Rais Samia, Naomba umpangie kazi nyingine DC Simon Simalenga. Anakuchafua

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
1708511875674.png

Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.

Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.

Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).

Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.

PIa TAKUKURU imchunguze
 
Muhimu tu isije ikawa amewanyima bahasha ya khaki ndugu zangu waandishi wa habari. Maana na nyinyi kuna wakati huwa hamueleweki. Nimetoa tu tahadhari. Mimi sina maslahi yoyote yale na huyo DC wenu.
Hata mimi hapa naona kama kuna kuchafuana tu hapa.maana sioni ushahidi wowote ule ambao umewekwa na mleta mada zaidi ya maneno maneno tu yasiyokata kiu ya msomaji katika kupata ukweli wa jambo.
 
Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.

Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.

Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).

Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.

PIa TAKUKURU imchunguze
Kutoka Ccm hao ndo walikuwa wamebaki,au wampeleke Sufian Juma Nkuhi was X make ndo majembe yaliyobaki
 
Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.

Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.

Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).

Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.

PIa TAKUKURU imchunguze
Jamani kwani Mama kavaa saa gani hadi inaleta mtafaruku
 
Simalenga fits well in his position. Duwa ya kuku hiyo ndugu yangu. Nanyi waandishi wa habari acheni kutumika na wanasiasa.
 
Nahisi harufu kali ya husuda hapa,amewakatalia kuingia kwenye kikao kwasababu ya unyeti wa kikao,ninyi mnaanza kumpiga fitna,sio vizuri ndugu zangu.
 
Muhimu tu isije ikawa amewanyima bahasha ya khaki ndugu zangu waandishi wa habari. Maana na nyinyi kuna wakati huwa hamueleweki. Nimetoa tu tahadhari. Mimi sina maslahi yoyote yale na huyo DC wenu.
Waliwahi kumuunda zengwe kuwa huyu DC kamnasa kibao msichana na kumnyofoa jicho. Baada yauchunguzi ikaonekana kuwa ni futuhi.

Simalenga chapa kazi!!
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari, bora DC atumie muda huo kusikiliza kero za wananchi na kuzipatia ufumbuzi.
 
Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.

Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.

Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).

Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.

PIa TAKUKURU imchunguze
Kumbe Waandishi wa habari mna tabia za Kimasikini hivi za kuombeana Njaa. Ndio maaana mna dhiki sana nyie kenge
 
Muhimu tu isije ikawa amewanyima bahasha ya khaki ndugu zangu waandishi wa habari. Maana na nyinyi kuna wakati huwa hamueleweki. Nimetoa tu tahadhari. Mimi sina maslahi yoyote yale na huyo DC wenu.
Wamenyimwa ulaji hao hawana chochote........na mimi nayoa tahadhari!!!!
 
Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.

Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.

Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).

Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.

PIa TAKUKURU imchunguze
Basi atachunguzwa tuamini hivyo
 
Rais Wa Jamhuri Samia Hassan, naomba umpangie kazi nyingine Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu, Simon Simalenga sababu anakudhalilisha na kukuharibia. Anafanya watu wakuone kwamba huna maamuzi hata mteule wako anapoenda kinyume na maadili. Ni moja ya watu wanaoamini Mwanamke hawezi kuongoza Nchi. Pamoja na madhaifu mengine, naomba ufuatilie, kama kweli ukikuta kaingia kwenye mkumbo wa kujadili saa uliyovaa, hafai kuwa msaidizi wako.
View attachment 2911020
Mkuu wa Wilaya unatakiwa Uwe upande wa mtu aliyekuteua hataka kama kakosea. Ni jambo la lawaida kimaadili. Sio umshushue.

Kumbuka Kawafukuza Waandishi wa habari kwamba wasimuingilie kwenye majukumu. Hataki kuhojiwa chochote kuhusu Wilaya yake. Anataka akuandalie taarifa akupe sio wewe umuulize swali au Ufafanuzi.

Kwakuwa ameonesha kutokutaka kushirikiana na Mhimili wa nne vyombo vya habari, ana haja gani ya kuendelea kukalia hicho kiti. Kwanza hakuna Mwandishi ambaye angemuuliza mambo ya Saa, watu walikuwa wanafuatilia kikao cha District Consultative Council (DCC).

Pia kashindwa kuwasaidia Wachimbaji wadogo. Licha ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuagiza Wachimbaji wadogo wa dhahabu katika Mgodi wa Ikinibushiu, wilayani Bariadi mkoani Simiyu wapewe leseni na wasiondolewe wala kunyanyaswa ikiwemo kuhakikisha haki zao zinalindwa, Hadi leo hajawasaidia kwa chochote na wachimbaji hao wanalamikia vitendo vinavyofanywa na watu waliyopatiwa leseni za kumiliki eneo hilo kwa kutaka kuchukua maduara yao na kuwaondoa. Mkuu wa Wilaya yupo Kimya.

PIa TAKUKURU imchunguze
Enzi anasoma IFM simu ilipotea wakati wa kunitafuta ikapigwa si ikaita mfukoni mwa mkuu wa wilaya ....sijasema aliiba.
 
Back
Top Bottom