PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Sidhani!...HATUJAFIKIA HUKO!ina maana wawekezaji wamefikia hatua ya kupiga wabunge???????????
Kuna jambo hapa linafichwa!
Sidhani!...HATUJAFIKIA HUKO!ina maana wawekezaji wamefikia hatua ya kupiga wabunge???????????
ni vyema tukasikia pia ya wananchi na wawekezaji
I smell funny stuff hapa.... maana tumesikia kapigwa kwa kuwatetea wawekezaji
uko sawa kabisa hapa kunawatu wanacheza mchezo mchafuHii habari haijakaa sawa, lazima kuna spinning ya kitoto hapa. Hao wawekezeji wako wangapi? Kuna uwekezekano Kingwangalla 'alikopa' watu toka eneo tofauti waje wapambane na wenjeji hapo ili ionekane wawekezaji wanapambana na mbunge?
thanksHii habari haijakaa sawa, lazima kuna spinning ya kitoto hapa. Hao wawekezeji wako wangapi? Kuna uwekezekano Kingwangalla 'alikopa' watu toka eneo tofauti waje wapambane na wenjeji hapo ili ionekane wawekezaji wanapambana na mbunge?
Sidhani!...HATUJAFIKIA HUKO!
Kuna jambo hapa linafichwa!
wakuu ni gazeti gani hili limeripoti?
mkuu jana ulisema wewe ni mwalimu huko mwanza,umeamua kutembea na huyo rizone?mwenzio mtoto wa mjini huyo