua! watu wamejawa chuki na roho mbaya juu yako! ila endelea kukaza mwana hz ni kelele za chura tu! tunakukukbali na kuzielewa kazi zako huyo wanaempa promo pumzi hana, hapo ametoa kanyimbo kake kumsikia tena mpaka mwakani...keep it up bro#Daimond platnumz
 
Alli kiba katisha. Diamond na vilaza wenzake babu tale na Sallam, ujanja ujanja una mwisho, nendeni ICBE walau mkasome ka certificate ka management. Wajinga nyie mmekalia uchawi tu.
 
Hit Song ya Alikiba iitwayo Seduce Me, imefikisha views 1m, usiku huu na yawezekana ikawa nyimbo ya kwanza ya Bongo flavour Tanzania kufikisha views 1M ndani ya masaa 38.

Nini maoni yako kama mdau wa mziki?

*MODS SAIDIENI KU EDIT HEADING KWA KUONDOA NENO NDANI YA SIKU MBILI NA KUANDIKA NDANI YA MASAA 38. Invisible na wengine


Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha ujuha, masaa 38 ni tayari siku ya pili.
 
Hujamalizia jack wolper na ki benten chake

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Mange kimavi

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Fidi kyuu. Bili nasi nao wameikubali

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Mwanaume kuitwa kipusa inamaanisha nini? Kwanza kipusa maana yake nini wakuu?
 
Back
Top Bottom